Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
unabebelea kichwani!!Sasa km inafungwa kwenye vitu ulivyokua unapakia kwenye buti utaviweka wapi?
Ila wenye Uber ni wachoyo sana, kwanini mlikuwa hamtujanjarushi na wengine, yaani mlikuwa mnafaidi wenyewe kimya kimya.., daaahWenye Uber wengi wamefunga haya madude
Sasa na wewe ndugu yangu acha uvivu,umeshapewa idea,yanayobaki na wewe fuatilia,we unataka kilakitu ufanyiwe???!!!!?Ingefaa ifungulie Uri maalum wa hili suala, mtu aandike kirefu na afafanue zaidi, ni wapi unaweza kufunga huo mtungi na kwa gharama gani, na mtungi huo ni wa lita ngapi na utakupeleka km ngap, na hiyo gesi ni ya bei gani. Na je kama nitanunua gari linalotumia gesi kama ya huku ulaya je nitaweza kutumia huko TZ..
Watu wengi watanufaika hapo.
Mtungi Wa gas kwenye buti? likibutuka humo mnataftana hata extinguishers huikumbuki ni Bomu!!! Wallah sifungi hata ikiwa bure, ...Sio ya Oryx, ni special ya magari, hata kwenya buti wanafunga, kama subwoofer linavyofungwa
fungua akili yako kidogo mkuuMtungi Wa gas kwenye buti? likibutuka humo mnataftana hata extinguishers huikumbuki ni Bomu!!! Wallah sifungi hata ikiwa bure, ...
Usipagawe na propaganda za wauza mafuta! Kwani hata hayo magari yanayotumia petrol na diesel si yanalipuka kila siku!? Issue ya msingi hapo ni umakini na kuzingatia taratibu zote za kiusalama.
sio mtaalamu sasa kama kabudi ila iko ivi, mtungi una pressure kiasi kadhaa kinachofanya ile gas itoke so ule mfumo una sensor ambayo inasense kupungua kwa pressure so ile sensor itatuma taarifa kwenye mfumo wa kompyuta wa gari na ku switch off mfumo wa gas na kurudi kwenye mafuta na hii ni kama tu utakua umesahau kushift from gas to petrol ila waweza switch manually ukiangalia gauge ile ya gas.Sasa mkuu kama unalazimika kubonyeza switch utasemaje kwamba inarudi kwenye mafuta automatically? Fafanua hapo.
Haiwezi kubutuka kwa sababu huo mtungi ni madhubuti mno, unaambiwa kuupasua labda uupige na bomu, ma gesi yenyeww ni lighter than air, yaan hata ikavuja inayeyukia hewani kabla haija-accumulate kuweza kuleta explosionMtungi Wa gas kwenye buti? likibutuka humo mnataftana hata extinguishers huikumbuki ni Bomu!!! Wallah sifungi hata ikiwa bure, ...
Nadhani inazidi, bei kuwa ndogo haimaniishi lower energy content, infact gas ni nishati safi zaidi na haina exhaust kama petrol.Vipi kuhusu performance ya gari haipungui??? Au nguvu ya gari inabaki vilevile kama ukiwa unatumia mafuta!
Technology ya diesel to gas ndio inapakuliwa jikoni as i speak, ni kukaa mkao wa kula tu. Kama mitambo ya diesel ya ubungo iliweza kubadilishwa na kutumia gesi ya Songosongo sioni kwanini ishindikane kwa magariKwa diesel itakuwa changamoto kubwa kama sio engine kunock.
Nilipoona hiyo video nikaanza kujiuliza kituo chake cha mafuta kiko wapi, maana gari hazitumii LPG za kupikiaUsipagawe na propaganda za wauza mafuta! Kwani hata hayo magari yanayotumia petrol na diesel si yanalipuka kila siku!? Issue ya msingi hapo ni umakini na kuzingatia taratibu zote za kiusalama.
Exactlysio mtaalamu sasa kama kabudi ila iko ivi, mtungi una pressure kiasi kadhaa kinachofanya ile gas itoke so ule mfumo una sensor ambayo inasense kupungua kwa pressure so ile sensor itatuma taarifa kwenye mfumo wa kompyuta wa gari na ku switch off mfumo wa gas na kurudi kwenye mafuta na hii ni kama tu utakua umesahau kushift from gas to petrol ila waweza switch manually ukiangalia gauge ile ya gas.
ila mimi sio mtaalamu wa huo mfumo nimesema ninavyoelewa.
Hahah, acha kuwa negative, hata kupoteza virginity kuna side effects, kwahiyo uache kisa side effects? Hahah..uoga wa kijingaNi muhali kubadili mfumo bila ya kuwa na side effects. Ni vyema wataalamu wakawa wazi what are the side effects ya hiyo dual system