Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Akishinda yeyote kwa HAKi ni sawa.. tatizo ni pale mtu anaposhinda kwa HILA na WIZi kinyume na matakwa ya wapiga kura

Kwahiyo unadai kura millioni zote zimeibwa.. eeeeeh.. zs nani haswa.. Rungwe au? Maana Lissu huyo hakuvutia wananchi.. zaidi ya kutembea kutalii na kuyojua kujinadi..


Chaguo la wananchi
Magufuli oyeeeee
💚💛💚💛💚
 
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.

Acha uongo..
 
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
mama D
Haya ndiyo mambo mnayoshangilia
 
Wakishinda wapinzani haki imetendeka, ila wakishindwa hakuna haki, tulia sindano iwaingie
Ni CCM wenyewe ndiyo walisema hata msipowapigia kura, wao lazima waunde Serikali rejea maneno ya Mama Samia na CCM kushinda ni lazima kwa sababu imeshika dola, rejea maneno ya Dr. Bashiru- katibu mkuu. Yapo maneno mengi tu ya kuambatanisha ili kuthibitisha kile wapinzani wanachoamini kuwa haki haijawahi kuwa upande katika chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi!
 

Mfumo wa vyama vingi ni mzuri, lakini hauna meno ya kutosha kumdhibiti Rais anayeamua kukiuka chochote. Bunge la vyama vingi, pamoja na kwamba ndilo lenye mamlaka ya kumdhibiti Rais, siku zote linatawaliwa na partisanship. Muda wote Rais anakuwa na allies wa kutosha kumlinda Bungeni kwa sababu ni wa kutoka chama chao. Na kumpiga chini President unahitaji baraka ya 2/3 ya wabunge. Kuipata hiyo kwenye Bunge la vyama vingi is practically impossible.

Tuliona hata Wamarekani walipojaribu kumpiga chini Trump; senators wa chama chake walikataa kumtia hatiani mchizi akanusurika! As a matter of fact, katika historia ya nchi yao, hawajawahi kumng’oa Rais wao kwa mtindo huo. Mmoja tu ndiyo aliamua kuachia ngazi mwenyewe kabla ya mashitaka dhidi yake kuanza kusikilizwa na Senate. Naye angekomaa pengine angechomoka kwa sababu hiyo hiyo ya partisanship.
 
Hiyo katiba mpya itapatikana vipi bila CCM kuwekwa oembeni kwanz?

Nionavyo ili CCM itoke cha kwanza System ya nchi iwachoke hapa nazungumzia TISS na JWTZ
Hao wawili hawawezi kuchoka wao wanapata stahili zao sio kama wengine
 
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Una tabia za kimalaya malaya
 
Wala hatulalamiki, tumeacha kulalamika sababu haisaidii, ila malipo ya dhulma ni Laana na KIFO
Dadeki mwanzoni mlisema mnaingia barabarani. Sasa hivi mmekuwa wadogo kama piriton. Hiyo chama imekufa
 
 
Chama Dola!!! Ujanjaujanja Tu Umesaidia Hili Zoezi
Haki Iko Kwa Mungu!!!
 
Kama Mama yako alivyo Malaya.
Mkuu
Punguza Munkari Tumeanza Maisha Mapya Bila Uchaguzi. Kosea Kuoa Lakini Siyo Kuchagua Ukikosea Kuchagua Ni Mpaka Baada Ya Miaka Mitano
 
Kwa hiyo wakiwekwa wasio wateule wa rais tumemaliza tatizo?

Hao wabunge wa upinzani waliotoka upinzani na kwenda CCM walikuwa wateule wa rais?

Joshua Nassari alikuwa mteule wa rais?

Unahitaji kuwa mteule wa rais ili kurubuniwa na CCM?
In his idea ni kuwa ukiteuliwa na rais ni rahis kuwa manipulated. How?
Kama kauli alizotoa hapo nyuma mhe.rais. you can see no body anadhubutu kwenda kinyume na command zake. He can simply remove you kutoka kwenye hiyo nafasi if hutafanya anavyotaka yeye.
So ile chain ya wateule wa rais.. ukiacha mbali wabunge. Ile chain mpaka kwa wakuu wa wilaya ni copromised tayari.
 
Yeah but kama huyu mtu anaitumia tool vibaya what should we do? I say tu modify hiyo tool.. ili anae itumia asiweze kuumiza wengine.. iwe effective only kutumikia wananchi but akitaka kuvuka mipaka iwe na limit asiweze.
 
Kwa Katiba na tume ya uchaguzi wa namna hii hata siku moja tusitegemee uchaguzi huru na wa haki. Na tatizo vyama vyetu vya upinzani hawana hata mbinu moja dhabiti ya kukabiliana na madhila haya. Tutabaki kulialia sana na ccm itaendelea kuongoza kwa mabavu.
 
Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Umejisahau mkuu.

Kwa hayo uliyoyaeleza hapo juu, sasa Katiba Mpya itapatikana vipi?

Hizi mamlaka ulizozitii katika uchaguzi huu utakuwa umeziondoa vipi ili upate hiyo katiba mpya?

Kwa mtu kama wewe, niseme tu kwamba hata "Pole" hustahili kupewa. Ni bora ungemezea tu ubaki na maumivu yako moyoni peke yako kwa kushiriki katika kulihujumu taifa lako.

Sikuonei kwa kukulaumu, lakini umeshiriki hujuma, halafu unatafuta kujikosha?
 
Niliwaza endapo hao waliotangazwa wangeanza uliwa mmoja mmoja nadhani ingeleta hofu sana hata yeye angeogopa na mtu pia angeogopa tangazwa kwa matokeo ya kufoji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…