Tuliopanga chumba na sebule na tuna familia na house girl, tukutane hapa.

Kila mtu anaishi anavyopenda jamani
 
Wengi tuna dhana kuwa ni jukumu la mwanaume kuhudumia nyumba
 
nunua redio au tv mbili yan iwepo ya seburen na ya chumban yan ww usiwe na mazoea ya kukaa seburen, ukirud unakaa kidogo seburen unaingia zako chumban, ukianza mzigo saut ya juu kidogo as if kawaida yako kumbe unafanya yako.
 
Kuna rafiki yangu msichana wa kazi aliondoka alipofika kwao akamtumia msg kuwa unadhani mnavyofanya mapenzi na mama usiku nawasikia mimi sitamani? kwanza siwezi kufanya kazi kwa mwanaume ambae haninanilihiu (neno baya).. jamaa alikuwa mdogo
 
Kila mtu anaishi anavyopenda jamani
Hata kama ila ukweli lazima muambiwe! Kuishi mnavyotaka au kujitia aibu? haya sasa mtu anakosa amani ya kushiriki tendo na mkewe na hapo ukute ana watoto wa kike na kiume,wakati wewe unamshughulikia mkeo ndani huko sebureni msichana wa kazi nae anashughulikiwa na kavulana kako ni aibu iliyoje hiyo
 

Ww kama unataka uwe na vyumba vingi ndio uweke hg hayo ni maisha yako

Halaf kama unafanyakazi utakuwa unajua huwezi kumuacha mtt daycare uende kazini maana hamna daycare inafanya kazi zaidi ya saa 10 na nusu


Halaf ukisikia watu wanafanyakazi usidhani kazi zote ni za kulipwa kipato kikubwa wengine tunasafisha vyoo tu hatuna uwezo wa kupanga vyumba zaidi ya viwili
 
Well said madam, usikute na huyo mkewe ni mama wa nyumbani tu lakini anashindwa kufanya shughuli za nyumbani anahitaji house girl ilihali hata pakulala hawana.

Kama mke na mume wote ni Watumishi Kwanini hawapangi nyumba mzima??
Mimi na mke wangu ni watumwa ila hatuna uwezo wa kupanga nyumba nzima.

Tuna mtoto wa miezi 7. Tuna Dada wa kazi kwaajili ya kumuangalia mwanetu. Akifika miaka miwili, sihitaji Dada kwakweli.

Unakuta katandika godoro wakati huo nahitaji kutazama kipindi kwenye TV. Ni shida kwakweli
 
Wengine wanakuwa walevi kwa kwenda kukill time bar
 
Hongera Mkuu lakini ukweli ndio huo,mnajidhalilisha sana tena hapo unakuta una watoto wa kike na wa kiume wote unawalaza sebureni na msichana wa kazi, ipo siku msichana atamfunza kijana wako wa kiume kumpa show unayopewa na mkeo
 
Umenikumbusha story Fulani.
Familia ilikuwa na watoto wawili wadogo wakufuatana ,, walikuwa na chumba kimoja kikubwa na kitanda kikubwa ambacho walilala wote watatu. Baba na mama walikuwa wakisubir watoto walale ndo wao waanze kugegedana kiuangalifu,, siku moja mechi ilikuwa Kali mpaka wakawasukuma watoto wakaanguka ikabidi mechi isitishwe wawapandishe watoto kitandani ,, basi wakatulia kama moja hiv wakahis watoto washalala tena ikabid waanze mechi upya kabla mechi haijanoga wakasikia mtoto mkubwa anamwambia mdogo wake " John jishikilie vizuri wameanza tena"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…