Tuliopanga chumba na sebule na tuna familia na house girl, tukutane hapa.

Tuliopanga chumba na sebule na tuna familia na house girl, tukutane hapa.

Mke na mume wawe wanaingiza kipato alafu mpange chumba na sebure tu? Haiwezekani yaani hata mke akiwa mama ntilie basi wangetafuta hata vyumba vi 2 na sebure uswahilini wakakaa kwa nafasi japo kidogo! Ninachokiona hapa ni uvivu tu wa malezi hakuna cha saa 4 usiku wala nini
Kila mtu anaishi anavyopenda jamani
 
Tatizo kubwa wanawake wengi hawana msaada kwenye kushare matumizi ya kulea familia bado wamekariri hilo ni jukumu la mwanaume.

Kama wote wawili mna vijikazi vya kusogeza siku sidhani kama mnashindwa kupata walau apartment ya vyumba viwili na sebule na kitchen au hata vyumba 3.

Tatizo nimeliexperince wanawake wengi ingawa siyo wote ni selfish sana hawana msaada wa kuchangia kipesa kwenye familia.

Huyohuyo mnayekaa naye chumba na sebule usishangae kukuta kwao anajenga.
Wengi tuna dhana kuwa ni jukumu la mwanaume kuhudumia nyumba
 
Kwa kweli Leo nimewaza sana baada ya Jana kulala mapema sana nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili pamoja na house girl.

Sisi wenye chumba na sebule tuna changa moto sana hasa wakati unahitajita kufanya mapenzi na mkeo wa maisha wakati huo msichana wa kazi amelala sebuleni au yuko macho Bado anaangalia Tv, na sisi wana ndoa tuko chumbani tunahamu yakufanya mambo yetu tulale mapema.

Hata aina ya vyumba vyetu ni vidogo sana kwa sisi wapangaji kuna mda unamwambia mwenzio tusubili usiku wa manane dada wa kazi alale lakini mnaweza kusubili na hamu ziko juu, pia mambo ya mapenzi yanahitaji kujiachia sana.

Je wenzangu mnao ishi kwenye chumba na sebule na dada wa kazi analala sitting room huwa mnafanyaje kutimiza haja zenu za mapenzi na wenzi wenu bila kuwa na wasiwasi labda kelele atasikia huyo dada, pia hizo faragha mnazifanya pia mda wa mchana.
nunua redio au tv mbili yan iwepo ya seburen na ya chumban yan ww usiwe na mazoea ya kukaa seburen, ukirud unakaa kidogo seburen unaingia zako chumban, ukianza mzigo saut ya juu kidogo as if kawaida yako kumbe unafanya yako.
 
Kuna rafiki yangu msichana wa kazi aliondoka alipofika kwao akamtumia msg kuwa unadhani mnavyofanya mapenzi na mama usiku nawasikia mimi sitamani? kwanza siwezi kufanya kazi kwa mwanaume ambae haninanilihiu (neno baya).. jamaa alikuwa mdogo
 
Kila mtu anaishi anavyopenda jamani
Hata kama ila ukweli lazima muambiwe! Kuishi mnavyotaka au kujitia aibu? haya sasa mtu anakosa amani ya kushiriki tendo na mkewe na hapo ukute ana watoto wa kike na kiume,wakati wewe unamshughulikia mkeo ndani huko sebureni msichana wa kazi nae anashughulikiwa na kavulana kako ni aibu iliyoje hiyo
 
Hata kama ila ukweli lazima muambiwe! Kuishi mnavyotaka au kujitia aibu? haya sasa mtu anakosa amani ya kushiriki tendo na mkewe na hapo ukute ana watoto wa kike na kiume,wakati wewe unamshughulikia mkeo ndani huko sebureni msichana wa kazi nae anashughulikiwa na kavulana kako ni aibu iliyoje hiyo

Ww kama unataka uwe na vyumba vingi ndio uweke hg hayo ni maisha yako

Halaf kama unafanyakazi utakuwa unajua huwezi kumuacha mtt daycare uende kazini maana hamna daycare inafanya kazi zaidi ya saa 10 na nusu


Halaf ukisikia watu wanafanyakazi usidhani kazi zote ni za kulipwa kipato kikubwa wengine tunasafisha vyoo tu hatuna uwezo wa kupanga vyumba zaidi ya viwili
 
Well said madam, usikute na huyo mkewe ni mama wa nyumbani tu lakini anashindwa kufanya shughuli za nyumbani anahitaji house girl ilihali hata pakulala hawana.

Kama mke na mume wote ni Watumishi Kwanini hawapangi nyumba mzima??
Mimi na mke wangu ni watumwa ila hatuna uwezo wa kupanga nyumba nzima.

Tuna mtoto wa miezi 7. Tuna Dada wa kazi kwaajili ya kumuangalia mwanetu. Akifika miaka miwili, sihitaji Dada kwakweli.

Unakuta katandika godoro wakati huo nahitaji kutazama kipindi kwenye TV. Ni shida kwakweli
 
Mimi na mke wangu ni watumwa ila hatuna uwezo wa kupanga nyumba nzima.

Tuna mtoto wa miezi 7. Tuna Dada wa kazi kwaajili ya kumuangalia mwanetu. Akifika miaka miwili, sihitaji Dada kwakweli.

Unakuta katandika godoro wakati huo nahitaji kutazama kipindi kwenye TV. Ni shida kwakweli
Wengine wanakuwa walevi kwa kwenda kukill time bar
 
Ww kama unataka uwe na vyumba vingi ndio uweke hg hayo ni maisha yako

Halaf kama unafanyakazi utakuwa unajua huwezi kumuacha mtt daycare uende kazini maana hamna daycare inafanya kazi zaidi ya saa 10 na nusu


Halaf ukisikia watu wanafanyakazi usidhani kazi zote ni za kulipwa kipato kikubwa wengine tunasafisha vyoo tu hatuna uwezo wa kupanga vyumba zaidi ya viwili
Hongera Mkuu lakini ukweli ndio huo,mnajidhalilisha sana tena hapo unakuta una watoto wa kike na wa kiume wote unawalaza sebureni na msichana wa kazi, ipo siku msichana atamfunza kijana wako wa kiume kumpa show unayopewa na mkeo
 
Umenikumbusha story Fulani.
Familia ilikuwa na watoto wawili wadogo wakufuatana ,, walikuwa na chumba kimoja kikubwa na kitanda kikubwa ambacho walilala wote watatu. Baba na mama walikuwa wakisubir watoto walale ndo wao waanze kugegedana kiuangalifu,, siku moja mechi ilikuwa Kali mpaka wakawasukuma watoto wakaanguka ikabidi mechi isitishwe wawapandishe watoto kitandani ,, basi wakatulia kama moja hiv wakahis watoto washalala tena ikabid waanze mechi upya kabla mechi haijanoga wakasikia mtoto mkubwa anamwambia mdogo wake " John jishikilie vizuri wameanza tena"
 
Back
Top Bottom