Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hii ndio sababu kuu nyumba nyingi zina wajane, mwanaume hawezi kuishi miaka mingi ni lazima afe kabla ya muda wake, yani badala ya kuishi anageuka mtumwa wa familia.Wengi tuna dhana kuwa ni jukumu la mwanaume kuhudumia nyumba
Hongera Mkuu lakini ukweli ndio huo,mnajidhalilisha sana tena hapo unakuta una watoto wa kike na wa kiume wote unawalaza sebureni na msichana wa kazi, ipo siku msichana atamfunza kijana wako wa kiume kumpa show unayopewa na mkeo
Haya maisha tu kaka ipo siku tutakuwa na nyumba zetuMkuu wewe wasema vyumba viwili?
Mi nilkua na chumba kimoja kikubwaa (ilkua sebule ya hiyo nyumba), nikakigawa na pazia upande wa kulala na sebule, sasa baada ya famili kuongezeka tulipata matwins ikalazimu tuwe na msaidizi, alikua ndugu yake wa age kidogo chini ya wife na ni kama rafiki ake,
Sasa ikifika saa 6 ndo mda wetu sasa na kenyewe kalishashtukia mchezo kanajifanya kulala mapemaaa ili tuanze yetu, kuna kipindi inapigwa gemu hadi tunasahau tupo na watoto, mara paaap mmoja kadondoka chini.
Kesho yake hausegirl hana mbavu mda wote kucheka tuu (hapo mi sipo wapo wao tuu home wife alikuja niambia hayo tena baada ya huyo mdada kuondoka) mke wangu kumuuliza kulikoni yeye hasemi hadi kesho yake ndio anamwambia yaliyotokea usiku wa jana yake alikua anaskia kila kitu, wife akadai angeniambia mapema angekosa mechi kumuogopa dada wa kazi, mi sijui chochote wife anajua tunapigwa chabo na dada katulia tuu.
Sasa kama wewe na mkeo ni watumwa si mngekua Caribbean Island saa hizi? Maana watumwa walikua wakipelekwa huko enzi za ukoloni, tuambie labda wewe na mkeo mnafanya shughuli gani vinginevyo usijitetea kwa jina la kujidharirisha la utumwaMimi na mke wangu ni watumwa ila hatuna uwezo wa kupanga nyumba nzima.
Tuna mtoto wa miezi 7. Tuna Dada wa kazi kwaajili ya kumuangalia mwanetu. Akifika miaka miwili, sihitaji Dada kwakweli.
Unakuta katandika godoro wakati huo nahitaji kutazama kipindi kwenye TV. Ni shida kwakweli
Kumbe naongea na mtu asiye na akili timamu anayelea mtoto mwenye mke ndani ya chumba chake na sebure, basi sawaHamna ubaya kwani kuna tofauti gani kati ya hg na msichana mwingine wa barabarani akimpa mwanangu show?!
Kumbe naongea na mtu asiye na akili timamu anayelea mtoto mwenye mke ndani ya chumba chake na sebure, basi sawa
Hii ndiyo point ya sikuWw kama unataka uwe na vyumba vingi ndio uweke hg hayo ni maisha yako
Halaf kama unafanyakazi utakuwa unajua huwezi kumuacha mtt daycare uende kazini maana hamna daycare inafanya kazi zaidi ya saa 10 na nusu
Halaf ukisikia watu wanafanyakazi usidhani kazi zote ni za kulipwa kipato kikubwa wengine tunasafisha vyoo tu hatuna uwezo wa kupanga vyumba zaidi ya viwili
Ujue mwenzio Jana alilala na njaa wakati pishi lipo kisa House girl.Kaaa asubuhi yote hii
Tatizo lako kudhani kila mtu anasotea mbuyu wakati ni mpana kiumbo katu hautofika mbali! Kwenye kurekebisha turekebishane tu bila ya kutaka kuhoji maisha ya mtuTatizo humu watu mnajifanya maisha yenu ni bora sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa wewe wa wapi...?!mtoto anamiezi 7, mkeo c bado ananyonyesha?! Mnagegedanaje ilhali mama watoto ananyonyesha?@
Mbona zipo sabufa mpaka za elfu 30?!..Kwa kweli Leo nimewaza sana baada ya Jana kulala mapema sana nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili pamoja na house girl.
