Tuliofurahia maumivu ya Sabaya ndio tunaomlilia Mbowe na kuiingilia Mahakama

Tuliofurahia maumivu ya Sabaya ndio tunaomlilia Mbowe na kuiingilia Mahakama

Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai,Sabaya, kupandishwa mahakamani ,tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingu mno ,kibao ghafla kimegeuka Mama Samia kawa mbaya na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini .
Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema,tusiwe wepesi wa kufurahia madhira ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.

Mwisho ,wahenga walinena "mkuki mtamu kwa nguruwe ,kwa binadamu ni mchungu"
Sio kosa lao, wakulaumiwa ni Mbowe kwanini amewafanya misukule wenzake
 
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai,Sabaya, kupandishwa mahakamani ,tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingu mno ,kibao ghafla kimegeuka Mama Samia kawa mbaya na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini .
Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema,tusiwe wepesi wa kufurahia madhira ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.

Mwisho ,wahenga walinena "mkuki mtamu kwa nguruwe ,kwa binadamu ni mchungu"
Tena hawa kundi la Mbowe walishangilia pia kifo cha Dkt Magufuli. Na walijiaminisha eti mungu wao kajibu maombi yao, hahahaha. Ila inasikitisha sana kwa hatua waliyofikia, yaani ni kikundi cha kigaidi kisichotaka umoja wa watanzania. Asante Mungu kwa kutuepusha na hawa wahuni maana kama wangepewa nchi tungekoma. Yaani huwezi kushangilia kifo cha mtu hata kama humpendi, yaani kwa tamaduni zetu huwezi kukomaa kumsema marehemu. Dkt Magufuli ni moja ya watu wanaopendwa sana na watanzania, wewe ona tu chanjo zinavyododa.
 
Tena hawa kundi la Mbowe walishangilia pia kifo cha Dkt Magufuli. Na walijiaminisha eti mungu wao kajibu maombi yao, hahahaha. Ila inasikitisha sana kwa hatua waliyofikia, yaani ni kikundi cha kigaidi kisichotaka umoja wa watanzania. Asante Mungu kwa kutuepusha na hawa wahuni maana kama wangepewa nchi tungekoma. Yaani huwezi kushangilia kifo cha mtu hata kama humpendi, yaani kwa tamaduni zetu huwezi kukomaa kumsema marehemu. Dkt Magufuli ni moja ya watu wanaopendwa sana na watanzania, wewe ona tu chanjo zinavyododa.
Imani yangu safari hii ndio mwisho wa haya magaidi na Sacco's yao
 
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingu mno.

Kibao ghafla kimegeuka Mama Samia kawa mbaya na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga kufadhili ugaidi nchini.

Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.

Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Mbowe naye jamii inmtuhumu kuteka raia na na kudai vikombozi kama 7ya?
 
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingu mno.

Kibao ghafla kimegeuka Mama Samia kawa mbaya na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga kufadhili ugaidi nchini.

Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.

Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Inaonekana unampenda sana Ole Ubaya.Omba ashinde kesi
 
Mbowe na genge lake walifurahia sana kukamatwa kwa Sabaya, kifupi akifikiri kuwa sasa atakuwa free kufanya lolote bila kuwa na mtu wa kumdhibiti. Alichosahau au kutokukijua Mbowe ni kwamba Sabaya alikuwa anajua mambo mengi ya Mbowe kupitia kwa wapambe wake, lkn hakutaka kuweka kila kitu wazi kwa sababu ya utu wake. Sasa kitendo cha Mbowe kushangilia kukamatwa kwake ndio kuliko fanya Sabaya na yeye amwage mboga.
Kwani una ndoa na Sabaya?
 
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingu mno.

Kibao ghafla kimegeuka Mama Samia kawa mbaya na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga kufadhili ugaidi nchini.

Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.

Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Usilinganishe jambazi na muunguana wala dhulumati na anayedhulimiwa! Muhimu zaidi usilinganishe Mtu mwenye hekima zake anyepigania haki na kibaka asiyejua mipaka yake, itakuwa Sawa na kulinganisha kifo na usingizi!
 
Wajinga Sana hawa wa Ufipa.

Huwaga Wana sahau kwa muda mfupi Sana, mbaya zaidi waga wanajiona wao wako sahihi muda wote na ni majirani na Mungu Baba Muumba
Bepari umesikika umesikika, ila sio kwakubambikia, kujilinda dhidi ya dai la katiba mpya
 
Bepari umesikika umesikika, ila sio kwakubambikia, kujilinda dhidi ya dai la katiba mpya
Gaidi limejificha kwenye kichaka cha katiba mpya [emoji38]hata hivyo limesakuliwa
 
Usilinganishe jambazi na muunguana wala dhulumati na anayedhulimiwa! Muhimu zaidi usilinganishe Mtu mwenye hekima zake anyepigania haki na kibaka asiyejua mipaka yake, itakuwa Sawa na kulinganisha kifo na usingizi!
Gaidi limefikia mwisho wake
 
Hawa jamaa mimi niliishasema sio wa kuwaamini.

Kuna yule kasuku wa fb anajiita malisa,nilimchana mpaka naona kanilima pini,poa tu ukweli huchukiwa na watu siku zote.
 
Hawa jamaa mimi niliishasema sio wa kuwaamini.

Kuna yule kasuku wa fb anajiita malisa,nilimchana mpaka naona kanilima pini,poa tu ukweli huchukiwa na watu siku zote.
Pointless kama Wewe unamweza wapi Malisa?!
 
Nimegundua ccm ni mabedui, hivi utawezaje kifurahia UOVU kama wa Sabaya?

Mimi baba yangu akiwa mwovu aina urafiki naye.
Mnajua vyema Mbowe ni innocent anayeswa kisiasa.
Mnajua fika Tundu alionewa lakini mnashangalia.
Maqyuma nyie
 
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingi mno.

Ghafla kibao kimegeuka ,Mama Samia kawa mbaya, na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini.

Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.

Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Sabaya ninani nawewe kuku tu yule,sabaya sabaya
 
Nikuulize swali hili; pale Mlimani Calvary au Golgota walikuwa wamesulubiwa wangapi? Unadhani umati uliokuwa umekusanyika pale ulikusanyika kwa ajili ya nani? Mambo rahisi hivi huelewi, makubwa utaelewa kweli?
Swali gumu sana kwa huyo zero brain.
JamiiForums243110164.jpg
 
Back
Top Bottom