Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Aisee kweli,sio kwakuogeshwa mikojo alafu umetulia tuVijana wa dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kweli,sio kwakuogeshwa mikojo alafu umetulia tuVijana wa dar
Hahhqhahqhq inàonekana mwenye kuku alikasirika sanaaa.Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
ravihaSuper Mareja ya KondoaView attachment 737504
Mkuu umenivunja mbavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Nimelala kitandani ninaumwa lakini nimecheka mpaka machozi [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mwaka 2015 nilisafiri toka Dar-Kahama-Kigoma.Nilipanda basi LA Alsaedy.Basi lilikuwa limejaa siti zote na hakuna aliyesimama. Kuna jamaa mmoja (mwanaume) alikuwa anarudi nyumbani kwao Kasulu, jamaa huyo alionekana mwenye afya dhaifu, ila alikuwa na maneno mengi sana.Kutokana na maneno yake mengi hasa ya mtaani yaliyokuwa yanasikika basi zima(kwani alikuwa akiongea kwa sauti) inawezekana kazi yake ni kupiga debe. Cha kushangaza kwa huyu jamaa ni kwamba yeye alikuwa anaomba vyakula ndani ya basi, utakachobakisha anakiomba na anakula. Hata kama umekunywa maji imebaki nusu chupa, anayaomba,unampa wewe ukidhani anataka labda kunawa kumbe anayanywa. Cha ajabu zaidi kwa huyu bwana; wakati wa kuchimba dawa yeye alikuwa hashuki chini kuchimba.Na basi likianza safari ndipo anaenda kule mbele ya basi (siti za mwanzo) na anawageukia abiria wengine anatoa dushe lake hadharani na anakojolea kwenye chupa. Akishamaliza kukojoa kwenye chupa(chupa ya maji) anaanza kumwaga mkojo wake kwa dirishani tena taratibu taratibu sana, kama mjuavyo gari likiwa linatembea na mtu aliyepo mbele yako anapomwaga kimiminika dirishani lazima wewe uliye nyuma utarukiwa na kimiminika hicho;ndicho kilichokuwa kinatokea kwa abiria wengine, na walikuwa wakipiga kelele lakini jamaa linaendelea. Jamaa alipofika kijiji kimojawapo cha Kasulu,alishuka na Rambo yake, abiria wote walikuwa wakimshangaa jinsi anavyoshuka na walitamani kuwaona ndugu zake, ila hapakuwa na mtu yeyote wa kumpokea.Mara baada ya kushuka abiria walishangilia/shukuru sana wakisema "afadhali limefika"
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishaiNakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daaaah vituko vingi sana...
-Kuna siku tuko moro tumelala zetu kwenye gari lidogo limoja likaharisha kwenye Dust bin hafu likubwa kama 14 yrs, mle ndani tulikua ni mwendo wa kutema mate kama tumenasa mimba.
-Nilishuka stendi nikakuta begi langu limebadirishwa mtu kachukua kaacha lake lenye vikama vya mtoto tu nililia sana hafu nilikua naenda kufanya field somewhere begi ndo lilikua linavyeti.hiyo ilikua Nyehunge bus
hhh waoga wa kuku kumbe[emoji23] [emoji23]Nakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119][emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
Jamani mbona mna vituko hiviiJuzi tena tumetoka kuzika mshkaji wetu huko uzaramuni kiuri-chole kama sijakosea sasa tulizika saa 11 jioni safari ya kuanza kurudi saa moja kasoro afu kuna milima balaa na mvua ilikuwa imenyesha sasa ile eicher tuliyokuwa tumepanda dereva si mzoefu wa vilima na miteremko yenye utelezi, kuna sehemu tulipanda kilima kufika juu dereva kashindwa likaanza kuslide kurudi chini afu ni sehemu mbaya na huo muda ni saa nne usiku bado hata msanga hatujafika vichaka tupu, kuna demu alikuwa pembeni yetu alitoa ushuzi kila mtu aliusikia maana tulikuwa kimyaa nahisi alijinyea maana ile harufu haikuisha mle ndani mpaka tunafika jet saa 6 usiku
Hao kuku wawe wanawekwa kwenye bodiNakumbuka nilikuwa natoka kilombero ndan ya basi kuna mtu alibeba kuku kwenye mfuko ,basi bhana yule kuku kumbe kafulukuta kwenye mfuko mle si akatoka lkn mfuko umemnasa mguu balaa likaanza ,kuku kaleta purukushan akarukia mbele kwa dereva anarukaruka na mfuko wake mguuni mara kwenye dashbodi mara kaingia miguuni dereva kataharuki barabara yote yake nyuma huku tukaanza unatuua wewe akaritia machakan pemben ya barabara anafoka mtoeni kuku wenu kum.........e tutakufa kisa kuku ,tukamtupa kuku nje alafu tukammaindi mwenyewe kinoma alikuwa mama mtu mzima daaah alinywea kinoma bac mpaka tunafika dar ikawa ndio stor bac zima
Kivipi walivimba?[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
duuuu!!!! Unabalaa weweOut of topic..
-Tulitoka kijijini kuimba kwaya basi wakati wa kupanda gari likawa limejaa, nikskaita kamwanakwaya kamoja nikakapakata heheee vile gari linadunda watu tunaimba nikaanza kupapasa mapaja meisho kakalegea nikapenyua sketi nikalengesha ogo ndani nikaanza jisevia huku tunaimba sauti ikawa haieleweki mara yanne mara ya pili nikapiga tubao kamoja na nusu ndani ya gari...
hahahahahahahaha mzee uliacha mzigo wako ukatupwa Hahahahaha kama nakuona vile ulivo jikausha kwa bus Hahahahaha Daaah nimecheka sana[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] kuku angewatoa nishai
Mimi nilibeba fenesi kwenye basi watu walivimba matumbo ndani ya dakika chache ..kilichotokea dereva alisimamisha basi na kulitupa nje fasta ..nilinyamaza kama sio langu
Ndomana kabla sijasafiri lazima nimeze flagyly a subuhi silikitu ikifka mida ni mwendo wa bites bites tuu clips au biskut na juic had nafika [emoji4] [emoji4] [emoji4] sjawah haribu safariniNakumbuka nilikuwa natoka arusha - dar nilishuhudia mrembo sista duu kwelikweli mweupeee..akiaribu ndani ya basi
maskini ya mungu sijui alikuwa amepata tumbo la kuhara yule bahati nzuri aliharibu karbu na mombo hotel, ikabidi basi liingie hotel pale, ndo akaenda kujiswafi pia kuna mwanadada alijitolea kumuazima skirt nyingine.
Jeans aliyokuwa amevaa sijui aliitupia wapi maana alivyorudi kwenye bus hakuibeba. Akajiinamia kwenye kiti mpaka tunafika kimara,. Yani hadi huruma
Dah ilikuwa ni aibu kwelikweli