Tulioitika Wito Kuhamia Burundi, Tumefarijika Sana Kumuona Former First Lady, Mama Salma Kikwete. Kumbe Rais Akiwa Mwanamke, Nchi Haina First Lady!

Tulioitika Wito Kuhamia Burundi, Tumefarijika Sana Kumuona Former First Lady, Mama Salma Kikwete. Kumbe Rais Akiwa Mwanamke, Nchi Haina First Lady!

Tena tutengeneze an Africa Protocal of first lady akitokea rais ana wake wawili, wake wote wawili watambuliwe kama 1st lady 1 na 1st lady 2, 3, 4 na kuendelea na sio kumtambua mke mmoja tuu ndie anabeba title ya 1st lady halafu wake wengine wote ni nobodies!, huku ni kuwabagua!.
Kama mfumo wenyewe wa Urais, makamu wa Rais pamoja na Prime Minister tumeiga kutoka kwa wazungu basi hatuna budi hata suala la kuwa na mke zaidi ya mmoja ama la pia tuige kutoka hukohuko kwa "development partners" na sio kuchukua mambo nusunusu unless otherwise turejee katika mifumo yetu ya kabla ya ukoloni ya kuendeshana ki-chief. Sidhani kama hii idea yako ipo sahihi.
 
Tanzania tuna wake wengi, why serikali inamtambua mke mmoja tuu wa kiserikali na mtu mwenye wake wawili kisheria, anatakiwa kumuandika mke mmoja tuu na yule mke mwingine anahesabiwa kama kimada!.
Mkuu, unachokisema ni sahihi sana ila kumbuka hayo yote ni matokeo ya umasikini. Nchi ikishakuwa masikini inakosa kauli juu ya namna bora ya kujipangia mambo yake.

Nchi ikishakuwa masikini inaletewa kila aina ya tamadumi za kigeni kwa maana ikishindwa kufanya hivyo itanyimwa misaada. Tazama Africa ya leo kwa mfamo.

Uislam na Ukristo umetamalaki kila pahala. Waafrika hawana Chao. Zipo wapi dini za mababu zetu? Dini zinaleta mgawanyiko katika jamii. Hawa wanaoa mmoja, wale wanaoa mpaka wanne. What's this?

Tazama yaliyotokea kule visiwani Zanzibar. Eti, waafrika waliovaa tamaduni za kiarabu wanawaletea mzozo waafrika wenzao waliovaa tamaduni za wazungu wasijenge pahala pa kufanyia ibada. Haya yote ni matokeo ya umasikini.

Laiti kama tungekuwa na uchumi wa juu kama China, basi tungekuwa na uthubutu wa kujenga mifumo ya kuwasiliana na Mungu inayofananan na mazingira yetu.
 
Wanabodi,
Baada ya kiongozi fulani kututaka tusioridhika na hali ya nyumbani, tuhamie Burundi, mimi ni mmoja wa walioitika wito huo tumehamia Burundi sasa naishi Bujumbura!.

Tangu tumehamia hapa, tumefarijika sana kwa kiongozi wa kitaifa kutoka Tanzania kutembelea Burundi.

Huyu ni Mheshimiwa Salma Kikwete, former 1st Lady na Mbunge wa Bunge la JMT.

Mama Salma yuko hapa Bujumbura kuhudhuria Kongamano la siku 3 la Kimataifa la ma 1st Ladies wa Africa kujadili Afya ya Mama, mtoto na kijana balehe, linalofanyika katika jiji la Bujumbura.

Wanaokuta hapa ni ma 1st lady, nilipojiuliza kwanini Tanzania aje former 1st lady?!, ndipo nikagundua kumbe nchi inapotawaliwa na rais mwanamke, post ya 1st Lady inakuwa haipo!, na kwa vile hii ndio mara ya kwanza kwa Tanzania kuwa na rais mwanamke, the role of 1st gentlemen is not defined!.

Kufuatia nchi kutokuwa na 1st lady, mialiko yote ya fast lady sasa inakwenda kwa former 1st lady na kiukweli Salma Kikwete alivyo mtu wa mashamsham, ameuchangamsha sana huu mkutano na amemwaga nondo za kufa mtu!.

