Tuliofunga gesi kwenye magari njooni tupongezane, bajeti ya mafuta kutoka 900,000/= hadi 200,000/= kwa mwezi

kwa sasa mpuuze kidogo tupate elimu
 
Huo mtungi unakuwa na kilo ngapi na je gesi kabla kwisha naweza jaza au lazima nisubiri iishe kabisa Kama ilivyo kwa mitungi ya gesi ya kupikia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…