Tuliojilea wenyewe uswahili maisha magumu tukumbushane maisha tuliyopitia

Hongera unawez sema maisha yanawez kuchagua au kuyachagua ,
|•Wazaz wako busy kutafuta ela at the same familia inamahitaji ya msingi ya kiuchumi na kimalez sasa lazm tuu awe mtafutaji either ukizngatia kaz , unichek unakut kaz anayofany ni ya masaa mengi hakun mapumzk kpato kdogo

Hongera umejua mambo mengi na ninachojua Mimi ni vyema watoto tusiwabane sana tuwafungulie Dunia mambo mengi wajajue njaa shida na mazingra magumu mapema kwakuw watajielew mapema au wakipotea wanawez kupotea na kurud.

Nakumbuka mengi nimejifunz kwakuw nmekulia kwa mama WA kambo ni mateso ambayo yamenifany niwez kuwez kijasir dunia hii (Rest in peace [emoji3522] my mom)
 
kmme jamaa alikuwa anajiona kama yuko peponi na mabikira 72 elfu anabadilishiwa ladha tu 😂
 

Yule jamaa yangu mla poda alishindwa kunishawishi kula poda ila kwenye kuuzaa alifanikiwa.

Jirani kulikuwa na mtoto mdogo anaye tambaa, huyu mtoto nilimzoea Sana na yeye alinipenda.

Nilikuwa nambeba halafu kwa mbele kwenye nepi yake naweza poda (kete) then nazurura kuuzia mateja.

Nilipiga sanaa pesa za kwendea Shule na kununulia mahitaji.

All in all.
Nyie wazee wa viatu vya matairi mligonga sanaa mademu wa Kinondoni muslimu, Biafra na ile Shule pale victori ya private (nimeisahau jina lake).

#YNWA
 
Madawa ya kulevya noma.
Nasema hivi kwasababu NIMEUZA.

Ukiingia kwenye kutumia bangi na poda mpaka uje uache ni Mungu mwenyewe akusimamie.

#YNWA
 
Uhuni haujakutoka bado
Yap hili ni kweli.
Hata mkurugenzi wangu siku moja nilikuwa naongea nae akaishia kuniambia " We jamaa una lafudhi ya Dar hasa"
Kuna ile misemo nimeshindwa iacha.
Na hata mavazi yangu ya kazini, mi kuvaa suruali ya kitambaa au kadeti SIWEZI kabisaa mi ni jinzi tuu kwasababu ndio nguo zilizonilea.

#YNWA
 
Kuna visa umeviruka ila kama hukuwa muuza poda au mvuta bangi basi ulikuwa shoga wewe sema unakaza tu.

Yule jamaa yangu mla poda alishindwa kunishawishi kula poda ila kwenye kuuzaa alifanikiwa.

Jirani kulikuwa na mtoto mdogo anaye tambaa, huyu mtoto nilimzoea Sana na yeye alinipenda.

Nilikuwa nambeba halafu kwa mbele kwenye nepi yake naweza poda (kete) then nazurura kuuzia mateja.

Nilipiga sanaa pesa za kwendea Shule na kununulia mahitaji.

#YNWA
 
wale watoto watukutu, tulioogelea mto msimbazi (chemchem kipindi hiko), kwa mjapani magomeni sjui kwa mchina. tulioenda kuiba samaki kwa kibichwa mkate magomeni.
kuokota michele na maharage dampo la msimbazi tujuane. bila kusahau kuvutishwa bangi na wahuni wa beira ili ucheze mpira kwenye uwanja wao wa msako.
 
Yupo wapi siku huyu dogo
 
Mungu alikuwa na kusudi nawe Kama uliweza pita salama.Maana shetani uleta talaka,au uchukua wazazi mapema ili awawini watoto pindi aonapo kipaji Fulani kwa mtoto
 
Hongera mpaka hapo ulipo,
Ila huwa inatokea tu binafsi nimeishi sana na wavutaji na mpaka Leo marafiki zangu wawili wa karibu ni wavutaji ila wanashangaa mm sikuwah kuvuta Toka tupo shule!
Uaskari wao unawasaidia tu ila ni washezi wa tabia na hawataki kuoa miaka 40+
Mmoja anawatoto wanne Kila mmoja ana mama yake!
 
Wewe haiitwi bangi wanaita dawa ya misuli
 
Maisha ya uswahilini na ya kota ni matamu sana hasa enzi zile za kombolela unajibutulia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…