aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Enzi hizo Dodoma washua wote wanaishi uzunguni
Watoto wa kishua wanasoma stockley
Kina sie tunasoma amani, na mlimwa ambazo ndio zilikuwa shule bora mjini
Club ilikuwa ni NK pamoja na shilla disco mitaa ya iringa road
Picnic tunajichanga tunaenda pnde za mkalama kule ma miyuji kwenye ile swimming juu ya jiwe ama weekend swimming pool ya kule mirembe mixture na kucheza basketball
Zunny ice cream ilikuwa chimbo hatari sana watoto wa mjini lazima tukutane hapo
Enzi hizo nyerere square ndio lilikuwa soko kuu la Dodoma kabla halijavunjwa baada ya kujengwa la majengo
Mnadani ilikuwa veyula
Watoto wa mailimbi,chang'ombe tuliwaogopa hasa
Watoto wa kishua wanasoma stockley
Kina sie tunasoma amani, na mlimwa ambazo ndio zilikuwa shule bora mjini
Club ilikuwa ni NK pamoja na shilla disco mitaa ya iringa road
Picnic tunajichanga tunaenda pnde za mkalama kule ma miyuji kwenye ile swimming juu ya jiwe ama weekend swimming pool ya kule mirembe mixture na kucheza basketball
Zunny ice cream ilikuwa chimbo hatari sana watoto wa mjini lazima tukutane hapo
Enzi hizo nyerere square ndio lilikuwa soko kuu la Dodoma kabla halijavunjwa baada ya kujengwa la majengo
Mnadani ilikuwa veyula
Watoto wa mailimbi,chang'ombe tuliwaogopa hasa