Tuliopanga chumba na sebule na tuna familia na house girl, tukutane hapa.

Sebure>>>Sebule
 
Pole mkuu kwa changamoto upitiazo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kama mazuri ila vinachekesha tu mkuu nisamehe sana
 
Ahhahahahaha kwenye utamu akili hua zinazama
Nyani Ngabu njoo ucheke hapa
 

Daah...ama nimecheka..
 
Huu uzi leo nitakufaa
 
Hii ndio sababu kuu nyumba nyingi zina wajane, mwanaume hawezi kuishi miaka mingi ni lazima afe kabla ya muda wake, yani badala ya kuishi anageuka mtumwa wa familia.

Ni lazima afe mapema tu.
Yaan nyie haya maneno mnayatoa wapi hahahahaha
Anakufa maana muda wote kichwa kinawaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…