Tulionya umeme wa maji sio wa kutegemewa, Hayati Magufuli akatia kiburi, leo tuna mgao

Tulionya umeme wa maji sio wa kutegemewa, Hayati Magufuli akatia kiburi, leo tuna mgao

Tunataka tujue hiyo mikataba na kwanini haigusiki. Sio wahuni watambe kwa mikataba isiyo na tija na bado waachwe.
Mikataba ukiivunja lazima ufirisi nchi mkuu ni kusubiri tu mpaka hiyo miaka ikamilike na ubaya zaidi hata wataalamu wetu hawaajiriwi huko kwenye mitambo ya gas hivyo itamalizika hiyo miaka hatutakuwa na wataalamu wa kuendesha mitambo hiyo ya uchimbaji wa gas itabidi tuendelea kurenew mikataba hiyo tena mpaka gas iishe kabisa huko ardhini. Ni shida sana.
 
Mikataba ukiivunja lazima ufirisi nchi mkuu ni kusubiri tu mpaka hiyo miaka ikamilike na ubaya zaidi hata wataalamu wetu hawaajiriwi huko kwenye mitambo ya gas hivyo itamalizika hiyo miaka hatutakuwa na wataalamu wa kuendesha mitambo hiyo ya uchimbaji wa gas itabidi tuendelea kurenew mikataba hiyo tena mpaka gas iishe kabisa huko ardhini. Ni shida sana.

Ndio tunasema ukweli uwekwe hadharani tujue nani katufikisha hapa, sio kutuambia mikataba haigusiki kisha ndio iishe.
 
Dunia ilishaachana na Technologia ya umeme wa maji miaka nenda rudi ila sisi Tanzania karne ya 22 bado tunarudi kule kule ambako mpini ulibaki shoka likaungua.

Haya ndiyo madhara ya kutokuwa na mikakatiya kitaifa ya muda mfupi na mrefu.

Tungepata umeme wa uhakika wa muda mfupi tena kwa bei nafuu kwa kutumia
Upepo
Jua

Muda mrefu kwa kutumia
Makaa ya mawe,
Gesi - LNG
Uranium.
Sio kweli, umeme lazima uwe kutoka vyanzo mbalimbali renewable na non renewable

Gesi ni non renewable hivyo sio sustainable. Lakini hata hivyo bado tunategemea gesi kwa asilimia kubwa kuzalisha umeme hapa kwetu 65%. Hii story ya kwamba tunategemea sana maji kuzaisha umeme sio ya kweli, umeme wa maji ni 33% tu.

Tatizo kubwa ni gesi hii ya kuzalisha umeme tunainunua kutoka kwa wawekezaji, tukisema tuachane na vyanzo vingine ambavyo ni renewable basi huko mbeleni kutaakua na shida kubwa na crisis. Ingekua tumewekeza kwenye gesi kwa pesa zetu wenyewe basi unayosema yangekua sawa kabisa
 
Huyu jama inatakiwa afufuliwe kisha auliwe au tuchape maiti yake viboko 12 kila siku asubuhi.
 
Ndio tunasema ukweli uwekwe hadharani tujue nani katufikisha hapa, sio kutuambia mikataba haigusiki kisha ndio iishe.
Hapa wala hakuna wa kulaumiwa, tujadili hili bila mhemko. Twende taratibu tu

Sisi tuna gesi Ila hatuna pesa, inatubidi kwenda kutafuta wawekezaji. Hawa wawekezaji moja ya vipengele vyao ni mikataba hii kutokua wazi. Je ilipaswa tukatae na kuwalazimisha mikataba hii kuwa open??

Mfano hivi karibuni tulirudi mezani na mwekezaji kwenye gesi asilia mradi wa trillion 90. Mwekezaji ana kipengele Cha mkataba kutokua wazi. Je ilipaswa serikali iachane nae sababu mkataba hautaakua open? Hiyo trillion 90 sisi tutaipata wapi?
 
Huyu jama inatakiwa afufuliwe kisha auliwe au tuchape maiti yake viboko 12 kila siku asubuhi.
Mara kadhaa nimesema humu sasa hivi jamii forums Kuna watu wengi wameanza kuwa low

Umeme tunategemea hadi Sasa ni umeme wa gesi tena kwa 65%, hatutegemei umeme wa maji. Umeme wa maji ni kwa asilimia ndogo sana 33%.

Lakini umeme unapaswa kuzalishwa kwa vyanzo tofauti, ukisema tutegemee tu gesi kwa 100%. Basi jua tutaanguka moja kwa moja, kwa kuwa gesi hii tunainunua kutoka kwa wawekezaji. Pili gesi sio renawable energy hivyo haipo sustainable.
 
