Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Alikuona fala.MOSHI NILIKOMA
NILIJAA KWA MDADA WA PUB NKAMPA BIA 2 NKASHANGAA KAJA NA SAFARI ZINEFUNGULIWA ANAMALIZA HARAKA KULIKO NILIWMNUNULIA
MH NKAJIULIZA .GAFLA NKAMWAGIZIA MOJA AKASEMA NIONGEZE MOJA NKAMWAMBIA HAINAA SHIDA
MALIZA KWANZA HII.. NILISHAMHAIDI BK 5 NKAMPA KUMI KAOMBE CHENJI
AKAONDOKA NKAMIMINA ILE BIA ANAYOJIFAnyA KUNYWA NKAKUTA MAJI MATUPU
SIKUMJIBU AKANIPA BK 5 YANGU NKAMWAMBIA HAYO MAJI UTALIPA WEWE SINCE VIHEREHERE NA MADADA WA PUB SINA
Sio Fala huwa napenda wajione nao bibadamyAlikuona fala.
Ukiskia ntumie na ta kutolea nijeeeNimesha kucheck PM...😋
SawaHabari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Nirekebishe man, inaandikwaje? Twende kazi 😀 😀Sasa ataandikaje wakati hata wewe msomi umekosea 😂😂
😳😳😳😳Na michango hio ya Bangi haijengi kanisa wala barabara
SiminofuMajina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!
Na ndio hali ya watanzania wengi ilivyo huyo hawezi kutaka kupigania haki zake hata siku moja..Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Mkuu niliwahi kuwa na demu mmoja alikua hajui kuandika vizuri kama dizaini hiyo lakini kichwani alikua very very smart, itoshe tu kusema alikua na ufahamu mkubwa sana hadi nikawa namshangaa tuHabari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa Soda mbili Valeur wanauza 3,000/= Beer 2,000/= soda ni 700/= angalia Bill niliyoandikiwa hapo Tanzania kuhusu Elimu bado tuna safari ndefu hawa wahudumu wana kama 26 hivi ikabidi nimpe 15,000/=
Halafu unakuta aliyemuoa naye ni chengaMkuu niliwahi kuwa na demu mmoja alikua hajui kuandika vizuri kama dizaini hiyo lakini kichwani alikua very very smart, itoshe tu kusema alikua na ufahamu mkubwa sana hadi nikawa namshangaa tu
Kama ingekua bado sijajikomiti kwa shemeji yenu ningemuoa aisee
Na hakika aliye muoa atakua kapata mke mzuri sana
Unawadharau sanaa wahehe wa Mufindi...!!!Jamani hawa vijana wanajaribu kutoka,imagine mtu katokea huko mdabulo,au ifwagi huko hata bia zenyewe hazijui unategemea nini kitaendelea.Wacha wapambane mpaka mwanga upatikane
Siminofu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majina ya vinywaji huandika: Kesto (Castle), kevati (K-Vant), kili, valuu(Valeur), buli(Red Bull), santana(Saint Anna), laiti(Lite), nk. Sijui ukiagiza 'Smirnoff' ataandikaje..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MOSHI NILIKOMA
NILIJAA KWA MDADA WA PUB NKAMPA BIA 2 NKASHANGAA KAJA NA SAFARI ZINEFUNGULIWA ANAMALIZA HARAKA KULIKO NILIWMNUNULIA
MH NKAJIULIZA .GAFLA NKAMWAGIZIA MOJA AKASEMA NIONGEZE MOJA NKAMWAMBIA HAINAA SHIDA
MALIZA KWANZA HII.. NILISHAMHAIDI BK 5 NKAMPA KUMI KAOMBE CHENJI
AKAONDOKA NKAMIMINA ILE BIA ANAYOJIFAnyA KUNYWA NKAKUTA MAJI MATUPU
SIKUMJIBU AKANIPA BK 5 YANGU NKAMWAMBIA HAYO MAJI UTALIPA WEWE SINCE VIHEREHERE NA MADADA WA PUB SINA
Hivi ni kweli Mashoga wanakuaga huko Pub? Bar? Club? Naona mnawasingizia nyie hapa, ungesema kwenye shughuri au vigodoro hapo sawaa!!shida moja tu mfano pub za tankibovu kushuka top garage mpaka rainbow nyingi zimeanza kujaa mashogaaaa inabidi ujibanze za uswahilini tu