This is a wake up call kwa serikali yetu kuintroduce post ya 2nd Lady na awe ni mke wa VP na 3rd Lady mke wa PM, ili ikija mialiko ya 1st lady kama hayupo tumpeleke 2nd lady or 3rd lady!. Its a loss kwa nchi kutokuwa na 1st lady, na sasa ni muda muafaka the role of 1st Gentleman iwe defined na aanze kuonekanika!.

Tena tutengeneze an Africa Protocal of first lady akitokea rais ana wake wawili, wake wote wawili watambuliwe kama 1st lady 1 na 1st lady 2, 3, 4 na kuendelea na sio kumtambua mke mmoja tuu ndie anabeba title ya 1st lady halafu wake wengine wote ni nobodies!, huku ni kuwabagua!.

Maadam nchi yetu inatambua ndoa za wake wengi, then akotokea rais mwenye mke zaidi ya mmoja, wake zake wote wawili watambuliwe!.

Pale mikocheni kulutokea raia mmoja wa Sweeden tajiri, akiishi Mikocheni B, akachenguka na mwanamke mmoja wa Kizaramo akaoa, baadaye akukutana na Tanga line, akakuta ni zaidi ya Mzaramo, akaoa, akawa na wake wawili. Mke mkubwa akamzalia watoto 4, mke mdogo watoto wawili.

Wakati nikishi Stockholm , Sweden, huyu jirani akaamua kurejea nyumbani Sweden, akabeba wake zake wawili na wanae 6 kurejea kwao. Kufika Airport, akazuiliwa kuingia nchini kwake na wake wawili kwasababu katiba ya Sweden inatambua ndoa ya mke mmoja tuu. Hiyo aruhusiwe kuingia Sweden lazima atoe talaka kwa mke mmoja na kudeclare ni mistress, hivyo aliitwa mwanasheria, ikaandikwa talaka, declaration ya mistress ikaandikwa baba akalazimika kumdeclare mke mdogo kimada ndio akaruhusiwa kuingia. Tanzania tuna wake wengi, why serikali inamtambua mke mmoja tuu wa kiserikali na mtu mwenye wake wawili kisheria, anatakiwa kumuandika mke mmoja tuu na yule mke mwingine anahesabiwa kama kimada!.

Sheria zetu ziendane na hali halisi za maisha yetu.

Karibuni Burundi, wale wa yale mambo yetu yale!, huku ni mambo ya interlucustrine!, sii mchezo!. Tanzania sirudi!.

Paskali
paskali umeenda lini burundi, juzi hapa ulikuwa na mzee inyasi hapa geita unapiga maji???
 
Mkuu ni kweli huko hakuna Tozo!?

Halafu kale ka vuguvugu ka mapinduzi kametulia!?

Nasikia sisi na Burundi tumeungana ni kweli!!?

Hebu majibu tafadhali!!
Nchi ngumu hii ktk mambo hayo, wazawa wanapelekwa kutawala Kwa Jirani, na majirani wanaletwa kutawala huku.

Mabinti zao wanaolewa na wakubwa wetu Ili kupunguza tension na kuleta utulivu.

Mizizi ya AMANI ya nchi hii kuijua ni utata.

Bt kama ni Kwa Maslahi mapana ya nchi, Acha ikae hivyo hivyo.

Ameeeen.
 
Wanabodi,

Baada ya kiongozi fulani kututaka tusioridhika na hali ya nyumbani, tuhamie Burundi, mimi ni mmoja wa walioitika wito huo tumehamia Burundi sasa naishi Bujumbura!

Tangu tumehamia hapa, tumefarijika sana kwa kiongozi wa kitaifa kutoka Tanzania kutembelea Burundi.

Huyu ni Mheshimiwa Salma Kikwete, former 1st Lady na Mbunge wa Bunge la JMT.

Mama Salma yuko hapa Bujumbura kuhudhuria Kongamano la siku 3 la Kimataifa la ma 1st Ladies wa Africa kujadili Afya ya Mama, mtoto na kijana balehe, linalofanyika katika jiji la Bujumbura.

Wanaokuta hapa ni ma 1st lady, nilipojiuliza kwanini Tanzania aje former 1st lady?!, ndipo nikagundua kumbe nchi inapotawaliwa na rais mwanamke, post ya 1st Lady inakuwa haipo!, na kwa vile hii ndio mara ya kwanza kwa Tanzania kuwa na rais mwanamke, the role of 1st gentlemen is not defined!

