Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #41
Hili ndilo nililiikataa kipindi kile.Mungu alikuwa na kusudi nawe Kama uliweza pita salama.Maana shetani uleta talaka,au uchukua wazazi mapema ili awawini watoto pindi aonapo kipaji Fulani kwa mtoto
Anayo makusudi yake,kwa kweli inauma sana hasa ukiwa fresh kiuchumi na unatamani wale mafanikio yako lakini ndo hivyo.Hili ndilo nililiikataa kipindi kile.
Mungu alichukua wazazi wangu wote na kuniacha niishi kwa shida nikipitia masimango ya ndugu.
Na huku upande wa pili Nina mshkaji wangu mpaka leo wazazi wake wapo.
Yaani walimsomesha na kuntunza.
Sasa hivi jamaa angu anakazi safi serikalini akilea wazazi wake.
Kwanini Mungu alichukua wazazi wangu wote? Angeacha hata mmoja basi.
#YNWA
Yupo wapi siku huyu dogo
MUHUNI hasaaaa.Shukamoo muhuni
Hii Chai Ya Moto Sana mkuuNakumbuka kipindi icho naishi uswazi mbagala nasonga ugali hauna mboga nilichofanya nilichukua wembe nikajikata alafu ile damu inayotoka ndio ikawa mboga yangu
Me kuna kipindi naishi tandale darajani nilikuwa nalazimika kupiga push up za kutosha nipate jasho la kutosha bakuli nishushie ugaliBaada ya hapo nikahamia geto langu la mwananyamala uswazi ndani ndani uko unaambiwa uko nilikuwa nakula ugali kwa bao la nyeto lile bao langu la nyeto. Watu tumetoka mbali aizee
Mtoto wa mama mboga saba ugali kitenesi unatuchora au sio,,,, tuchore hivyo hivyo ila watu kama nyie mliokosa disaplina huku kitaa mkiyakanyagaga kesi zenu lazima mkashtaki kwa baba zenuNakumbuka kipindi icho naishi uswazi mbagala nasonga ugali hauna mboga nilichofanya nilichukua wembe nikajikata alafu ile damu inayotoka ndio ikawa mboga yangu
Upo sahihi kabisa huyu jamaa na mwajiri wake lazima upigwe mtiti,Hawa jamaa wa PCM,PCB ukiwaajiri inapaswa boss uwe mpole nao,ni watata sana sema wanakuwa smart vichwaniUhuni haujakutoka bado
Pamoja na uhuni wangu madam ila form 4 nilipiga kijiti changu safii nikaenda kusoma PCB pale Uhuru ilala.Narudii
Hata maandishi yako tuu yanaonesha kichwani zipoo..unaweza ukajifanya unaandika mambo ya kisomi somi daily lakini kumbe kichwani mtupu tuu..ila ww na fujo zako..sisi tulosoma cuba tushajua una akili hata mimi niliondoka na moja yangu form 4 nikasoma PCB pia Loleza high school MbeyaPamoja na uhuni wangu madam ila form 4 nilipiga kijiti changu safii nikaenda kusoma PCB pale Uhuru ilala.
Kwahiyo kichwani zipoo.
#YNWA
Mpe sanaa Mungu shukrani japo muda mwengine huwa najisahau na kukufuru, Kwanini Mungu alichukua wazazi wangu wotee?Nashukuru Mungu wazazi wangu wote wapo.
Maisha ya uswazi yalinifundisha "Kesho yangu ipo mikononi mwangu"Kwa maisha hayo, kukataa ndoa lazima. Pole na hongera kwa kuvuka.
Nawashukuru sana maana muujiza wake ni mkubwaMpe sanaa Mungu shukrani japo muda mwengine huwa najisahau na kukufuru, Kwanini Mungu alichukua wazazi wangu wotee?
#YNWA