Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiombe kukutana na ccm wakicheza mapiano juu ya mezaHabari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Niko mbeya jijini hapa,nimeamua kuwa pembeni ya mji hapa iyunga,nikaenda kupata lunch pub moja ya kitmotoz,nikiwa nakula kaja mdada mama Fulani hivi,mbele yake kuna msela pembeni kabisa Niko mimi,nikaona anahangaika hakuna anaemjali akaamua kuweka kidole gumba katikati ya vidole kwa mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiwa anakula,Ile ishara watu wa communication tunajua anataka dudu,imagine saa saba upwilu umemkamata mama na gauni lake la kitenge,Kazi itafanyika saa ngapi,nimemwacha hapo mimi nikaendelea na ratiba ya siku.Tulieni wakati wa bwana utafika.Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Mwaisa umeshindwa kutuwakilisha vyemaNiko mbeya jijini hapa,nimeamua kuwa pembeni ya mji hapa iyunga,nikaenda kupata lunch pub moja ya kitmotoz,nikiwa nakula kaja mdada mama Fulani hivi,mbele yake kuna msela pembeni kabisa Niko mimi,nikaona anahangaika hakuna anaemjali akaamua kuweka kidole gumba katikati ya vidole kwa mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiwa anakula,Ile ishara watu wa communication tunajua anataka dudu,imagine saa saba upwilu umemkamata mama na gauni lake la kitenge,Kazi itafanyika saa ngapi,nimemwacha hapo mimi nikaendelea na ratiba ya siku.Tulieni wakati wa bwana utafika.
Itapendeza sana ingawa kuna Watu wakiona comment yako watapita wamekunja midomo
Sasa ataandikaje wakati hata wewe msomi umekosea 😂😂Afadhali Smirnof anaweza kujaribu. Kuna ile wine ya South sijui inaitwa Drostdyhof ataiandikaje huyo mwanadada.
Hahahaha Wacha wanune ila bangi Ina mchango mkubwa kwa mwanadamu.Itapendeza sana ingawa kuna Watu wakiona comment yako watapita wamekunja midomo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
🤣🤣🤣🤣🤣Majina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siminyoo.
Mkuu,mwanamke mzuri shida PEPMIS inasumbua na deadline kibao,Wacha aende walahi nilitaka,lakini mjini pagumu mkuuMwaisa umeshindwa kutuwakilisha vyema
Ataandika smanofuMajina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!
Na michango hio ya Bangi haijengi kanisa wala barabaraHahahaha Wacha wanune ila bangi Ina mchango mkubwa kwa mwanadamu.
Huyo ndio mimi mkuu...😞Ukamsaidiaje?
Nimekupenda ulivyooHuyo ndio mimi mkuu...😞
Nimesha kucheck PM...😋Nimekupenda ulivyoo