Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Niko NYUMA yako!
Nimesoma comments nikajikuta mimi niko na afadhali!

Acha nizidi kukaza buti, siku mambo yakininyookea nitakuja tena!

Hakuna dhambi kubwa kama kukata tamaa!!
 
MSOWELO ni sehem nzuri ya kilimo.lakini kilichonipata nitarudi
Niliwai lima matikiti 2016 Simiyu(kilimo cha simu)vijana wakayatelekeza yakauka bila kumwagilia.Tukarudia mara ya pili miche ikasombwa na mafuriko.Nikasamehe kila kitu huko shamba sikufatlia tena..

Nikalima heka tatu za mahindi ya kuchoma.Nikapata vizuri (Msowelo)Akatokea mnunuzi anataka shamba zima kwa kila heka laki 8.Nikaona kama anataka kunilaghai nikagoma mana maindi yalikua mazuri sana na makubwa japo kulikua na changamoto ya panya na ngedere.Ukaidi wangu panya na ngedere wakashambulia na sikupata mnunuzi yakakaukia shamban mengine.Nikavuna nikapiga dawa nikisubiri bei ipande na haikupanda mpaka dawa ikaisha makali yakaanza kubunguliwa.mwisho nikaambulia 350k

Nikaamua kuhamia kwa vitunguu.Nikalima heka tatu.Nilipata vitunguu vya kutosha na vyenye afya.Likatokea jamaa linataka kunipa 15M kwa heka zote tatu.Katokea mshauri (shetani)na kilimo cha mahesabu ya pdf.Nikaona naweza piga zaidi ya 100M.Tamaa zikaniponza sikupata kitu.Baada ya kuvuna nimevihifadhi kwenye chanja kila siku tunavigeuza nikisubiria bei ipande. vingine vinaoza.Vingine vijana shamba wanaiba wanauza,vingine nabeba nyumbani.Kwa makadirio ya chanja gunia zilikua zaidi ya 150.Nikapata mtu wa 70k kila gunia nikagoma aongeze 10k akagoma akakimbia.
Bahati mbaya ikapiga mvua mbaya sana.Sasa vijana kumbe hawakulala shamba.Hata sijui walienda kunywa pombe ama walilala kwa wanawake.Kuna vilivyokuwa vimeanikwa chini vililoa chapa chapa,Chanja alikufunikwa pembeni na maturubai.mvua ilikua kubwa na ya upepo ukavunja na chanja vitunguu vyote vikaloa.Nilifika shamba nikachanganyikiwa.Toka niliondoka hapo sikuwai kurudi na sirudi tena shamba.

Nataka nijaribu ufugaji wa mbuzi ama kuku wa kienyeji nikipata mda.
 
naona ume learn ....bcoz we learn or win
Niliwai lima matikiti 2016 Simiyu(kilimo cha simu)vijana wakayatelekeza yakauka bila kumwagilia.Tukarudia mara ya pili miche ikasombwa na mafuriko.Nikasamehe kila kitu huko shamba sikufatlia tena..

Nikalima heka tatu za mahindi ya kuchoma.Nikapata vizuri (Msowelo)Akatokea mnunuzi anataka shamba zima kwa kila heka laki 8.Nikaona kama anataka kunilaghai nikagoma mana maindi yalikua mazuri sana na makubwa japo kulikua na changamoto ya panya na ngedere.Ukaidi wangu panya na ngedere wakashambulia na sikupata mnunuzi yakakaukia shamban mengine.Nikavuna nikapiga dawa nikisubiri bei ipande na haikupanda mpaka dawa ikaisha makali yakaanza kubunguliwa.mwisho nikaambulia 350k

Nikaamua kuhamia kwa vitunguu.Nikalima heka tatu.Nilipata vitunguu vya kutosha na vyenye afya.Likatokea jamaa linataka kunipa 15M kwa heka zote tatu.Katokea mshauri (shetani)na kilimo cha mahesabu ya pdf.Nikaona naweza piga zaidi ya 100M.Tamaa zikaniponza sikupata kitu.Baada ya kuvuna nimevihifadhi kwenye chanja kila siku tunavigeuza nikisubiria bei ipande. vingine vinaoza.Vingine vijana shamba wanaiba wanauza,vingine nabeba nyumbani.Kwa makadirio ya chanja gunia zilikua zaidi ya 150.Nikapata mtu wa 70k kila gunia nikagoma aongeze 10k akagoma akakimbia.
Bahati mbaya ikapiga mvua mbaya sana.Sasa vijana kumbe hawakulala shamba.Hata sijui walienda kunywa pombe ama walilala kwa wanawake.Kuna vilivyokuwa vimeanikwa chini vililoa chapa chapa,Chanja alikufunikwa pembeni na maturubai.mvua ilikua kubwa na ya upepo ukavunja na chanja vitunguu vyote vikaloa.Nilifika shamba nikachanganyikiwa.Toka niliondoka hapo sikuwai kurudi na sirudi tena shamba.

