Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Sijamuona hata mmoja aliyetoboa, wengi wanaolima mahindi/tikiti/tumbaku/korosho/pamba kila siku nawaona wanalia lia tu,labda wanapata hela ya kula tu lkn sio kua matajiri.

Nimekaa kusini sana mkuu korosho na ufuta unalipa san na watu wanatajirika ila ambao ni middlemen aka kangomba
 
Hongera sana mkuu,kazi nzuri sana hio.

Bahati mbaya mimi watu wote ninaowajua/wanaonizunguka wanaojishughulisha na mambo ya kilimo sijawahi kumuona aliyetoboa hata mmoja mkuu.
Inahitaji moyo; mpaka nafikia hapo nilipigwa kama M3. Sasa nataka nirudi kwa stail mpya
 
Huyu jamaa hajafikiria vizuri. Mfanyabiashara anayechukulia shambani ana gharama za usafirishaji, halafu mchomaji wa mahindi ana gharama za mkaa, chumvi, pilipili, limao n.k. Muhindi kuuzwa sh.500 sokoni ni mchanganyiko wa vitu vingi. Kifupi mnyororo wa thamani ni mgawanyo wa faida baina ya wadau wote wanaohusika.

Mkuu bora angeuza kwa muuindi 1 kwa sh 120, maana hana hakika ya kuuza mahindi yaliyopukusuliwa toka kwenye gunzi moja kwa sh.120
Mnajua gunia moja LA mahindi kwa sasa sh ngapi? Kwa taarifa yenu mahindi makavu yamenifuta machozi kuliko ambavyo ningeuza mahindi mabichi kwa sh 120
 
Hahaaaa..ngoja nicheke tu..mwezi wa8 nililima bamia kama heka na nusu..nimezipiga vzr tu..msimu wa mavuno umefika...siku napeleka mzigo sokoni nikakutana na bamia zimeteremshwa kama mvua kipindi cha nuhu..bei iko chini..yani nilitamani niutelekeze mzingo..ila sikua na jinsi nikauza hivyo hivyo kwa hasara..

Nimevuna kama mara mbili..imebidi nmeachie dogo avune atafute hata hela ya kujikimu akisubiri vyuo vifunguliwe..

Kimsingi kilimo kina changamoto sana..kama sio shambani basi sokoni.

Ila siachi kulima..nmekodi shamba heka 10 najipanga kulima ufuta na alizeti.

GOD IS GOOD.
Timing ya market kaka..sio sahihi kulima kitu ambacho mda wa kuvuna mnavuna wengi inabd wenzio wakiwa wanavuna we ndo unapanda sasa ili by the time unavuna unakuta demand kubwa sokoni..tatizo ni wengi tunategemea mvua thus wote tunalima kipind kimoja na kuvuna kipind kimoja
 
Timing ya market kaka..sio sahihi kulima kitu ambacho mda wa kuvuna mnavuna wengi inabd wenzio wakiwa wanavuna we ndo unapanda sasa ili by the time unavuna unakuta demand kubwa sokoni..tatizo ni wengi tunategemea mvua thus wote tunalima kipind kimoja na kuvuna kipind kimoja


Hyonilikua miaka 6 au 7/nyuma..ss hb watu wana hyo elimu balaa.lima tikiti lako wakat wa masika au kiangazi kikali..ukifika sokon kuna gari km 30/hv..!hyo ilikia tecnic ya miaka ya jk.sio nw
 
Hata mm nashangaa mhindi uliwe na chimvi na mipilipili..khaa!
Rafiki una mgongo mzuri sana!
Screenshot_20191025-065132-picsay.jpeg
 
Timing ya market kaka..sio sahihi kulima kitu ambacho mda wa kuvuna mnavuna wengi inabd wenzio wakiwa wanavuna we ndo unapanda sasa ili by the time unavuna unakuta demand kubwa sokoni..tatizo ni wengi tunategemea mvua thus wote tunalima kipind kimoja na kuvuna kipind kimoja
Kilimo ni kamali kama betting na wala si kama usemavyo nyanya ikiyouzwa tenga sh 2,000 mwezi wa 9.Haijamwagiliwa na mvua. Saiz wanasema nyanya ya march ndo inasoko sasa utaona ukifika march
 
Back
Top Bottom