Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

Royal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
909
Reaction score
1,717
Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
 

Attachments

  • SGCAM_20240710_1322314590.jpg
    SGCAM_20240710_1322314590.jpg
    2.1 MB · Views: 13
Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Tatizo hawana elimu na ni mental case naunga mkono hoja mkuu. Ni cheapest mind Hawa Cc ephen_
 
MOSHI NILIKOMA
NILIJAA KWA MDADA WA PUB NKAMPA BIA 2 NKASHANGAA KAJA NA SAFARI ZINEFUNGULIWA ANAMALIZA HARAKA KULIKO NILIWMNUNULIA

MH NKAJIULIZA .GAFLA NKAMWAGIZIA MOJA AKASEMA NIONGEZE MOJA NKAMWAMBIA HAINAA SHIDA

MALIZA KWANZA HII.. NILISHAMHAIDI BK 5 NKAMPA KUMI KAOMBE CHENJI

AKAONDOKA NKAMIMINA ILE BIA ANAYOJIFAnyA KUNYWA NKAKUTA MAJI MATUPU

SIKUMJIBU AKANIPA BK 5 YANGU NKAMWAMBIA HAYO MAJI UTALIPA WEWE SINCE VIHEREHERE NA MADADA WA PUB SINA
 
Majina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!
Jamani hawa vijana wanajaribu kutoka,imagine mtu katokea huko mdabulo,au ifwagi huko hata bia zenyewe hazijui unategemea nini kitaendelea.Wacha wapambane mpaka mwanga upatikane
 
Back
Top Bottom