Tuliokuwa tukimsilibia Waziri Nchemba atumbuliwe na Rais leo hii tunajisikiaje akiendelea Kuaminiwa na kuwa Waziri wa Fedha tu?

Tuliokuwa tukimsilibia Waziri Nchemba atumbuliwe na Rais leo hii tunajisikiaje akiendelea Kuaminiwa na kuwa Waziri wa Fedha tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Leo ndiyo nimeamini Wanadamu wanaweza Kukuchukia kwa kila namna na hata Kukuombea Ufe kabisa au Maisha yako yawe Magumu kama yao ( waliyonayo ) ila Mwenyezi Mungu na Malaika wake wakisema HAPANA basi jua ni HAPANA Kweli.

Mwenye ule Wimbo niupendao ( jina nimesahau ) wa Zablon Singers aniwekee tafadhali ili GENTAMIYCINE niusikilize pamoja na Mtani wangu wa Kinyiramba Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba.

Nuneni ila jueni hatumbuliwi ng'o!!!!!
 
Tanzania hata iweje Mtu wa Dhehebu siyo la Katolilki hawezi kuwa Rais wa Tanzania.

Sitaki Swali kwanini sawa?
ni suala la muda tu, zitakuja nyakati itahojiwa kwa nini ni wakatoliki na waislam tu ndiyo hupewa uongozi wa nchi hii kana kwamba ni wao tu ndiyo waliopo na wenye akili kuliko wengine
 
Leo ndiyo nimeamini Wanadamu wanaweza Kukuchukia kwa kila namna na hata Kukuombea Ufe kabisa au Maisha yako yawe Magumu kama yao ( waliyonayo ) ila Mwenyezi Mungu na Malaika wake wakisema HAPANA basi jua ni HAPANA Kweli.

Mwenye ule Wimbo niupendao ( jina nimesahau ) wa Zablon Singers aniwekee tafadhali ili GENTAMIYCINE niusikilize pamoja na Mtani wangu wa Kinyiramba Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba.

Nuneni ila jueni hatumbuliwi ng'o!!!!!

Mungu ni wawote
 
Leo ndiyo nimeamini Wanadamu wanaweza Kukuchukia kwa kila namna na hata Kukuombea Ufe kabisa au Maisha yako yawe Magumu kama yao ( waliyonayo ) ila Mwenyezi Mungu na Malaika wake wakisema HAPANA basi jua ni HAPANA Kweli.

Mwenye ule Wimbo niupendao ( jina nimesahau ) wa Zablon Singers aniwekee tafadhali ili GENTAMIYCINE niusikilize pamoja na Mtani wangu wa Kinyiramba Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba.

Nuneni ila jueni hatumbuliwi ng'o!!!!!

Mungu akipanga Hakuna mwanadamu anayeweza kushindana na Mungu MUNGU WETU ANASIKIA MWIGULU ATAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII
 
Hata ukimpigia promo haiondoi ukweli kwamba yeye ndio mtuhumiwa namba Moja kwenye Riport ya CAG,

Kwhyumetudhihirishia mahaba ya kipopoma tu
 
Hata ukimpigia promo haiondoi ukweli kwamba yeye ndio mtuhumiwa namba Moja kwenye Riport ya CAG,

Kwhyumetudhihirishia mahaba ya kipopoma tu

Jifunze kuandika kwanza si debate na darasa la saba mimi
 
Mliokaririshwa na mitandao akili zenu kufanya kazi itachukua mda mrefu sana tumia akili yako sio kucopy kila kitu
 
Mungu akipanga Hakuna mwanadamu anayeweza kushindana na Mungu MUNGU WETU ANASIKIA MWIGULU ATAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII
TUsimhusishe Mungu na mambo ya hovyo kama haya.
 
Mungu akipanga Hakuna mwanadamu anayeweza kushindana na Mungu MUNGU WETU ANASIKIA MWIGULU ATAKUJA KUWA RAIS WA NCHI HII
Rais wa wezi na kamati ya Roho mbaya labda.
 
Back
Top Bottom