Tuliojilea wenyewe uswahili maisha magumu tukumbushane maisha tuliyopitia

Tuliojilea wenyewe uswahili maisha magumu tukumbushane maisha tuliyopitia

Mungu alikuwa na kusudi nawe Kama uliweza pita salama.Maana shetani uleta talaka,au uchukua wazazi mapema ili awawini watoto pindi aonapo kipaji Fulani kwa mtoto
Hili ndilo nililiikataa kipindi kile.
Mungu alichukua wazazi wangu wote na kuniacha niishi kwa shida nikipitia masimango ya ndugu.
Na huku upande wa pili Nina mshkaji wangu mpaka leo wazazi wake wapo.
Yaani walimsomesha na kuntunza.
Sasa hivi jamaa angu anakazi safi serikalini akilea wazazi wake.

Kwanini Mungu alichukua wazazi wangu wote? Angeacha hata mmoja basi.

#YNWA
 
Hili ndilo nililiikataa kipindi kile.
Mungu alichukua wazazi wangu wote na kuniacha niishi kwa shida nikipitia masimango ya ndugu.
Na huku upande wa pili Nina mshkaji wangu mpaka leo wazazi wake wapo.
Yaani walimsomesha na kuntunza.
Sasa hivi jamaa angu anakazi safi serikalini akilea wazazi wake.

Kwanini Mungu alichukua wazazi wangu wote? Angeacha hata mmoja basi.

#YNWA
Anayo makusudi yake,kwa kweli inauma sana hasa ukiwa fresh kiuchumi na unatamani wale mafanikio yako lakini ndo hivyo.
 
Baada ya hapo nikahamia geto langu la mwananyamala uswazi ndani ndani uko unaambiwa uko nilikuwa nakula ugali kwa bao la nyeto lile bao langu la nyeto. Watu tumetoka mbali aizee
Me kuna kipindi naishi tandale darajani nilikuwa nalazimika kupiga push up za kutosha nipate jasho la kutosha bakuli nishushie ugali
 
Nakumbuka kipindi icho naishi uswazi mbagala nasonga ugali hauna mboga nilichofanya nilichukua wembe nikajikata alafu ile damu inayotoka ndio ikawa mboga yangu
Mtoto wa mama mboga saba ugali kitenesi unatuchora au sio,,,, tuchore hivyo hivyo ila watu kama nyie mliokosa disaplina huku kitaa mkiyakanyagaga kesi zenu lazima mkashtaki kwa baba zenu
 
Pamoja na uhuni wangu madam ila form 4 nilipiga kijiti changu safii nikaenda kusoma PCB pale Uhuru ilala.

Kwahiyo kichwani zipoo.

#YNWA
Hata maandishi yako tuu yanaonesha kichwani zipoo..unaweza ukajifanya unaandika mambo ya kisomi somi daily lakini kumbe kichwani mtupu tuu..ila ww na fujo zako..sisi tulosoma cuba tushajua una akili hata mimi niliondoka na moja yangu form 4 nikasoma PCB pia Loleza high school Mbeya
Hongera Division mate 😀😀😀
 
Back
Top Bottom