Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!

Aiseeeeee mm mtu akiongea mambo ya kujamba huwa nacheka san maana nakumbuka mijamboo ya bording schools
Najaribu kuvuta pic ukijamba na hilo lishepu lako hali inakuwaje,hakika unastahili
 
Kuna siku mm nlikuwa naenda Dar bwana, nilikaa pekee yangu kufika Moshi akaingia mdada akakaa kwenye siti yangu, halaf mjuavyo wadada na mapozi yao hakunisalimia nkasema sio inshu tumeenda weee kufika Makanya akaanza kusinzia na kusinzia kwenyewe akawa ananilalia nkavumilia, tumeenda weee c akaanza kukoroma bwana halafu bahati mbaya kumbe katoa maudelele yamenimwagia mm, nlimuwasha kofi nkamwambia unifute uliponichafua nkamwita Konda nkamwambia muhamishe huyu siti au mm nihame tutapigana njia nzima watu walicheka Konda akanitoa nkakaa kwingine, alinikera kishenzi ,haya siku nyingine nilikuwa naenda Mwanza nilikosa basi la kuanzia Arusha ikabidi nisubiri zinazotoka Moshi nkapanda Mghamba zile za zamani bwana 3/2 weeeee sitasahau mbaba alikuwa na watoto sijui watano wengine wamesimama tumebanana halaf walivyokuwa wanakula jamani khaaa kila kituo mkisimama wanasimama, kufika pale Tinde mtoto mmoja si akaanza kuendesha acha achafue hadi siti nilokaa ikabidi nisimame tu
 
Yani acha tu balaaaaa
 
Mm nina kituko changu kwenye natoka arusha kuna dar yaan sitaki kukumbuka
 
Acha kabisaa alafu nina bahat mbaya nikijambaa ushuzi unapita kwenye papuchi unasikia kama tetemeko la ardhi prprrprrpapaapaparapapraa
Hahaha hahaha,umenikumbusha mdada mmoja wa kizanzibar nilisoma nae primary ndio ilikuwa michezo yako,kipindi kile cha utoto ilikuwa kama anatukera but baada ya kukua unatamani upate atakaekuwa vitimbi kama hivyo,sababu ina raha yake
 
kwahiyo umekaa tu na mtt mzuri hujafanya lolote?
haina maana kuingizia kati ulikuwa na mtt mkali kumbe ulikuwa bubu.
 
Sijui kwa kweli tumbo lilivuruga kwa pafyumu nashukuru ilikuwa asubuh na safar ilikuwa fupi Moro Dar sjui ningekuwa nimekula wallah ningetapikaaa
xx ww mwenyew bonge nyonyo km isha..kwann unachukia mabonge wenzio?
 
kwahiyo umekaa tu na mtt mzuri hujafanya lolote?
haina maana kuingizia kati ulikuwa na mtt mkali kumbe ulikuwa bubu.
Mkuu ningeandika vitu vingi hapo nimefanya kaufupisho tu kwa sababu lengo kuu lilikuwa ni kuelezea jinsi jamaa alivonitapikia miguuni tu..ningeanza kusema na demu nkachukua namba na tulvofika moro tukakutana sehem fulani baada ya siku kadhaa....mastory yangekuwa marefu mno mkuu
 
endelea basi kutusimulia vingine vituko
 
Hawa masista duu was kwenye mabasi ni wa hovyo sana.
Mwaka Jana mwezi wa sita natoka Dodoma kuja dar siti ya pembeni yangu alikuua demu flani mweupe kisu kinyama nikasema saaafi, leo Nina bahati. Sasa bwana picha linaanza ndani ya gari Luna joto lakini yeye kapigilia jacket la mvua Kubwa kinoma, hadi nikawa namuonea huruma, nikamwambia si uvue Tu hilo dude,akalivua.
Tumefika Moro kanunua mahindi ya kuchemsha akanigawia na Mimi, ile napeleka mdomoni, yakikuwa yamechacha nikaacha kula lakini yeye alikuwa anayapeleka balaa, sasa nikakawa najiuliza yeye hahisi kuwa yameharibika?
Sasa alikuja kuniua mbavu kuna jamaa alikuwa anauza mbuzi (ya kukunia Nazi) akaniuliza ile nini nikamwambia kuwa hicho ni kifaa cha kukunia Nazi, eti akanijibu mbona kimekaa kama msalaba eti anakiogopa.

Nikavaa headphones nikalala.
 
Huyo lazma alitokea kanda ya ziwa kama sio Iringa na Mbeya
 
Nakumbuka nilikuwa natoka Mwanza naenda Kigoma nimepanda basi la Adventure. Limejaa watu na mizigo kibao, kama kawaida ya gari za shamba. Siti zimejaa na watu kibao wamesimama pembeni yangu kaja kasimama mama mmoja hivi na mizigo yake mingine kaibeba kichwani kwake..sasa yule mama alipandia njiani na alikuwa anashukia njiani sasa hivyo mizigo yake akajitwisha ilhali kapanda gari..sasa Konda kaja kuandika tiketi achukue na nauli ikiwemo ya mizigo...weee! Mama anakwambia nailipiaje mizigo wakati nimeibeba kichwani kwangu? Ahahaha!! Mizigo niibebe Mimi na kuilipia niilipie tena? Silipi. Kwa lafudhi yao ya kiha...aisee siku hiyo nilicheka sana. Kweli mama akakomaa hadi Konda akafyta mkia akachukua nauli yake tu ya mizigo maza kamkazia.

Waha kwa ubishi na ubahili wanatisha sana.
 
Arusha to kimara bas gani hilo mkuu
 
Basi zima kulikua hakuna mwenye kisu duh
 
Kama walikufa wote we ulijuaje kama hiyo ndio sababu au kulikua na cctv zilizobaki kwenye ndege
 
Mkuu noma saba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…