Tuliokurupukia kuanzisha biashara baadaye tukajua hatujui tukutane hapa

Hii Kali asee ,[emoji23][emoji1787]
 
Yaani wewe hata sikuhurumii aisee. Afadhali tu yaani hali ilikuwa kama ilivyokuwa kha!

Halafu unavyosimulia masikini. Kama nakuona usiku umelala unawaza mbona watu hawafi? Hii Korona vipi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Babu nimecheka had



Mbayaaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]HV mkuu ulikuwa seriuos au chai hii
 
Tujitahidini kuna biashara usiwekeze pesa yote hapo(usitie mayai kwenye kapu moja)

Kama una 10M ebu fanyia bishara 7M hizo 3 zibaki kama kilinda account,usitumie peda yote.

Inaweza tokea mchongo ama dili la 2M kisha unapata fida ya 5M.

Usitumie pesa zote kuanzisha biqshara,bakiza kiliwaza nafsi kidg
 
Daaah hatari Sana , Mwamba Baada ya kumaliza chuo ,mambo hayakuenda Viral kama nilivyotegemea , nikiwa sina hili wala lile , mara paap nikapata hot news toka kwa Wana , wakanitonya kuwa biashara ya kukausha samaki aina ya furu imeburst na inalipa kinoma ... samaki hawa watu wa kanda ya ziwa wanawaelewa , samaki hukaushwa kwenye mchanga wa ufukwe mwambao wa ziwa, baada ya kukaushwa husafrishwa kuuzwa na soko kuu ni nyanda za juu kusini , hasa Tunduma mpak nchi ya Zambia ,

Mhuni nikajichanga , nikachumpa maeneo ya Fukwe za Kayenze Mkoani Mwanza , nikiwa na matumaini lukuki...!!

Asikwambie mtu maisha ya ziwani ni tough na ya kuogofya, mostly watu wanaishi in a deadliest way , magonjwa kama Amiba, Typhoid , Malaria , na magonjwa yote yanayosababishwa na ngono zembe pamoja na ushirikina wa kutosha ziwani ndo mahali pake...

Aisee katika hii biashara nilikula vitasa vya uso mpak sio poa , baada ya miezi mitatu ya hasara niliamua kutimua...!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbwa dume unazngua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nakazia kwa kimombo inaitwa "Sunken Ship Fallacy"
 
Sasa zile mJeneza 250 ulitumia muda gani had kuja kuisha zote mnk Sasa uliingiliwa haswaa
 
Mkuu, mimi naona saizi una A,B,C za hii biashara. Ukirudi tena utafanikiwa tu!
 
Unapata hasara 60000 Af unarudi nyuma bro, kipindi fulani tulipakia mkaa kwa kibali kilichokuwa kimeisha muda mkaa ukakamatwa na mali asili , tukapelekwa polisi kwanza ,wale vijana niliokuwa nao wakatandikwa za kutosha Mimi mtoa noti nikawekwa pembeni baadae wakaniambia bila laki nane hatuachii gari hapo nna 130000 tu ikabidi kupigia wauzaji town wantumie hela niwaletee mzigo bahati sifa nzuri ya uaminifu nilishajenga kwaio wakatuma hela , nakumbuka hiyo trip ilinikata sana mtaji. Sikurudia tena kosa lile la kutaka kujikuta mjanja huku narisk mtaji wangu
 
🤣🤣🤣🤣
 
Yaani wewe hata sikuhurumii aisee. Afadhali tu yaani hali ilikuwa kama ilivyokuwa kha!

Halafu unavyosimulia masikini. Kama nakuona usiku umelala unawaza mbona watu hawafi? Hii Korona vipi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…