Tuliokataa kukeshout mikeka yetu wakati tunasoma miaka kuanzia 2010 tukasema tuvumilie mwisho tumechaniwa.

Tuliokataa kukeshout mikeka yetu wakati tunasoma miaka kuanzia 2010 tukasema tuvumilie mwisho tumechaniwa.

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huu ndiyo ukweli mchungu, wale waliojiongeza kwenda kusomea ualimu daraja la 111A, unesi na ukunga pamoja na fani zingine zikiwemo upolisi kimtindo mikeka yao imetiki means walichukua kidogo ila Cha kuwafaa.

Wanangu wengine waligoma kukeshout mikeka yao wakala shule mpaka chuo kikuu mwisho wa siku timu zimechana mwishoni. No job, no job, no job.

Makamu wa Rais anataka utafiti kwanini hakuna ajira ilihali uchumi wameua tena kwa spidi kali. Life limekuwa kituko na hakuna tena promise.

Imagine kwa Sasa ile sababu tuliyokuwa tunaandika kwenye Geography ya factor for poverty kuwa ni lack of skilled labours, inaonekana ni uongo na utapeli tulifanyiwa.

Leo watalamu kibaoo ila maisha ndiyo magumu zaidi. Poor my country.
 
Inategemea Mimi binafsi siwezi kuwa nimepata one ya 15 ambayo ndani yake nina A ya math then nikasomee ualimu grade A

Better late than never .

Uvimilivu Una faida zake maana hata hao ambao waliingia ktk ualimu Kwa D mbili sio kwamba ndo wametoboa isipokuwa uhakika wa kula upo.
 
Inategemea Mimi binafsi siwezi kuwa nimepata one ya 15 ambayo ndani yake nina A ya math then nikasomee ualimu grade A .

Better late than never .

Uvimilivu Una faida zake maana hata hao ambao waliingia ktk ualimu Kwa D mbili sio kwamba ndo wametoboa isipokuwa uhakika wa kula upo.
Mkuu si umesikia tumekatazwa hata kula na mashangazi, Sasa sisi tutakuwa wageni Wa nani.
 
Unazungumzia ajira za Uchawa kama Chashout?
Uwalimu na Upolice ni option ya mwisho ya mtanzania mnyonge kabisa tena aliejikatia tamaa.
As long as we're still breathing basi tunaeza pata kilicho bora zaid... Pesa ziko mwishoni wengi hawatozifikia.
 
Unazungumzia ajira za Uchawa kama Chashout?
Uwalimu na Upolice ni option ya mwisho ya mtanzania mnyonge kabisa tena aliejikatia tamaa.
As long as we're still breathing basi tunaeza pata kilicho bora zaid... Pesa ziko mwishoni wengi hawatozifikia.
Basi itakuwa ni vizuri mkuu
 
Huu ndiyo ukweli mchungu, wale waliojiongeza kwenda kusomea ualimu daraja la 111A, unesi na ukunga pamoja na fani zingine zikiwemo upolisi kimtindo mikeka yao imetiki means walichukua kidogo ila Cha kuwafaa.

Wanangu wengine waligoma kukeshout mikeka yao wakala shule mpaka chuo kikuu mwisho wa siku timu zimechana mwishoni. No job, no job, no job.

Makamu wa Rais anataka utafiti kwanini hakuna ajira ilihali uchumi wameua tena kwa spidi kali. Life limekuwa kituko na hakuna tena promise.

Imagine kwa Sasa ile sababu tuliyokuwa tunaandika kwenye Geography ya factor for poverty kuwa ni lack of skilled labours, inaonekana ni uongo na utapeli tulifanyiwa.

Leo watalamu kibaoo ila maisha ndiyo magumu zaidi. Poor my country.
Mimi wangu ulikatika dakika za meisho mpka dk ya 94cashout ilikuwainasoma mil 42
 
Back
Top Bottom