Tuliofunga gesi kwenye magari njooni tupongezane, bajeti ya mafuta kutoka 900,000/= hadi 200,000/= kwa mwezi

Mtungi Wa gas kwenye buti? likibutuka humo mnataftana hata extinguishers huikumbuki ni Bomu!!! Wallah sifungi hata ikiwa bure, ...
Hiyo mkuu haina tofauti na tank la petrol liliopo chini au pembeni ya gari lako,siku ikiwa ni ya kulipuka hata petrol inalipuka.Mimi ngoja nitafute hiyo hela niweke,ila gharama itahamia kwenye tairi maana hiyo misele ntakayokuwa napiga itakuwa si ya kawaida...
 
Hiyo bei ya 1500/- kwa kilo haijanishawishi....si unajua tena serikali yetu....watumiaji wakifika asilimia 50 tu, lazima kilo ifike 2500/- au zaidi.......
Tatizo mfumo tulio nao kila kitu wanataka wakusanye mabilioni hapo
 
Hiyo bei ya 1500/- kwa kilo haijanishawishi....si unajua tena serikali yetu....watumiaji wakifika asilimia 50 tu, lazima kilo ifike 2500/- au zaidi.......
Tatizo mfumo tulio nao kila kitu wanataka wakusanye mabilioni hapo
Hilo nalo linaweza likawa na ukweli
 
Hahahah, tairi miezi miwili tu hazifai..
 
😀😀😀😀😀😀
 
Toa hoja kwanini uhisi hivyo, otherwise ni kutishana bila sababu, ni kama mimi nije halafu nikwambie nahisi hiyo simu yako ni bomu na litalipuka, yaani from nowhere and without basis
Mi nasisitiza wote mnaofunga mtakuja kulipuliwa kizembezembe kama Forex ilivyowafanya watu humu ndani kaaeni mbali
 
Watu wengi wakihamia huko gesi itapamdishwa bei na kodi kibao ili bei yake na mafuta vilingane.
 
Kwahiyo kila mtu atumie terrios? Akili yako ipo sawa?
 
Maisha yatazidi kuwa marahisi,
Tutegemee gharama za usafirishaji kupunguakea kasi,
Serikali iweke kodi kwa magari yote yenye gas ii kuongeza pato la taifa
Hilo pato la taifa limekusaidia nini so far?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…