Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!

Tulioshuhudia vituko kwenye mabasi ya mikoani tukutane hapa!

Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
 
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Hahhqhahqhq inàonekana mwenye kuku alikasirika sanaaa.
Ndo shida ya kusàfiri na makukuuuuu
 
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Mkuu umenivunja mbavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwaka 2015 nilisafiri toka Dar-Kahama-Kigoma.Nilipanda basi LA Alsaedy.Basi lilikuwa limejaa siti zote na hakuna aliyesimama. Kuna jamaa mmoja (mwanaume) alikuwa anarudi nyumbani kwao Kasulu, jamaa huyo alionekana mwenye afya dhaifu, ila alikuwa na maneno mengi sana.Kutokana na maneno yake mengi hasa ya mtaani yaliyokuwa yanasikika basi zima(kwani alikuwa akiongea kwa sauti) inawezekana kazi yake ni kupiga debe. Cha kushangaza kwa huyu jamaa ni kwamba yeye alikuwa anaomba vyakula ndani ya basi, utakachobakisha anakiomba na anakula. Hata kama umekunywa maji imebaki nusu chupa, anayaomba,unampa wewe ukidhani anataka labda kunawa kumbe anayanywa. Cha ajabu zaidi kwa huyu bwana; wakati wa kuchimba dawa yeye alikuwa hashuki chini kuchimba.Na basi likianza safari ndipo anaenda kule mbele ya basi (siti za mwanzo) na anawageukia abiria wengine anatoa dushe lake hadharani na anakojolea kwenye chupa. Akishamaliza kukojoa kwenye chupa(chupa ya maji) anaanza kumwaga mkojo wake kwa dirishani tena taratibu taratibu sana, kama mjuavyo gari likiwa linatembea na mtu aliyepo mbele yako anapomwaga kimiminika dirishani lazima wewe uliye nyuma utarukiwa na kimiminika hicho;ndicho kilichokuwa kinatokea kwa abiria wengine, na walikuwa wakipiga kelele lakini jamaa linaendelea. Jamaa alipofika kijiji kimojawapo cha Kasulu,alishuka na Rambo yake, abiria wote walikuwa wakimshangaa jinsi anavyoshuka na walitamani kuwaona ndugu zake, ila hapakuwa na mtu yeyote wa kumpokea.Mara baada ya kushuka abiria walishangilia/shukuru sana wakisema "afadhali limefika"
Nimelala kitandani ninaumwa lakini nimecheka mpaka machozi [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima

Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
 
Daaaah vituko vingi sana...
-Kuna siku tuko moro tumelala zetu kwenye gari lidogo limoja likaharisha kwenye Dust bin hafu likubwa kama 14 yrs, mle ndani tulikua ni mwendo wa kutema mate kama tumenasa mimba.

-Nilishuka stendi nikakuta begi langu limebadirishwa mtu kachukua kaacha lake lenye vikama vya mtoto tu nililia sana hafu nilikua naenda kufanya field somewhere begi ndo lilikua linavyeti.hiyo ilikua Nyehunge bus
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
hhh waoga wa kuku kumbe[emoji23] [emoji23]
 
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Sitasahau nilivyotapika kwenye Bombadier. Usiku wa kabla ya safari nilienda mitaa fulani pale Kigoma nikala kuku wa kuchoma wa kienyeji kama nusu hivi. Sasa wakati nasafiri nilikuwa naumwa Malaria kali. Basi nikawa najisikia vibaya sana kama kutapika. Tuko angani juu ya Tabora nikabanwa. Ikabidi nikimbilie chooni kutapika kwenye sinki. Nimetapika ile mbaya yule air hostes akaniambia nitapikie kwenye sinki la choo. Ile kutapika matapishi yakatoka kama bomba mvua. Choo chote cha kwenye Bombadier kikawa kimechafuka sana. Ikabidi baada ya kumaliza nianze kupiga deki choo cha kwenye Bombadier. Nikaosha kuanzia sinki la kunawia mpaka sinki la choo na ile sakafu maana niliona aibu kuwaachia wale wahudumu wafanye ile kazi.
Kwa kweli, I had a very terrible flight.
 
Juzi tena tumetoka kuzika mshkaji wetu huko uzaramuni kiuri-chole kama sijakosea sasa tulizika saa 11 jioni safari ya kuanza kurudi saa moja kasoro afu kuna milima balaa na mvua ilikuwa imenyesha sasa ile eicher tuliyokuwa tumepanda dereva si mzoefu wa vilima na miteremko yenye utelezi, kuna sehemu tulipanda kilima kufika juu dereva kashindwa likaanza kuslide kurudi chini afu ni sehemu mbaya na huo muda ni saa nne usiku bado hata msanga hatujafika vichaka tupu, kuna demu alikuwa pembeni yetu alitoa ushuzi kila mtu aliusikia maana tulikuwa kimyaa nahisi alijinyea maana ile harufu haikuisha mle ndani mpaka tunafika jet saa 6 usiku
Jamani mbona mna vituko hivii
 
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Hao kuku wawe wanawekwa kwenye bodi
 
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
Kivipi walivimba?
 
