Tuliooa kwa mahari ndogo tuje tuseme lolote juu ya jambo letu hili

Kusheherekea jmsiyo jambo ubaya ni nini unasherehekea na je ulazima wa kufanya hilo upo na je kuna natija ya kufanya hivyo ?

Ni ipi maana ya kusherehekea siku ya Wanawake duniani ? Sijaona haja hiyo na sababu ninazo.
Almost celebration zote sio lazima kuzi-celebrate. Na kucelebrate sio jambo la lazima ni jambo la hiari kwa mtu anayependa kufanya hivyo. Ndio maana sio watu wote wanasherekea.

Nikujibu kwa kuuliza swali, kwanini unasherekea Independence Day? Kuna ulazima gani? Kwanini kuna sherehe za muungano? Zina ulazima gani? Kwanini unasherekea Valentine's Day? Kuna ulazima gani?

Edit: sababu zako ni zipi?
 
Nikujibu kwa kuuliza swali, kwanini unasherekea Independence Day? Kuna ulazima gani? Kwanini kuna sherehe za muungano? Zina ulazima gani? Kwanini unasherekea Valentine's Day? Kuna ulazima gani?
Mimi hizo zote ulizo zitaja sisherehekei hata moja. Mimi nina sikukuu tatu tu basi kwa mwaka,nazo ni :

1. Kila siku ya Ijumaa kwangu ni sikukuu
2. Idd al Fitri
3. Idd al Adh'ha (Idd ya kuchinja)

Sasa maswali yako yanatakiwa yatokee katika hizo sikukuu tatu hapo juu.

Tanbihi : Hivi sahihi ni "Sherekea" au "Sherehekea" ?
 
Almost celebration zote sio lazima kuzi-celebrate. Na kucelebrate sio jambo la lazima ni jambo la hiari kwa mtu anayependa kufanya hivyo. Ndio maana sio watu wote wanasherekea.
Hapa kidogo napingana na wewe. Maelezo ya kwanini, yatafata baadae pakionekana kama kuna haja ya kufanya hivyo.
 
Wewe hausherehekei lakini zipo na watu wanasheherekea. Na zingine ulikuwa unaambiwa usiende shule usiende kazini na unabaki home.

Sikimbuki kuona umehoji juu ya watu ku-celebrate juu ya hizo siku.
Why Women's Day? Ni muda wa kunipa zile sababu zako.

Asante kwa masahihisho sijui neno sahihi ni lipi ila naamini hilo uliloandika wewe.
 
Hapa kidogo napingana na wewe. Maelezo ya kwanini, yatafata baadae pakionekana kama kuna haja ya kufanya hivyo.
Kwanini unapingana na mimi? Kupingana na mimi ni kinyume ya nilichoandika.
Hiyo ikimaanisha kwamba celebration zote ni lazima kusheherekea na watu wote lazima washerehekee.
 
Wewe hausherehekei lakini zipo na watu wanasheherekea. Na zingine ulikuwa unaambiwa usiende shule usiende kazini na unabaki home.
Sahihi kabisa.
Sikimbuki kuona umehoji juu ya watu ku-celebrate juu ya hizo siku.
Why Women's Day? Ni muda wa kunipa zile sababu zako.
Hizo sijahoji sababu ubatili wake ni maarufu sana.

Nahoji hii sababu, ukimtengeneza Mwanamke ndiyo umetengeneza jamii.
 
Kwanini unapingana na mimi? Kupingana na mimi ni kinyume ya nilichoandika.
Hiyo ikimaanisha kwamba celebration zote ni lazima kusheherekea na watu wote lazima washerehekee.
Hapana hujanielewa. Zipo sherehe ambazo ni lazima kusherehekea, na nyingine hata hazipaswi kuwepo kabisa achilia mbali kusherehekea.
 
Ilikuwa enzi za Mwalimu au hizi hizi za JPM?
 
Ilikuwa enzi za Mwalimu au hizi hizi za JPM?
Tofauti yangu mimi na wewe ni kuwa, wewe unazungumzia matokeo mimi naongelea asili, siku zote asili haipitwi na wakati.
 
Eti uko font fedi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapana hujanielewa. Zipo sherehe ambazo ni lazima kusherehekea, na nyingine hata hazipaswi kuwepo kabisa achilia mbali kusherehekea.
Women's day kwanini haipaswi kuwepo?
 
Mahari Laki saba ilikuwa Mwaka gani?
 
Women's day kwanini haipaswi kuwepo?
Inampoteza Mwanamke.

Kwanini unataka iendelee kuwepo au unaionaje wewe ? Kwa hadhi ya Mwanamke je siku hii inaweza kukidhi haja ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…