Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!


Hii iliwahi kunipata zamani nikienda shule from Arusha to Dar.Nilikua ndani ya Ngorika.Kuna abiria akapiga simu kuwa basi linakimbia sana.Kufika mahali tukasimamishwa na polisi na hapo ndipo polisi walipomwambia dereva kuna abiria yako ametoa taarifa kuwa unakimbiza gari na akapewa onyo.Sasa tulipoondoka hapo dereva akasema hajui aliyepiga simu ni nani ila akasisitiza alikua hakimbii na akajikita ktk kigezo kuwa tulikua tumeongozana na mabasi mengine kwa mda mrefu tuu(ambao ulikua ni ukweli).Baada ya hapo alienda 50km/hr hadi Dar(kuanzia mitaa ya Tanga).Watu walimind hadi tukamjua na aliyepiga simu.

Kila basi lililotukuta lilidhani basi letu ni bovu na kutaka kutoa msaada....
 
Hahahaha
 
Mkuu vyeti ulipata?
 
Nilitoka Tanga kipindi cha mfungo wa ramadhan. Ndani ya Tahmeed ya kutoka Mombasa. Sasa rafiki yangu niliketi karibu na ustaadh mmoja alikuwa kwenye mfungo ananuka mdomo balaa. Nilifika Dar nikiwa hoi na harufu ya mdomo wa mshikaji
 
Hahahahahahahahahahaha eti tutakufa kisa kuku.
 
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
Mkuu, kubeba fenesi na kuvimba matumbo kunahusiana vipi, embu tupe darasa.
 
Pole sana Mkuu ila nna swali la kukuuliza, kuku wa kienyeji na wa kisasa yupi mzuri kwa kumchoma?
 
hhhaaaa mlivojua mlimfanyaje
 
hhhaaaa mlivojua mlimfanyaje
Hakufanywa kitu chochote.
Abiria waligawanyika makundi mawili, wanaosema lilikua linakimbia na wengine wakipinga.So watu wakaishia kubishana tuu na kutukanana.

Binafsi nilipanda lile basi ili niwahi Dar na nilichelewa vilivyo.
 
Hakufanywa kitu chochote.
Abiria waligawanyika makundi mawili, wanaosema lilikua linakimbia na wengine wakipinga.So watu wakaishia kubishana tuu na kutukanana.

Binafsi nilipanda lile basi ili niwahi Dar na nilichelewa vilivyo.
Hahahahaha yaan kuna siku tulipanda basi ilikuwa ugomvi dereva na abiria wee huwa nafurahi sana mimi
 
Hahahahaha yaan kuna siku tulipanda basi ilikuwa ugomvi dereva na abiria wee huwa nafurahi sana mimi
Hapo kwenye ugomvi wa driver na abiria nnaogopa asije akawamwaga 😀😀.

Case yetu baada ya driver kusema msimamo hakuongea tena.Watu walimwomba aongeze mwendo lkn wapi, kama vile hawasikii hadi na waliotaka apunguze mwendo nao wakaboreka.
 
Wewe mwenyewe ngweshu tu,h tu,hatuna headphones tuna earphones
 
Mapungufu memgi mbona ya wadada hamna ya wanaume washamba na wenye kero kwenye mabasi?!
 
Hahahaha naomba nikupongeze kwa kutoka maeneo hayo.
Kuna watu wakarimu sana aisee.
Asante sanaaa mkuu,yeah ni watu wakarimu sanaa aiseee sio kama dar ,dar wanakwambia utapambana na hali yako kule mwanza hata ukiwa mgeni wa jiji utakuwa huru sanaa tatzo dar ukiwa mgeni lazma wakukaribishe kwa aina yakeee mpaka uisome namba..
 
Kama walikufa wote we ulijuaje kama hiyo ndio sababu au kulikua na cctv zilizobaki kwenye ndege
Black box na uchunguzi mwa miezi 18 ulionyesha kwa ushahidi usio na pingamizi kuwa mamba ndio chanzo cha ajali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…