cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Akishinda yeyote kwa HAKi ni sawa.. tatizo ni pale mtu anaposhinda kwa HILA na WIZi kinyume na matakwa ya wapiga kura
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
mama DMaafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Ni CCM wenyewe ndiyo walisema hata msipowapigia kura, wao lazima waunde Serikali rejea maneno ya Mama Samia na CCM kushinda ni lazima kwa sababu imeshika dola, rejea maneno ya Dr. Bashiru- katibu mkuu. Yapo maneno mengi tu ya kuambatanisha ili kuthibitisha kile wapinzani wanachoamini kuwa haki haijawahi kuwa upande katika chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi!Wakishinda wapinzani haki imetendeka, ila wakishindwa hakuna haki, tulia sindano iwaingie
Nilisema juzi humu sisi wananchi watanzania ni wapumbavu na matahira,kila kitu tumewaachia viongozi wa upinzani nao wamechoka maana hawapati sapoti yoyote kutoka kwa wananchi.
Hata leo hii tukabadilishiwa katiba tukapewa ya USA,kama Rais ni magufuli atafanya against ni hatutafanya chochote.
Ngoja tuungane na wenzetu waganda na Rwanda kuhalalisha upumbavu wetu wa kiafrika.
Hao wawili hawawezi kuchoka wao wanapata stahili zao sio kama wengineHiyo katiba mpya itapatikana vipi bila CCM kuwekwa oembeni kwanz?
Nionavyo ili CCM itoke cha kwanza System ya nchi iwachoke hapa nazungumzia TISS na JWTZ
Kwa maana Kila mamlaka hutoka juu,hata farao aliinuliwa kwa kusudi la Mungu na nebukadreza pia!! Sasa wewe Nani upinge kusudi la MunguHata hivyo Biblia inahimiza kutii mamlaka pia.
WeToba hii haikubaliki ni mpaka watanzania wote watakapo kusamehe!
Uongo wa nn we kichaa.Moyo Wangu unaumia.Acha uongo..
Una tabia za kimalaya malayaMaafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Dadeki mwanzoni mlisema mnaingia barabarani. Sasa hivi mmekuwa wadogo kama piriton. Hiyo chama imekufaWala hatulalamiki, tumeacha kulalamika sababu haisaidii, ila malipo ya dhulma ni Laana na KIFO
Kama Mama yako alivyo Malaya.Una tabia za kimalaya malaya
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.
Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.
Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.
Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?
Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
MkuuKama Mama yako alivyo Malaya.
In his idea ni kuwa ukiteuliwa na rais ni rahis kuwa manipulated. How?Kwa hiyo wakiwekwa wasio wateule wa rais tumemaliza tatizo?
Hao wabunge wa upinzani waliotoka upinzani na kwenda CCM walikuwa wateule wa rais?
Joshua Nassari alikuwa mteule wa rais?
Unahitaji kuwa mteule wa rais ili kurubuniwa na CCM?
Du kumbe. Sasa na Tigo unatoa?Kama Mama yako alivyo Malaya.
Yeah but kama huyu mtu anaitumia tool vibaya what should we do? I say tu modify hiyo tool.. ili anae itumia asiweze kuumiza wengine.. iwe effective only kutumikia wananchi but akitaka kuvuka mipaka iwe na limit asiweze.Nipo mkuu.
Tutaelewana tu hata kule kwingine.My epistemology is consistent.
Contradiction ni pale wanaompinga Magufuli kwa kujikita kwenye maendeleo ya vitu (ndege, barabara, fyovers etc) badala ya maendeleo ya watu (afya, elimu), wao wenyewe wanaweka kipaumbele kwenye maendeleo ya vitu (katiba mpya) badala ya maendeleo ya watu (elimu ya uraia kuweza kutumia katiba hata iliyopo sasa).
Hii ni contradiction miongoni mwa wapinzani wa Magufuli wanaotaka kuanza na katiba mpya kama suluhisho la matatizo yetu.
Katiba mpya ni moja ya tool muhimu.
Lakini kama tool yoyote kwenye toolbox, ili tool iweze kuwa na tija, inabidi awepo mtu anayejua na anayethubutu kuitumia tool.
Umejisahau mkuu.Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.