AZUMA ya siku tatu ndio iliyofungua hayo mapafu. Hizo dawa zimeokoa wengi na hili janga.
Pia Paracetamol, vitamin B Complex kuleta hamu ya kula, PedZinc, na matunda kwa wingi.
All in all mponyaji mkuu ni Mungu.
Mimi hivyo hivyo na mdomo kama unakauka hamu ya kula zero