Sisi wenye chumba na sebule tuna changa moto sana hasa wakati unahitajita kufanya mapenzi na mkeo wa maisha wakati huo msichana wa kazi amelala sebuleni au yuko macho Bado anaangalia Tv, na sisi wana ndoa tuko chumbani tunahamu yakufanya mambo yetu tulale mapema.
Hata aina ya vyumba vyetu ni vidogo sana kwa sisi wapangaji kuna mda unamwambia mwenzio tusubili usiku wa manane dada wa kazi alale lakini mnaweza kusubili na hamu ziko juu, pia mambo ya mapenzi yanahitaji kujiachia sana.
Je wenzangu mnao ishi kwenye chumba na sebule na dada wa kazi analala sitting room huwa mnafanyaje kutimiza haja zenu za mapenzi na wenzi wenu bila kuwa na wasiwasi labda kelele atasikia huyo dada, pia hizo faragha mnazifanya pia mda wa mchana.
Kama unafanyakazi mpaka saa mbili usiku na bado wewe na mumeo hamuwezi kupanga hata vyumba viwili na sebule ni bora wewe uache kazi ulee watoto tu!Mkuu hizi kazi za sikuhizi mpaka saa mbili usiku bado uko ofisini unaandika ripoti na inatakiwa kwenye kikao cha kesho. Unafika nyumbani saa nne usiku. Hiyo Day Care itakayokuwa wazi saa nne usiku ipo? Dada wa kazi unampigia tu simu kuu Liza wako vipi na kumwagiza cha kupika.
Tatizo lako kudhani kila mtu anasotea mbuyu wakati ni mpana kiumbo katu hautofika mbali! Kwenye kurekebisha turekebishane tu bila ya kutaka kuhoji maisha ya mtu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hiyo imekuuma au?Huwezi kusotea mbuyu bwana na uchumi unao
Ww si ndio uliolewa na rafik wa mumeo?!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hiyo imekuuma au?
Mtoto akilala hamisheni mechi sakafuni, kitandani chaga ni norma sometimes
Mtoto akilala hamisheni mechi sakafuni, kitandani chaga ni norma sometimes
Pole mkuu wakati wa game press mute bottom.Kwa kweli Leo nimewaza sana baada ya Jana kulala mapema sana nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili pamoja na house girl.
Sisi wenye chumba na sebule tuna changa moto sana hasa wakati unahitajita kufanya mapenzi na mkeo wa maisha wakati huo msichana wa kazi amelala sebuleni au yuko macho Bado anaangalia Tv, na sisi wana ndoa tuko chumbani tunahamu yakufanya mambo yetu tulale mapema.
Hata aina ya vyumba vyetu ni vidogo sana kwa sisi wapangaji kuna mda unamwambia mwenzio tusubili usiku wa manane dada wa kazi alale lakini mnaweza kusubili na hamu ziko juu, pia mambo ya mapenzi yanahitaji kujiachia sana.
Je wenzangu mnao ishi kwenye chumba na sebule na dada wa kazi analala sitting room huwa mnafanyaje kutimiza haja zenu za mapenzi na wenzi wenu bila kuwa na wasiwasi labda kelele atasikia huyo dada, pia hizo faragha mnazifanya pia mda wa mchana.
Mungu hakupi vyote na hakunyimi vyote pia!Hapana nimegundua kuwa una akili sana halaf maisha yako yapo juu
Nimewaza tu ulivyotumia fursa vzr kujitoa kwny msoto