Tulionya tukapuuzwa, tukashauri wapinzani, basi wao wachukue nafasi ya upepo wa JPM, wakatuita kila aina ya majina!

Akili kisoda
 
Kanda ya ziwa ni watu wenye akili inayyojitegemea, hawaelekezwi nani wa kumkubali au kuchagua, mitazamo yao haiwi compromised
Wote wana hiyo "akili" inayojitegemea?. Kama sio wote je,wengi wapi,wenye akili au wasio na hiyo akili?[emoji120]
 
Ni kweli sikio la kufa halisikii dawa !
Sasa wenzao wameona hakuna namna nyingine isipokuwa kurudi nyuma na kuanza kutembelea viatu vya Mwamba japokuwa viatu ni vikubwa sana πŸ˜…πŸ™πŸ™πŸ˜…
 
Aise hiyo imeenda! hiyo imeendaaaaaa πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€Waliokuwa wanambeza JPM sasa hivi wanatumbua macho tu!!
Na baadhi yao wameshapiga about turn ! πŸ˜…πŸ˜…πŸ™
Tuliwaambia nendeni kwa Ground mkajionee JPM alikuwa ni nani kwenye mioyo ya wengi !
Japo viatu vyake ni vikubwa sana !!
Ngoja tuone !
 
CCM walimtukanaje Magufuli?

Unaweza kutuwekea facts hapa ili na sisi tunaotumia akili, badala ya maneno ya kwenye kanga na kahawa tuweze kujiridhisha!
Akili zenu zinafanana, chungu kuita birika nyeus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…