Nataka nijaribu ufugaji wa mbuzi ama kuku wa kienyeji nikipata mda.
 
Mkuu pole sana! Nakuona na great success km utaamua kurudi tena shamba!
Niliwai lima matikiti 2016 Simiyu(kilimo cha simu)vijana wakayatelekeza yakauka bila kumwagilia.Tukarudia mara ya pili miche ikasombwa na mafuriko.Nikasamehe kila kitu huko shamba sikufatlia tena..

Nikalima heka tatu za mahindi ya kuchoma.Nikapata vizuri (Msowelo)Akatokea mnunuzi anataka shamba zima kwa kila heka laki 8.Nikaona kama anataka kunilaghai nikagoma mana maindi yalikua mazuri sana na makubwa japo kulikua na changamoto ya panya na ngedere.Ukaidi wangu panya na ngedere wakashambulia na sikupata mnunuzi yakakaukia shamban mengine.Nikavuna nikapiga dawa nikisubiri bei ipande na haikupanda mpaka dawa ikaisha makali yakaanza kubunguliwa.mwisho nikaambulia 350k

Nikaamua kuhamia kwa vitunguu.Nikalima heka tatu.Nilipata vitunguu vya kutosha na vyenye afya.Likatokea jamaa linataka kunipa 15M kwa heka zote tatu.Katokea mshauri (shetani)na kilimo cha mahesabu ya pdf.Nikaona naweza piga zaidi ya 100M.Tamaa zikaniponza sikupata kitu.Baada ya kuvuna nimevihifadhi kwenye chanja kila siku tunavigeuza nikisubiria bei ipande. vingine vinaoza.Vingine vijana shamba wanaiba wanauza,vingine nabeba nyumbani.Kwa makadirio ya chanja gunia zilikua zaidi ya 150.Nikapata mtu wa 70k kila gunia nikagoma aongeze 10k akagoma akakimbia.
Bahati mbaya ikapiga mvua mbaya sana.Sasa vijana kumbe hawakulala shamba.Hata sijui walienda kunywa pombe ama walilala kwa wanawake.Kuna vilivyokuwa vimeanikwa chini vililoa chapa chapa,Chanja alikufunikwa pembeni na maturubai.mvua ilikua kubwa na ya upepo ukavunja na chanja vitunguu vyote vikaloa.Nilifika shamba nikachanganyikiwa.Toka niliondoka hapo sikuwai kurudi na sirudi tena shamba.

Nataka nijaribu ufugaji wa mbuzi ama kuku wa kienyeji nikipata mda.
 
Mkuu pole sana! Nakuona na great success km utaamua kurudi tena shamba!
Nimesahau kuongezea nililima Tikikiti nilipata mkuu.wakaja madalali wa moro town wakataka tikikiti kubwa kwa 3000 na dogo kabisa kwa 1500.wakataka zote heka 3.Tamaa dalali wa dar kanipigia simu tikikiti dogo buku3 kubwa mpaka buku7.Kihehere nikaona bora nikauze dar.nikadaka fuso brother.Kuruka bongo daresalam.Nakuta tikiti zimemwagika kama mvua ya mawe.Dalali kaishiwa pozi akaniambia hali ndio hio.Nikauza hadi jero jero nikalipa fuso.Nikarudi zangu moro mpoole kama nimemwagiwa maji...Kama ningekua sina hajira ungekuta nimeshachanganyikiwa.


SHAMBA SIRUDI KAMWE.Nyie nendeni tu.Nawatakia mafanikio mema
 
Niliwai lima matikiti 2016 Simiyu(kilimo cha simu)vijana wakayatelekeza yakauka bila kumwagilia.Tukarudia mara ya pili miche ikasombwa na mafuriko.Nikasamehe kila kitu huko shamba sikufatlia tena..

