kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
- Thread starter
- #41
dah kongole kwako, me nlinasa eneo la tukio hata kurudi nyuma ilikuwa ngumu.Pole sana,me nilitumia service road ya upande wa pili mkabala na petrol station ya Oryx
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah kongole kwako, me nlinasa eneo la tukio hata kurudi nyuma ilikuwa ngumu.Pole sana,me nilitumia service road ya upande wa pili mkabala na petrol station ya Oryx
Pole sana mkuu,huwa napenda sana kutanua ikifika nyakati ambazo hakieleweki,niliona baadhi ya gari nyingi zinarudi zikitokea upande wa kanisa ka korogwe kuja bucha,nikashutuka nikaamua nichukue hatua mapemadah kongole kwako, me nlinasa eneo la tukio hata kurudi nyuma ilikuwa ngumu.
Na imechukua 4 hrs kwa break down kuwasili eneo la tukio!,mbombo ipo..Tanzania yangu bado sana na tufanyeni kazi kwa smart not hardermkuu unafaham ajali. gari imehama kutoka upande wa pili imepanda blocks imekuja upande mwingine. cabin inachungulia bonde, teler ina tank inasukumaje.
Dawa ilikuwa kugeuza tu warudi walikotokaBora walale hapo hapo
Acha shobo na wanaume, utaolewaMatatizo Yako ya kuchanganya L na R usiyafanye yawe ni matatizo ya lugha ya Kiswahili. Huna akili ndio mana huwezi kutofautisha sauti ya L na R.
Imesimama njoo ukalieAcha shobo na wanaume, utaolewa