Tuliofunga gesi kwenye magari njooni tupongezane, bajeti ya mafuta kutoka 900,000/= hadi 200,000/= kwa mwezi

Umeelewka kuliko hata aliyeleta Uzi... Ila heruf kubwa zinabooooooa....
 
Gharama zake zikoje?
 
Sasa mkuu kama unalazimika kubonyeza switch utasemaje kwamba inarudi kwenye mafuta automatically? Fafanua hapo.
Incase umenotice wewe mwenyewe kwamba gesi imepungua basi unaweza ukajisalimisha kwa kubonyeza switch, ila kama umejisahau kuna computer ambayo wanaifunga na inauwezo wa kudect low gas pressure na kufyatua ile switch automatically.
 
Mnataka tununue hivyo vitoy halafu baadae mtunange kwamba tunatembelea gari za kuongea michepuko si ndio? Hapana aisee, nunua wewe kwanza hiyo terios kid..
 
Kwenye gas hawatumii vipimo vya Lita mkuu ila wanatumia vipimo vya kg.
 
Iyo kitu nimeeilewa sana mabebru wasije kutuchonganisha tu km Libya maana biashara yao ya mafuta inaingia doa.
Gesi yetu ya Mtwara ianze sasa kuchakatwa mahsusi kwa ajili ya soko la ndani la magari, maana ni mengi mno, ni muda wetu sasa kuokoa fedha za kigeni zinazotumika kuagiza nishati nje ya nchi, tutumie nishati yetu wenyewe, kama tunavyofanya kule Kinyerezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…