Swadakta. Katika mambo yanayotakiwa kufanywa haraka ni haya.Kwa hili jambo naungana na waislamu mambo yanatakiwa yafanyike smoothly kama hivyo
Kuna siku mshkaji wangu alikuwa anaoa nakumbuka tulikaa stationery masaa mawili tunaandika mahitaji ya wakwe
Almost celebration zote sio lazima kuzi-celebrate. Na kucelebrate sio jambo la lazima ni jambo la hiari kwa mtu anayependa kufanya hivyo. Ndio maana sio watu wote wanasherekea.Kusheherekea jmsiyo jambo ubaya ni nini unasherehekea na je ulazima wa kufanya hilo upo na je kuna natija ya kufanya hivyo ?
Ni ipi maana ya kusherehekea siku ya Wanawake duniani ? Sijaona haja hiyo na sababu ninazo.
Mimi hizo zote ulizo zitaja sisherehekei hata moja. Mimi nina sikukuu tatu tu basi kwa mwaka,nazo ni :Nikujibu kwa kuuliza swali, kwanini unasherekea Independence Day? Kuna ulazima gani? Kwanini kuna sherehe za muungano? Zina ulazima gani? Kwanini unasherekea Valentine's Day? Kuna ulazima gani?
Hapa kidogo napingana na wewe. Maelezo ya kwanini, yatafata baadae pakionekana kama kuna haja ya kufanya hivyo.Almost celebration zote sio lazima kuzi-celebrate. Na kucelebrate sio jambo la lazima ni jambo la hiari kwa mtu anayependa kufanya hivyo. Ndio maana sio watu wote wanasherekea.
Wewe hausherehekei lakini zipo na watu wanasheherekea. Na zingine ulikuwa unaambiwa usiende shule usiende kazini na unabaki home.Mimi hizo zote ulizo zitaja sisherehekei hata moja. Mimi nina sikukuu tatu tu basi kwa mwaka,nazo ni :
1. Kila siku ya Ijumaa kwangu ni sikukuu
2. Idd al Fitri
3. Idd al Adh'ha (Idd ya kuchinja)
Sasa maswali yako yanatakiwa yatokee katika hizo sikukuu tatu hapo juu.
Tanbihi : Hivi sahihi ni "Sherekea" au "Sherehekea" ?
Kwanini unapingana na mimi? Kupingana na mimi ni kinyume ya nilichoandika.Hapa kidogo napingana na wewe. Maelezo ya kwanini, yatafata baadae pakionekana kama kuna haja ya kufanya hivyo.
Sahihi kabisa.Wewe hausherehekei lakini zipo na watu wanasheherekea. Na zingine ulikuwa unaambiwa usiende shule usiende kazini na unabaki home.
Hizo sijahoji sababu ubatili wake ni maarufu sana.Sikimbuki kuona umehoji juu ya watu ku-celebrate juu ya hizo siku.
Why Women's Day? Ni muda wa kunipa zile sababu zako.
Hapana hujanielewa. Zipo sherehe ambazo ni lazima kusherehekea, na nyingine hata hazipaswi kuwepo kabisa achilia mbali kusherehekea.Kwanini unapingana na mimi? Kupingana na mimi ni kinyume ya nilichoandika.
Hiyo ikimaanisha kwamba celebration zote ni lazima kusheherekea na watu wote lazima washerehekee.
And he can speak on behalf of me as well.Speak for yourself.
Ndio niulize swali.
Ilikuwa enzi za Mwalimu au hizi hizi za JPM?Leo niko huku kwa mtindo huu, ila nasikia leo ni siku ya kina mama (Wanawake) duniani maana yake siku zilizobaki ni zetu sisi kina baba, yaani kwa thamani na nafasi ya mwanamke ambaye natakiwa kumpa mara tatu zaidi ya baba, kwa mwaka anaadhimishwa mara moja. Huu ni udogashaji na udhalilishaji wa hali ya juu, ila maskini wenyewe vipofu wanaona sawa, utawaona wamevaa vitenge na kutembea uchi. Salamu zangu ndiyo hizo nawaambia waache habari za siku ya mwanamke duniani, hii ni aina ya udhalilishaji kwake.
Baada ya salamu hizo, narudi kwenye mada kwa mapito haya, asikwambie Mtu,ndoa yenye baraka ni ile ambayo kufungwa kwake mahari yake ilikuwa ndogo sana. Haya si maneno yangu, bali ni maneno yaliyotoka katika kinywa twahara.
Ni nini ndoa na kwanini tunaumizana katika kutoa mahari kubwa bila sababu za msingi hali ya kuwa sote ni wanufaika na wahitaji. Ndoa ni mkataba wa maridhiano baina ya pande mbili,mwanamke akiwa muolewaji kwa mahari waliyokubaliana na mwanamume akiwa muoaji, kwa kukubaliana waishi kwa wema, na kama ikitokea wameachana basi waachane kwa wema.