Nikalima heka tatu za mahindi ya kuchoma.Nikapata vizuri (Msowelo)Akatokea mnunuzi anataka shamba zima kwa kila heka laki 8.Nikaona kama anataka kunilaghai nikagoma mana maindi yalikua mazuri sana na makubwa japo kulikua na changamoto ya panya na ngedere.Ukaidi wangu panya na ngedere wakashambulia na sikupata mnunuzi yakakaukia shamban mengine.Nikavuna nikapiga dawa nikisubiri bei ipande na haikupanda mpaka dawa ikaisha makali yakaanza kubunguliwa.mwisho nikaambulia 350k

Nikaamua kuhamia kwa vitunguu.Nikalima heka tatu.Nilipata vitunguu vya kutosha na vyenye afya.Likatokea jamaa linataka kunipa 15M kwa heka zote tatu.Katokea mshauri (shetani)na kilimo cha mahesabu ya pdf.Nikaona naweza piga zaidi ya 100M.Tamaa zikaniponza sikupata kitu.Baada ya kuvuna nimevihifadhi kwenye chanja kila siku tunavigeuza nikisubiria bei ipande. vingine vinaoza.Vingine vijana shamba wanaiba wanauza,vingine nabeba nyumbani.Kwa makadirio ya chanja gunia zilikua zaidi ya 150.Nikapata mtu wa 70k kila gunia nikagoma aongeze 10k akagoma akakimbia.
Bahati mbaya ikapiga mvua mbaya sana.Sasa vijana kumbe hawakulala shamba.Hata sijui walienda kunywa pombe ama walilala kwa wanawake.Kuna vilivyokuwa vimeanikwa chini vililoa chapa chapa,Chanja alikufunikwa pembeni na maturubai.mvua ilikua kubwa na ya upepo ukavunja na chanja vitunguu vyote vikaloa.Nilifika shamba nikachanganyikiwa.Toka niliondoka hapo sikuwai kurudi na sirudi tena shamba.

Nataka nijaribu ufugaji wa mbuzi ama kuku wa kienyeji nikipata mda.
Pole sana mkuu,ulivyosema msowero tu nikawaza suala la panya

Wale panya wa msowero utafikiri kama wanatumwa vile.
 
Mkuu pole sana! Nakuona na great success km utaamua kurudi tena shamba!
Pole sana mkuu hesabu za PDF hazijawahi muacha mtu salama mwenyewe wanajiitaga wazee wa ubunifu Ila ubunifu wao wanaufanyiaga kwenye karatas
 
Nimewahi kuwekezs kwenye kilimo cha ufuta mkoa wa Pwani ekari 10, nikaajiri wasimamizi tena wanakijiji wa pale. Kila weekend asubuhiii nipo shamba kucheck mradi kuanzia kupanda, palizi etc..... anyway to cut the story short yaliyotokea sikutaka hata kusimulia washkaji. Nlivuna gunia 12 tu sikuzibeba hata nkaziacha hapo hapo kijijini kwa mzee wa shamba nikasepa na sijawahi kurudi tena.

Kilimo ni full time job like any other job. Watu wa mjini tunakuwa na hype sana kwny stori ila uhalisia sio.
 
Kiufupi una TAMAAAA...!! Na hujifunzi kwa makosa unayofanya kwenye maisha yako. Jifunze kuridhika kwa kile unachokipata usipige hesabu za mtandaoni ukaziiingiza kwenye maisha halisi. So kwa wewe usilaumu kilimo tafuta uzi wa watu wenye TAMAAA utakufaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama hizi story zote ni za kweli. Maana na hisi kama ni chai mtu unaejielewa huwezi kufanya maamuzi ya kipuuzi mara 3.
Sikujui unijui kwanini nikunyweshe chai ya matango?
Tamaa huenda huo ndio udhaifu wangu.Kilimo kina kazi na changamoto nyingi sana.Unapovuna unategemea kupata faida.Kama una ona kuna fursa ya kupata pesa nyingi kwanini usijitose.Maisha ni risk.
 
Mimi nililima mpunga heka kumi ukakubali kweli kweli shamba lilikua langu bwana bwana kukaa hivi napigiwa simu wasukuma wameingiza ng'ombe usiku wamekula shamba lote aisee nilidata. Alafu washenzi wale wamehonga polisi ukienda kushtaki unapigwa danadana tu nilitamani nikapige risasi ng'ombe wote. Morogoro iyo
Mkuu kuna mbinu moja hiyo ya soda hasa koka na Pepsi msukuma akigundua umefanya ivyo hapeleki ng'ombe hata karibu na shamba. Ni washenzi sana wanawaingiza wengi hasara.
 
Nifundishe mkuu unafanyaje fanyaje na hizo soda
Mkuu kuna mbinu moja hiyo ya soda hasa koka na Pepsi msukuma akigundua umefanya ivyo hapeleki ng'ombe hata karibu na shamba. Ni washenzi sana wanawaingiza wengi hasara.
 
