Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliolewa kwa mahari ya Tshs ngapi?Haya mambo yanaenda na ngekewa
M 3Wewe uliolewa kwa mahari ya Tshs ngapi?
Hongera sana, bila shaka ulikutwa sealed. Mbarikiwe sana!!
Goli 3 mkononi na mahari ilitolewa m 3, ndo maana nimesema hizi ishu ni ngekewa tuHongera sana, bila shaka ulikutwa sealed. Mbarikiwe sana!!
Samahani, naomba uniweke wazi hapo kwenye "Goli 3 mkononi" nimeshindwa kufungua code!Goli 3 mkononi na mahari ilitolewa m 3, ndo maana nimesema hizi ishu ni ngekewa tu
Baki hivyo hivyo akitokea msamaria atakufungulia hiyo codeSamahani, naomba uniweke wazi hapo kwenye "Goli 3 mkononi" nimeshindwa kufungua code!
Naomba usinifanyie hivyo!! utatesa hisia zangu maana nimekuwa na hamu ya kujua, yaani tungekuwa tunaonana ana kwa ana ningekununulia chochote ili unifungulie hiyo code maana umenipa hali ya kudadisi kisha unaniacha hewani. Kutegemea msamalia ni sawa na kucheza bahati nasibu (kuna kupata na kukosa) hivyo nakutegemea wewe tu!!Baki hivyo hivyo akitokea msamaria atakufungulia hiyo code
Doh aisee, goli 3 mkononi manake ni watoto 3Naomba usinifanyie hivyo!! utatesa hisia zangu maana nimekuwa na hamu ya kujua, yaani tungekuwa tunaonana ana kwa ana ningekununulia chochote ili unifungulie hiyo code maana umenipa hali ya kudadisi kisha unaniacha hewani. Kutegemea msamalia ni sawa na kucheza bahati nasibu (kuna kupata na kukosa) hivyo nakutegemea wewe tu!!
Doh aisee, goli 3 mkononi manake ni watoto 3
Noelia, mbona umenishangaa!!?Ahsante sana kwa kunifungulia code, mwenzio nina kichwa kizito wala sikuwa na wazo hilo kabisaaaa. Kuna baadhi ya wanawake wana mashine nzuri yaani hata kama amezaa unakuta mashine inabana kuliko hata wasichana wadogo sasa mimi naona wewe ni mmoja wapo, mbali na mashine pia inaonekana mambo unayajua na ni msafi sana. Huenda jamaa alitest akanogewa jumla. Hongera sana mpo wachache!!
😲😲 Kweli mbongo mpe heading content atajaza mwenyewe, umeingia deep sana huenda hata hizo zisiwe sababu, Ni ngekewa tuAhsante sana kwa kunifungulia code, mwenzio nina kichwa kizito wala sikuwa na wazo hilo kabisaaaa. Kuna baadhi ya wanawake wana mashine nzuri yaani hata kama amezaa unakuta mashine inabana kuliko hata wasichana wadogo sasa mimi naona wewe ni mmoja wapo, mbali na mashine pia inaonekana mambo unayajua na ni msafi sana. Huenda jamaa alitest akanogewa jumla. Hongera sana mpo wachache!!
Samahani kama umekwazika."Ngekewa" ni mnyama mwenye bahati ya kupendwa na wanyama pamoja na ndege wengine, lakini pamoja na kupendwa bado pia ni kitoweo cha baadhi ya wanyama kama nyoka aina ya chatu, anakonda, chui nk. Hivyo pamoja na kupendwa kwa ajili ya company pia anapendwa kama kitoweo.😲😲 Kweli mbongo mpe heading content atajaza mwenyewe, umeingia deep sana huenda hata hizo zisiwe sababu, Ni ngekewa tu
Asante ikarahansi sio kwa ushawishi huu doh! Uwe na usiku mwemaSamahani kama umekwazika."Ngekewa" ni mnyama mwenye bahati ya kupendwa na wanyama pamoja na ndege wengine, lakini pamoja na kupendwa bado pia ni kitoweo cha baadhi ya wanyama kama nyoka aina ya chatu, anakonda, chui nk. Hivyo pamoja na kupendwa kwa ajili ya company pia anapendwa kama kitoweo.
Maana yangu ni kuwa kuna tofauti ya "ngekewa" ya mchezo wa kubahatisha na "ngekewa" ya mapenzi. Ngekewa ya mapenzi inahusisha pia hisia tamu na zenye kuvutia baina ya wapendanao, hivyo ni "ngekewa" mtambuka yenye sababu zilizotukuka kama nilivyoeleza hapo juu. Kwa ufupi ni kuwa, kama ungekuwa wa hovyo-hovyo hiyo "ngekewa" usingeipata.
Shida ipo kwenye asili maana mwanamke hawezi kuolewa na wanaume wanne maana atateseka kwa kuwa hata akipata uja uzito ni vigumu kujua ni wa nani kati yao. hata kama ataamua kuwazalia kwa zamu bado hataweza maana kila uzao ni lazima apumzike miaka miwili hadi mitatu sasa huyu wa nne atazaliwa lini.Inapendeza, hata hao wanawake waolewe pia na wanaume wawili au watatu ikipendeza wa4, kwani kuna shida pahala!
Nawe ahsante kwa muda wako, Ubarikiwe Noelia!!Asante ikarahansi sio kwa ushawishi huu doh! Uwe na usiku mwema
Kwani wewe unaoa uchi ama?? Tofauti na uchi kingine unaoa nini??????Nitakapotaka kuoa wakinipiga bei kubwa nitawauliza..TOFAUTI NA UCHI, KITU GANI CHA ZIADA ALICHONACHO?
Huyu anachangamsha jukwaa tu, hawezi kamwe kuuliza hili swali ukweni maana atasababisha hata waliomsindikiza wamkimbie kwa aibu!!Kwani wewe unaoa uchi ama?? Tofauti na uchi kingine unaoa nini??????
Najua alijiuliza kimoyomoyo...atamuuliza nani wamkate maskio,lkn mtu anaefkia hatua ya kutamka hv sijui ni wa aina gani,mdhalilishaji na hana akili!Huyu anachangamsha jukwaa tu, hawezi kamwe kuuliza hili swali ukweni maana atasababisha hata waliomsindikiza wamkimbie kwa aibu!!
Ukiona hivyo ujue huyo siyo Mwanaume bali ni mvulana, maana Mwanaume hawezi kuuliza au kuwaza ujinga kama huo!!Najua alijiuliza kimoyomoyo...atamuuliza nani wamkate maskio,lkn mtu anaefkia hatua ya kutamka hv sijui ni wa aina gani,mdhalilishaji na hana akili!