Tuliokadiriwa kutoa mahari ndogo, tuje tuwaambie vijana na watajaji mahari ya kuwa ndoa ni jambo le kheri,kwahiyo tusiumizane.
Mimi mahari niliyotoa kwa mke mkubwa ilikuwa chini ya Tsh 150,000/- pesa taslimu.
Vijana tuoeni mapema na tuoe sana, wake wawili au watatu au wanne ikibidi ila ukiwa na mmoja kuwa nae lakini uwe na simanzi kubwa ya kwanini uwe na mmoja.
Tofauti yangu mimi na wewe ni kuwa, wewe unazungumzia matokeo mimi naongelea asili, siku zote asili haipitwi na wakati.Ilikuwa enzi za Mwalimu au hizi hizi za JPM?
Eti uko font fedi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kupewa mke bila mahari au mahari Kiduchu ni Mtego mkubwa
Wakati naoa niliomba wazee waende ukweni kwa mzee Macha ili waeleze nia ya kijana wao na kupewa taratibu za mahari.
Kichwani kwangu nilikuwa nawaza hiyo list ya mahari maana mzee alikuwa jeuri na binti amemsomesha. Wazee wakaambiwa njooni mwezi ujao na huyo kijana niwatajie mahari, tulipofika mzee akaita binti yake, Mankaaaaa njoo hapa! Mzee akamuuliza Unamjua huyu kijana? Umempenda mwenyewe? Manka akajibu ndio baba. Mzee akaniambia kijana kama mmependana nawapa baraka mkaishi vizuri hayo Ndio mahari.
Sasa ni Mtego Kwasababu ukweni wakikohoa tu Nimeshafika kwa jinsi ninavyowaheshimu na kuwapenda, yaani niko frontline utadhani mimi mtoto wao wa kiume.
Women's day kwanini haipaswi kuwepo?Hapana hujanielewa. Zipo sherehe ambazo ni lazima kusherehekea, na nyingine hata hazipaswi kuwepo kabisa achilia mbali kusherehekea.
Sawa, kwanini wewe na Jurjani hamuoni sababu ya kuwepo kwa Women's Day?And he can speak on behalf of me as well.
Mimi na yeye tayari kuna Sisi hapo Paula
Mahari Laki saba ilikuwa Mwaka gani?Leo niko huku kwa mtindo huu, ila nasikia leo ni siku ya kina mama (Wanawake) duniani maana yake siku zilizobaki ni zetu sisi kina baba, yaani kwa thamani na nafasi ya mwanamke ambaye natakiwa kumpa mara tatu zaidi ya baba, kwa mwaka anaadhimishwa mara moja. Huu ni udogashaji na udhalilishaji wa hali ya juu, ila maskini wenyewe vipofu wanaona sawa, utawaona wamevaa vitenge na kutembea uchi. Salamu zangu ndiyo hizo nawaambia waache habari za siku ya mwanamke duniani, hii ni aina ya udhalilishaji kwake.
Baada ya salamu hizo, narudi kwenye mada kwa mapito haya, asikwambie Mtu,ndoa yenye baraka ni ile ambayo kufungwa kwake mahari yake ilikuwa ndogo sana. Haya si maneno yangu, bali ni maneno yaliyotoka katika kinywa twahara.
Ni nini ndoa na kwanini tunaumizana katika kutoa mahari kubwa bila sababu za msingi hali ya kuwa sote ni wanufaika na wahitaji. Ndoa ni mkataba wa maridhiano baina ya pande mbili,mwanamke akiwa muolewaji kwa mahari waliyokubaliana na mwanamume akiwa muoaji, kwa kukubaliana waishi kwa wema, na kama ikitokea wameachana basi waachane kwa wema.
Tuliokadiriwa kutoa mahari ndogo, tuje tuwaambie vijana na watajaji mahari ya kuwa ndoa ni jambo le kheri,kwahiyo tusiumizane.
Mimi mahari niliyotoa kwa mke mkubwa ilikuwa chini ya Tsh 150,000/- pesa taslimu.
Vijana tuoeni mapema na tuoe sana, wake wawili au watatu au wanne ikibidi ila ukiwa na mmoja kuwa nae lakini uwe na simanzi kubwa ya kwanini uwe na mmoja.
Sijakuelewa.Mahari Laki saba ilikuwa Mwaka gani?
Inampoteza Mwanamke.Women's day kwanini haipaswi kuwepo?
Wakati unatoa mahari ya 700,000= ilikuwa Mwaka gani Mkuu?Sijakuelewa.
"Inampoteza mwanamke." How?Inampoteza Mwanamke.
Kwanini unataka iendelee kuwepo au unaionaje wewe ? Kwa hadhi ya Mwanamke je siku hii inaweza kukidhi haja ?
Kivipi mkuu?Nililipa mahali 130.000, kutoka kwenye boom nikalipa 80.000 baada ya miaka kadhaa nikamalizia kwa thamani ya IST....