Mwaka Jana mwezi wa 10 nilikua nasafiri kutoka Manyoni kuelekea Bunda.

Kama kawaida nilipanda Bunda bus, kutokana na hali ilivyo barabarani kwa sasa askari wengi jamaa alikua anatembea mwendo wa kawaida tu.
Nyegezi tukaingia mida ya saa kumi na moja jioni lakini gari ilizimika ghafla kumbe iliishiwa mafuta.
Wahusika wakafanya jitihada wakajaza mafuta ishu ikawa uwakaji wa gari maana ilikua imevuta upepo.
Baada kama ya nusu saa mambo yakakubali tuenda ofisini kwao then tukaanza safari ya kuelekea Buzuruga ili ashushe abiria wengine na apakie wengine tuendelee na safari yetu.
Kufika Buzuruga bus ikaharibika this time iliua compressor ya upepo.
Mafundi wakaanza kuhangaika, abiria wakapaniki wakaenda kumuita traffic, afande akapiga mikwara kibao pale wahusika wakaomba msamaha na ishu ikaisha.
Baada kama ya saa limoja gari ikapona tukaanza safari ya kuelekea Bunda.

Kiukweli Dereva alikua anatembea mwendo wa kawaida tu, kama 70km/h ila kutokana na ile barabara kua na mawimbi mawimbi bus ikawa kama inakimbia sana.
Abiria wakapaniki wengine walisikika wakisema Dereva tuna familia zinatutegemea Punguza mwendo.
Dereva akasema mwendo ninao tembea ni wa kawaida mbona abiria wakatulia baada kama ya dakika kumi hivi akasimama mama mmoja akamfuata dereva na kumwambia apunguze mwendo.
Basi kwenye gari ukaibuka ubishi wapo walio kua wana msapoti suka wakisema dereva aachwe atimize wajibu wake wapo walio kua wameanza kutoa vitambulisho vyao huku wakitoa kauli kama " unajua mimi ni nani ".
Dereva akaona isiwe tabu akapunguza spidi mpaka kama 10km/h.
Yani tulikua tunapitwa hadi na baiskeli.
Watu kumwambia dereva aongeze spidi wanashindwa wakaanza kulalamika tunachelewa bhana... Dereva alivyo na kiburi akasema haongezi mwendo kama huko Bunda tutafika kesho yeye hajali.
Baada ya kuona hii hali Ikabidi nishuke kituo kinaitwa masanza kona nipumzike.
Sasa sijui waliishia wapi lakini hali ilikua tete ndani ya basi.
 
Out of topic..
-Tulitoka kijijini kuimba kwaya basi wakati wa kupanda gari likawa limejaa, nikskaita kamwanakwaya kamoja nikakapakata heheee vile gari linadunda watu tunaimba nikaanza kupapasa mapaja meisho kakalegea nikapenyua sketi nikalengesha ogo ndani nikaanza jisevia huku tunaimba sauti ikawa haieleweki mara yanne mara ya pili nikapiga tubao kamoja na nusu ndani ya gari...
duuuu!!!! Unabalaa wewe
 
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
hahahahahahahaha mzee uliacha mzigo wako ukatupwa Hahahahaha kama nakuona vile ulivo jikausha kwa bus Hahahahaha Daaah nimecheka sana
 
Nakumbuka nilikuwa natoka arusha - dar nilishuhudia mrembo sista duu kwelikweli mweupeee..akiaribu ndani ya basi
maskini ya mungu sijui alikuwa amepata tumbo la kuhara yule bahati nzuri aliharibu karbu na mombo hotel, ikabidi basi liingie hotel pale, ndo akaenda kujiswafi pia kuna mwanadada alijitolea kumuazima skirt nyingine.
Jeans aliyokuwa amevaa sijui aliitupia wapi maana alivyorudi kwenye bus hakuibeba. Akajiinamia kwenye kiti mpaka tunafika kimara,. Yani hadi huruma

Dah ilikuwa ni aibu kwelikweli
Ndomana kabla sijasafiri lazima nimeze flagyly a subuhi silikitu ikifka mida ni mwendo wa bites bites tuu clips au biskut na juic had nafika [emoji4] [emoji4] [emoji4] sjawah haribu safarini
 
Back
Top Bottom