Tatizo hawana elimu na ni mental case naunga mkono hoja mkuu. Ni cheapest mind Hawa Cc ephen_Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Afadhali Smirnof anaweza kujaribu. Kuna ile wine ya South sijui inaitwa Drostdyhof ataiandikaje huyo mwanadada.Majina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!
Siminyoo.Smirnoff
Ukamsaidiaje?Nilijiskia vibaya sana this day...☹️
Jamani hawa vijana wanajaribu kutoka,imagine mtu katokea huko mdabulo,au ifwagi huko hata bia zenyewe hazijui unategemea nini kitaendelea.Wacha wapambane mpaka mwanga upatikaneMajina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!