Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
usiombe kukutana na ccm wakicheza mapiano juu ya meza
 
Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Niko mbeya jijini hapa,nimeamua kuwa pembeni ya mji hapa iyunga,nikaenda kupata lunch pub moja ya kitmotoz,nikiwa nakula kaja mdada mama Fulani hivi,mbele yake kuna msela pembeni kabisa Niko mimi,nikaona anahangaika hakuna anaemjali akaamua kuweka kidole gumba katikati ya vidole kwa mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiwa anakula,Ile ishara watu wa communication tunajua anataka dudu,imagine saa saba upwilu umemkamata mama na gauni lake la kitenge,Kazi itafanyika saa ngapi,nimemwacha hapo mimi nikaendelea na ratiba ya siku.Tulieni wakati wa bwana utafika.
 
Niko mbeya jijini hapa,nimeamua kuwa pembeni ya mji hapa iyunga,nikaenda kupata lunch pub moja ya kitmotoz,nikiwa nakula kaja mdada mama Fulani hivi,mbele yake kuna msela pembeni kabisa Niko mimi,nikaona anahangaika hakuna anaemjali akaamua kuweka kidole gumba katikati ya vidole kwa mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiwa anakula,Ile ishara watu wa communication tunajua anataka dudu,imagine saa saba upwilu umemkamata mama na gauni lake la kitenge,Kazi itafanyika saa ngapi,nimemwacha hapo mimi nikaendelea na ratiba ya siku.Tulieni wakati wa bwana utafika.
Mwaisa umeshindwa kutuwakilisha vyema
 
2025 inabidi wafungue baa ya kuvutia bangi kama ulaya.

the weed bar

20240622_204916.jpg
 
Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom