kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣Si mpaka awe na gari sasa, kama hana bora atembee Pembezoni mwa barabara wasije kumkaba buure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Si mpaka awe na gari sasa, kama hana bora atembee Pembezoni mwa barabara wasije kumkaba buure
Kimara sehemu gani?Kuna Lori la mafuta limeziba njia tuna saa mbili sasa na hakuna dalili za kuliondoa.
asante sana, kwa kutokea korogwe kwenda kimara ukishapita kituo cha mwendo kasi tu hakuna njia ya mkato. na mimi ndo nilipokwama.Aiseeh poleni, hapo kama kuna namna ya kuingia service road fanya hivyo uingie ndanindani utokelezee mbezi mwisho laa sivyo Eid itakukuta hapohapo.
oya endelea kulinda sungusungu kama unausingizi kalale. sasa kama hufahamu povu la nn.Kimara sehemu gani?
Huu uwongo wa kuandika face book au jf kwamba Kuna foleni mahali ili waif aisome kwenye mitandao ilhali mwandishi Yuko nyumba ndogo imekithiri siku hizi.
Be specific, lorry limeziba njia Kimara ipi?
Kimara inaanzia Kona Hadi Suka.
Paki gari lamba boda.au rudi mlimani unaibuka temboni,ukigeuza tu hapo ukapita maramba mawili unapaona kwako.ukitoka korogwe kuitafuta kimara mwisho hakuna njia ya kuchepuka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee ulipania kwenda tu.
Labda mzumbe dar au mwl nyerereNa huyo unakuta ana Masters Degree
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si mpaka awe na gari sasa, kama hana bora atembee Pembezoni mwa barabara wasije kumkaba buure
Lorry ni Kiingereza sio Kiswahili.Mimi nikisema nawe umekosea kuwa sio lori bali ni lorry nitakuwa sawa?
Si ajabu walilala hapohapounakuta mtu hajafika home mpaka sasa
Bora walale hapo hapoSi ajabu walilala hapohapo
Njia ipo upande wa kulia inaanzi butcher hadi kibanda cha mkaaukitoka korogwe kuitafuta kimara mwisho hakuna njia ya kuchepuka.
Si mpaka awe na gari sasa, kama hana bora atembee Pembezoni mwa barabara wasije kumkaba buure
mkuu unafaham ajali. gari imehama kutoka upande wa pili imepanda blocks imekuja upande mwingine. cabin inachungulia bonde, teler ina tank inasukumaje.Why uje kulalama humu kabla ya wewe na waathirika wengine kufika hapo kwenye lorry na kulisukuma pembeni ili hata line moja ifunguke?,na usione hilo lorry lilikua kwenye fast line!,ilitakiwa all heavy trucks kuanzia pale ubungo hadi mbezi mwisho zitumie slow line
Kama Dr am 4 real PhD 😂😂😂😂Na huyo unakuta ana Masters Degree
Mkuu,Sometimes wanaokaa dar wanajikuta wajanja sana, ona sasa tabu mnazopitia
....
Pole sana,me nilitumia service road ya upande wa pili mkabala na petrol station ya OryxKuna Lori la mafuta limeziba njia tuna saa mbili sasa na hakuna dalili za kuliondoa.
Matatizo Yako ya kuchanganya L na R usiyafanye yawe ni matatizo ya lugha ya Kiswahili. Huna akili ndio mana huwezi kutofautisha sauti ya L na R.Mi km ningekua na uwezo ningefuta sound R kwenye kiswahili, ni usumbufu tu.
Nikisema bahari na bahali, mwalimu au mwaribu sauti ni zile zile tu. Kusumbuana