Kufuatia nchi kutokuwa na 1st lady, mialiko yote ya fast lady sasa inakwenda kwa former 1st lady na kiukweli Salma Kikwete alivyo mtu wa mashamsham, ameuchangamsha sana huu mkutano na amemwaga nondo za kufa mtu!

This is a wake up call kwa serikali yetu kuintroduce post ya 2nd Lady na awe ni mke wa VP na 3rd Lady mke wa PM, ili ikija mialiko ya 1st lady kama hayupo tumpeleke 2nd lady or 3rd lady! Its a loss kwa nchi kutokuwa na 1st lady, na sasa ni muda muafaka the role of 1st Gentleman iwe defined na aanze kuonekanika!

Tena tutengeneze an Africa Protocal of first lady akitokea rais ana wake wawili, wake wote wawili watambuliwe kama 1st lady 1 na 1st lady 2, 3, 4 na kuendelea na sio kumtambua mke mmoja tuu ndie anabeba title ya 1st lady halafu wake wengine wote ni nobodies!, huku ni kuwabagua!

Maadam nchi yetu inatambua ndoa za wake wengi, then akotokea rais mwenye mke zaidi ya mmoja, wake zake wote wawili watambuliwe!

Pale mikocheni kulutokea raia mmoja wa Sweeden tajiri, akiishi Mikocheni B, akachenguka na mwanamke mmoja wa Kizaramo akaoa, baadaye akukutana na Tanga line, akakuta ni zaidi ya Mzaramo, akaoa, akawa na wake wawili. Mke mkubwa akamzalia watoto 4, mke mdogo watoto wawili.

Wakati nikishi Stockholm , Sweden, huyu jirani akaamua kurejea nyumbani Sweden, akabeba wake zake wawili na wanae 6 kurejea kwao. Kufika Airport, akazuiliwa kuingia nchini kwake na wake wawili kwasababu katiba ya Sweden inatambua ndoa ya mke mmoja tu. Hiyo aruhusiwe kuingia Sweden lazima atoe talaka kwa mke mmoja na kudeclare ni mistress, hivyo aliitwa mwanasheria, ikaandikwa talaka, declaration ya mistress ikaandikwa baba akalazimika kumdeclare mke mdogo kimada ndio akaruhusiwa kuingia. Tanzania tuna wake wengi, why serikali inamtambua mke mmoja tuu wa kiserikali na mtu mwenye wake wawili kisheria, anatakiwa kumuandika mke mmoja tuu na yule mke mwingine anahesabiwa kama kimada!.

Sheria zetu ziendane na hali halisi za maisha yetu.

Karibuni Burundi, wale wa yale mambo yetu yale!, huku ni mambo ya interlucustrine!, sii mchezo!. Tanzania sirudi!.

Paskali
Kwanini yeye na sio Janeth?

Kuna mambo yakisemwa inaonekana ni uchochezi au kuibua taharuki, lakini kuna sababu ya kutolea maelezo!
 
Wanaokuta hapa ni ma 1st lady, nilipojiuliza kwanini Tanzania aje former 1st lady?!, ndipo nikagundua kumbe nchi inapotawaliwa na rais mwanamke, post ya 1st Lady inakuwa haipo!, na kwa vile hii ndio mara ya kwanza kwa Tanzania kuwa na rais mwanamke, the role of 1st gentlemen is not defined!

Kufuatia nchi kutokuwa na 1st lady, mialiko yote ya fast lady sasa inakwenda kwa former 1st lady na kiukweli Salma Kikwete alivyo mtu wa mashamsham, ameuchangamsha sana huu mkutano na amemwaga nondo za kufa mtu!

This is a wake up call kwa serikali yetu kuintroduce post ya 2nd Lady na awe ni mke wa VP na 3rd Lady mke wa PM, ili ikija mialiko ya 1st lady kama hayupo tumpeleke 2nd lady or 3rd lady! Its a loss kwa nchi kutokuwa na 1st lady, na sasa ni muda muafaka the role of 1st Gentleman iwe defined na aanze kuonekanika!
Huwa kunakuwa na limited powers na huenda hata budget kwa ajili ya First Lady. Sasa ina maana Salma Kikwete kwa sasa ndio beneficiary wa hizo?
 
Back
Top Bottom