Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Tulionya umeme wa maji sio wa uhakika kwa sababu mvua hazitabiriki siku hizi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini.
Lakini watu wakatia pamba masikioni na kutekelekeza mradi wa gesi uliokuwa umegharimu mabilioni tayari.
Hayo matrilioni kwenye bwawa la Nyerere ni kama yanapotea tu sababu ni ya kutegemea mvua hizi hizi za kubahatisha.
Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini.
Lakini watu wakatia pamba masikioni na kutekelekeza mradi wa gesi uliokuwa umegharimu mabilioni tayari.
Hayo matrilioni kwenye bwawa la Nyerere ni kama yanapotea tu sababu ni ya kutegemea mvua hizi hizi za kubahatisha.