Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shuka tbovu tembeaakwamiguu ukienda rainbow saasabampakakuminamooja India pub zenye ac ndani angaliaHivi ni kweli Mashoga wanakuaga huko Pub? Bar? Club? Naona mnawasingizia nyie hapa, ungesema kwenye shughuri au vigodoro hapo sawaa!!
Nawe Tupe mwongozo wako lo
Si afadhali Drostdyhof, Jägermeister je unadhani itakuwaje?Afadhali Smirnof anaweza kujaribu. Kuna ile wine ya South sijui inaitwa Drostdyhof ataiandikaje huyo mwanadada.
Zikooo drosty za manzeseee ndugu nendanuliza pombe za dili utafurahia nann kali kama za jnbSi afadhali Drostdyhof, Jägermeister je unadhani itakuwaje?
Mambo ya kuweka rehani figo mkuu, hapana.Zikooo drosty za manzeseee ndugu nendanuliza pombe za dili utafurahia nann kali kama za jnb
Usihofuumkuuu dk janabi anakwambia hakushindikan kitu hela yakoo tuMambo ya kuweka rehani figo mkuu, hapana.
Sasa hela sina utajiri pekee nilionao ni afya njemaUsihofuumkuuu dk janabi anakwambia hakushindikan kitu hela yakoo tu
Hio wanarahisisha, wanaita jaga 😀 😀 😀Si afadhali Drostdyhof, Jägermeister je unadhani itakuwaje?
Uongo mdabulo na ifwagi hadi ihanu na kilosa mufindi tunalima miti mingi sana tunakunywa bia usiku kucha usituonee brooJamani hawa vijana wanajaribu kutoka,imagine mtu katokea huko mdabulo,au ifwagi huko hata bia zenyewe hazijui unategemea nini kitaendelea.Wacha wapambane mpaka mwanga upatikane
Mshana Jr kuna Kazi huku,wamenipiga tukio,waliniuzia ardhi hekari 15 miaka ya 2016 this year few weeks a go wameenda kuvuna miti yote wao wenyewe na kuniacha vidonda vya uchumi.Office mate wangu mhehe,shemeji yangu kwa brother ni mhehe,dad's yangu kaolewa na mhehe,ukiinuka nchale,ukiinuka kidimbwi nchale.Unawadharau sanaa wahehe wa Mufindi...!!!
#YNWA
Kalinga mmoja wa huko kanipigia tukio kachana mbao kwenye shamba aliloniuzia miaka ya nyuma toka 2016,nimekasirika Sana mpaka nimejipa vacation toka Moro mpaka white lodge mwanza huko nikazunguka mwanza nzima Buhengwa huko na maeneo ya mjini kati ndo nikaridi Mbeya sasa Niko home,ndo akili imekaa sawa,ningekuwa na cha moto ningeramba mtu miguu wallah.But I am healing slowly before I take some steps.Uongo mdabulo na ifwagi hadi ihanu na kilosa mufindi tunalima miti mingi sana tunakunywa bia usiku kucha usituonee broo
Afadhali Smirnof anaweza kujaribu. Kuna ile wine ya South sijui inaitwa Drostdyhof ataiandikaje huyo mwanadada.
Wanawezajee? Hawaogopii? Hawajistukiii? LOLShuka tbovu tembeaakwamiguu ukienda rainbow saasabampakakuminamooja India pub zenye ac ndani angalia
Ukidhurika sinusitis maana wanaushawishi
JagamastaSi afadhali Drostdyhof, Jägermeister je unadhani itakuwaje?
Aliyeandika bili itakuwa huyo wa SingidaWatanzania mmoja ni Rombo mwingine Singida na Upare
Itakuwa hii bia aliinunulia kwa hela ya mkeka uliotiki wa odds kama 2.3Kwenye hizi pub, sitosahau siku panya alidondokea kwenye Glass ya bia ya mshikaji, mshikaji akamtoa chap na kumfyonza ile bia huku akinyonga