Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

Tuliokutana na Vituko Grocery au Pub au Bar za Mtaani tukutane hapa

Hivi ni kweli Mashoga wanakuaga huko Pub? Bar? Club? Naona mnawasingizia nyie hapa, ungesema kwenye shughuri au vigodoro hapo sawaa!!
Shuka tbovu tembeaakwamiguu ukienda rainbow saasabampakakuminamooja India pub zenye ac ndani angalia
Ukidhurika sinusitis maana wanaushawishi
 
DK NILIMSKIQ JANA AISEE NIMEPANGA KUACHA POMBE KWA MDAA KHA

ANASEMA NYIE KUNYWENI MKIJA HHAPA KUKUSAFISHA KWA WIKI MIL KADHAA KWA MWEZI MIL KADHAA HUNA NAKUANGALIA UKIFAAA DAH YAAN LIVE
 
Jamani hawa vijana wanajaribu kutoka,imagine mtu katokea huko mdabulo,au ifwagi huko hata bia zenyewe hazijui unategemea nini kitaendelea.Wacha wapambane mpaka mwanga upatikane
Uongo mdabulo na ifwagi hadi ihanu na kilosa mufindi tunalima miti mingi sana tunakunywa bia usiku kucha usituonee broo
 
Unawadharau sanaa wahehe wa Mufindi...!!!

#YNWA
Mshana Jr kuna Kazi huku,wamenipiga tukio,waliniuzia ardhi hekari 15 miaka ya 2016 this year few weeks a go wameenda kuvuna miti yote wao wenyewe na kuniacha vidonda vya uchumi.Office mate wangu mhehe,shemeji yangu kwa brother ni mhehe,dad's yangu kaolewa na mhehe,ukiinuka nchale,ukiinuka kidimbwi nchale.
 
M
Uongo mdabulo na ifwagi hadi ihanu na kilosa mufindi tunalima miti mingi sana tunakunywa bia usiku kucha usituonee broo
Kalinga mmoja wa huko kanipigia tukio kachana mbao kwenye shamba aliloniuzia miaka ya nyuma toka 2016,nimekasirika Sana mpaka nimejipa vacation toka Moro mpaka white lodge mwanza huko nikazunguka mwanza nzima Buhengwa huko na maeneo ya mjini kati ndo nikaridi Mbeya sasa Niko home,ndo akili imekaa sawa,ningekuwa na cha moto ningeramba mtu miguu wallah.But I am healing slowly before I take some steps.
 
Shuka tbovu tembeaakwamiguu ukienda rainbow saasabampakakuminamooja India pub zenye ac ndani angalia
Ukidhurika sinusitis maana wanaushawishi
Wanawezajee? Hawaogopii? Hawajistukiii? LOL
 
Kwenye hizi pub, sitosahau siku panya alidondokea kwenye Glass ya bia ya mshikaji, mshikaji akamtoa chap na kumfyonza ile bia huku akinyonga
 
Kwenye hizi pub, sitosahau siku panya alidondokea kwenye Glass ya bia ya mshikaji, mshikaji akamtoa chap na kumfyonza ile bia huku akinyonga
Itakuwa hii bia aliinunulia kwa hela ya mkeka uliotiki wa odds kama 2.3
 
Back
Top Bottom