Mkuu korosho ni habari nyingine kabisa..huku raia wanapiga pesa ndefu..
Sijamuona hata mmoja aliyetoboa, wengi wanaolima mahindi/tikiti/tumbaku/korosho/pamba kila siku nawaona wanalia lia tu,labda wanapata hela ya kula tu lkn sio kua matajiri.
 
Nimewahi kuwekezs kwenye kilimo cha ufuta mkoa wa Pwani ekari 10, nikaajiri wasimamizi tena wanakijiji wa pale. Kila weekend asubuhiii nipo shamba kucheck mradi kuanzia kupanda, palizi etc..... anyway to cut the story short yaliyotokea sikutaka hata kusimulia washkaji. Nlivuna gunia 12 tu sikuzibeba hata nkaziacha hapo hapo kijijini kwa mzee wa shamba nikasepa na sijawahi kurudi tena.

Kilimo ni full time job like any other job. Watu wa mjini tunakuwa na hype sana kwny stori ila uhalisia sio.
Mambo huanza hivi
Unawasikiliza Motivational speaker au wazee wa fursa za PDF wanakuvutia sana utawasikia "Ekari moja ya shamba la mpunga inatoa gunia 30 mpaka 40. Ukapata gunia 30 tu na kila gunia ukauza 120,000 unapata 3,600,000. Gharama za kuhudumia ekari 1 mpaka kuvuna ni sh laki 9 tu. Ukilima ekari 10 unapata milion 36 na unakua umetumia gharama za kuzalisha milion 9 tu". Basi mzee ukikaa chini unaona ah mbona simple tu maana ofisini ukikaa vimichongo vya laki 5 mpaka 7 vipo kibao unavipiga ukichangia na salary na pia unaona ah mbona mara kibao tu nakata laki na washkaji kwa mambo ya kipumbavu kwa nn nisizamishe kwenye kilimo nitoke faster.
Basi unaona ngoja ulime ekari 40 ili uje kupiga milion 144. Hapo ushahamasika unazama faster Ifakara tafuta mashamba kwa fujo hutaki poteza muda unaiwazia milion 144. kule ifakara unakutana na matapeli wa shamba nao ndo wanakupa muwasho unaona muda wote ulikua unapoteza bure twn na unaona kama vijana wengine wamelala sana twn kwa nn wasije huku watoke mapema. Unatafuta ekari 40 unapata yule tapeli uliyekutana nae ifakara ndo anageuka msimamizi wako ww unarudi twn mnakua mnawasiliana nae kwa cm
Changamoto zinaanza
1. unakodishiwa shamba ambalo either lina maji mengi sana, au maji kufika huko ni shida sana mpaka usimamie na mtutu wa bunduki. pia unaweza pata shamba lisilo na rutuba nk
2. Kulima. Pesa ipo lakini kwa kipindi hicho trekta za kusubiria kwa foleni zinalima sehemu zingine. tayari unapoteza timing
3. Vibarua wa kuwapata kusimamia ekari 40 huwapati wanapatikana wachache, wazinguaji, pesa mbele. Vibarua wazuri wamewahiwa na wazoefu ( Hapa pia pesa unayo lakini wafanyakazi hakuna na mazao yanazidi kuharibika shambani)
4. Wasimamizi uliowaamini waliopo shamba kila siku wanakupiga hela lakini kazi haiendi inavyotakiwa.
5. Unaweza pata mbegu isiyo bora kwa kukosa uzoefu
6. Ukiagiza mbolea na madawa wasimamizi wanakupiga wanawauzia wenye mashamba ya jirani kwako wanapulizia mapovu. Pia kipindi ambacho ww haupo vibarua wanapiga dei waka mashamba ya jirani
7. Gharama za uzalishaji zinazidi ile laki 9 uliyoambiwa kwa ekari. WW mwenyewe wkend unawasha Harrier lexus kutoka Dar mpaka Ifakara ukifika kule unalala Lodge, kula, kunywa, bado utavuta na kamchepuko hahahahahahaahahahahah
8. Unapatwa na majanga either Ng"ombe wanaingia shamba au mwaka huo mvua zikawa chache au nyingi sana mafuriko yakasomba kila kitu

Baada ya hapo kama uliinvest milion 36 ili upate milion 144 utajikuta umeambulia laki 7
 
Yeah..koz sasa hivi..ukisema hivyo kuna wenzio zaidi ya buku nao wanasema hivyo hivyo.
Hyonilikua miaka 6 au 7/nyuma..ss hb watu wana hyo elimu balaa.lima tikiti lako wakat wa masika au kiangazi kikali..ukifika sokon kuna gari km 30/hv..!hyo ilikia tecnic ya miaka ya jk.sio nw
 
Back
Top Bottom