Tulioitwa Dodoma Kwenye Usahili wa Awali TAKUKURU (PCCB) hebu tujuzane kidogo

Tulioitwa Dodoma Kwenye Usahili wa Awali TAKUKURU (PCCB) hebu tujuzane kidogo

Mbna wengine tuliomba hatujaona majina kwani waliangalia nini kwenye kuchagua?
Waliangalia vigezo.kama mfumo ulikuonyesha maombi yamepokelewa ujue ulikidhi vigezo.by the way ni mfumo ndiyo uliofanya selection
 
paper ilikuwa kituko. maswali yalikuwa na multiple choice kwa hesabu ndogondogo za darasa la tano hadi saba hivyohivyo kwa english ya darasa la saba hadi form two n.k, hivyo tunajipa moyo.
 
Vijana mmeenda udom kufanya supp ya anatomy[emoji23][emoji23]
 
Habari za wakati ndugu zangu, natumaini mu wazima. Bila kupoteza muda naomba nielekee kwenye hoja ya msingi.

Leo Tume ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) wametoa orodha ya majina ya watu waliofuzu kwenda Dodoma kufanya usahili wa awali wa maandishi (amplitude test) siku ya tarehe 8 January 2022 katika vituko vilivyopangwa kulingana na utaratibu wao.

Nikiwa mmoja wa waliochaguliwa ningependa kupata heads-up, tips, clues na uzoefu kuhusu interview hiyo. Naomba kuwasilisha .
Amplitude = Aptitude.

Naimani interview ilikwenda salama. Kila la kheri.
 
Wadau wanasema pepa ilikuwa na maswali hadi ya logarithms aseee wa HKL HGL walikomaje... emu mtuambie aseee
 
Back
Top Bottom