Ndio tunasema ukweli uwekwe hadharani tujue nani katufikisha hapa, sio kutuambia mikataba haigusiki kisha ndio iishe.
Kaiombe usome ipo Bungeni na Wizarani. Unaruhusiwa kuiomba na kuisoma lakini hairuhusiwi kuwekwa Public kwa sababu ya ushindani wa kibiashara duniani. Siyo TZ tu bali duniani kote.
 
Tulionya umeme wa maji sio wa uhakika kwa sababu mvua hazitabiriki siku hizi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani.

Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini.

Lakini watu wakatia pamba masikioni na kutekelekeza mradi wa gesi uliokuwa umegharimu mabilioni tayari.

Hayo matrilioni kwenye bwawa la Nyerere ni kama yanapotea tu sababu ni ya kutegemea mvua hizi hizi za kubahatisha.
Hakuna kazi ngumu Kama kumshauri Lord Lofa
 
Hili la gesi ya kwetu au si ya kwetu ni mada ambazo hujadiliwa na wasio na ufahamu.

Gesi kuwa kwetu haimaanishi ni ya kwetu, lakini pia haimaanishi haiwezi kuwa ya kwetu.

Issue nzima ni pesa. Hatukua na pesa ya kuchimba gesi, hivyo waliowekeza pesa zao ni haki yao kuivuna na kutuuzia. Yes gesi tunainunua kutoka kwa wawekezaji ili tuzalishe umeme.

Gesi huisha, kabla hatujalaumu kuwa kwa nn gesi ipo kwetu lakini sio yetu tulipaswa kujiuliza je tuna pesa za kuchimba hiyo gesi? Mradi mpya tu unahitaji trillion 90, tunazo?
Labda jamaa anafikiri tutaichimba hiyo gesi kwa kutumia koleo halafu tutuikusanya na ndoo; ha ha ha.
 
mshaanza propaganda wananchi wanasubiri kwa hamu BWAWA LA NYERERE likamilike la sivyo hapatatosha
 
Magufuri acha apumzike, alikuwa mtu na nusu hakuna aliempiku mpaka sasa, tuendelee na waliopo..washauri cha kufanya
 
Tulionya umeme wa maji sio wa uhakika kwa sababu mvua hazitabiriki siku hizi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani.

Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini.

Lakini watu wakatia pamba masikioni na kutekelekeza mradi wa gesi uliokuwa umegharimu mabilioni tayari.

Hayo matrilioni kwenye bwawa la Nyerere ni kama yanapotea tu sababu ni ya kutegemea mvua hizi hizi za kubahatisha.

Sometimes tuheshim mawazo ya viongozi wetu

Wao wanaona zaidi na kuelewa zaidi kuliko sisi

Do you think ges ingekuwa na faida that big kwenye umeme wetu Jpm angeacha kutumia?

Mpaka aliacha na kwenda kwenye bwawa ujue kuna mambo hayakuwa sawa
 
Unajua hiyo gas inamirikiwa na nani? Unafikiri ni ya watz? Ni ya wazungu mkuu itarudi kumilikiwa na watz baada ya miaka 50. Hivyo usiitegemee sana hiyo gas tulipigwa sana tu wakati wakusaini mikataba ya utafutaji na uchimbaji wa gas hiyo. Ilitumika njia ya BOT yaani Build, Operate and Transfer hivyo tulipigwa kwenye ku Operate for 50 years.

Wataalamu wetu hawaku bargan sawa sawa. Na kwa sasa tena tumeruhusu gas yetu kupelekwa Mombasa ili ikapakiwe kwenye Meli na kupelekwa Ulaya bado tena tumepigwa kwa mara nyingine afadhali ingepakiwa Mtwara ili tuambulie hata vikodi na wafanyakazi wa kupakia hapo Bandarini Mtwara hivyo hata mzunguko wa pesa ungeongezeka kwa watz wa Mtwara sasa tumewapelekea Wakenya tena!! Sijui nani katuroga!
Sasa Kama sio yetu mbona unasema tumeruhusu kupelekwa Kenya, tungeruhusu vip Kama hatuimiliki?
 
Kati ya maji na gesi, kipi renewable? Kwanini mkiambiwa, hamchanganyi na za kwenu?

Isitoshe, tunaweza kulinda vyanzo vyetu vya maji lakini tunaweza kulazimisha geology itututengenezee gesi?

Kama ni ukame, umekuwepo toka enzi za kina Baba wa Mataifa Ibrahim(Abraham), Isaka, Nuhu, Yakobo etc.
Acheni kutumia masaburi kufikiri.
Nchi ya Qatar ipo jangwani kwa asilimia 100% rasilimali yao ni gesi tu ambayo sio renewable, na ni moja ya nchi tajiri zaidi ulimwenguni

Usijikwamishe kwenye kigezo Cha renewable, Kama gesi ipo ya kutosha..!
 
Back
Top Bottom