Sio kweli...usiwadharau Watanzania kiasi hicho.Wabongo wengi wanataka walale alafu waamke kesho wakute wameletewa AMANI na Kigogo au Mange kimambi kwenye sshani.
Siyo katika uovuHata hivyo Biblia inahimiza kutii mamlaka pia.
Kabisa MKUUUsiingize Biblia kama hauijui kwenye huu ujinga
Dah!!!!,Mungu atakusamehe mkuuMaafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Mimi mwenyewe namchukia balaa huyu bahariaAmewanyima tu hao wapinzani ajira ya ubunge, udiwani na hata huo Urais! Ila upinzani hauwezi kufa kamwe. Hata ndani ya hicho chama chake, upinzani na makundi yatendelea tu kushamiri.
Yaani tumerudishwa enzi za Mwalimu! Hovyo kabisa.
Kweli kabisa,tumerudi enzi za Tanganyika na TANUMajuto ni mjukuu. Sasa mmeturudisha kwenye utawala wa Chama Kimoja. Sio peke yenu. Hata mawakala wa vyama vya upinzani wamechangia haya
Magufuli atasema ameshinda ila CCM na TANZANIA kwa ujumla tumepoteza
Usifurahie uovuKwakweli mnalalamika mpaka roho inaniuma poleni sana wajameni ndio siasa hiyo jipangeni kwa uchaguzi ujao..
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Katiba mpya muhimu na ikiandaliwa vizuri itaelekeza namna ya kumwajibisha yeyote atakaeisigina bila kujali cheo chake. Katiba iliyopo ni dhaifu sana na udhaifu huo umejitokeza zaidi katika Awamu hii kwa sababu ya uongozi dhaifu katika mihimili yote mitatu ya Utawala ukilinganisha na Awamu zilizopita. Pamoja na mapungufu ya Katiba iliyopo, viongozi wa Awamu zilizopita waliielewa kama ilivyokuwa na kuheshimu viapo vyao walivyoapa kuitii hata mmoja wao aliridhia matakwa ya wananchi ya kuandaliwa Katiba mpya. Awamu hii inaendesha nchi kama hakuna kabisa Katiba walioapa kuilinda lakini bahari mbaya kutokana na udhaifu wake inawalinda wakiivunja maksudi au kwa bahati mbaya.Katiba iliyopo watu wameshindwa kuitumia.
Magufuli kapiga marufuku mikutano kinyume na katiba.
Hiyo mpya mkipewa halafu akaivunja hivyo hivyo, mtafanya kipi cha tofauti?
Mimi naona katiba mpya ni muhimu, ila mara nyingi inafanywa kuwa kisingizio tu.
Katiba haileti mabadiliko. Watu ndiyo huleta mabadiliko.
Sasa kama watu hawana muamko, katiba mpya itasaidiaje?
Mkuu 'Tate', Pole sana!Amewanyima tu hao wapinzani ajira ya ubunge, udiwani na hata huo Urais! Ila upinzani hauwezi kufa kamwe. Hata ndani ya hicho chama chake, upinzani na makundi yatendelea tu kushamiri.
Yaani tumerudishwa enzi za Mwalimu! Hovyo kabisa.
Kweli mkuu kilipangwa kbs hicho,eti huwezi kushinda wew,huyo ni polisi anaongea hivyo,huu haukuwa uchaguziHuu ujinga umefanyika maeneo mengi sana. Na policcm safari hii wamedhihirisha wazi namna wanavyotumiwa na bosi wao. Alichokisema yule OCD wa Hai, hakikuwa ni kitu cha kubahatisha.
Majibu yameonekana sehemu nyingi. Poleni wote mlio umizwa kwa kunyang'anywa ushindi wenu kibabe! Kisa kuna mtu mmoja tu alipiga marufuku wapinzani kutangazwa washindi.
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.
Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.
Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.
Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?
Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Mimi nilitenda haki na CHADEMA /upinzani wameshindwa kwa haki mf kwenye kituo changu kura za urais ccm kura171,CHADEMA kura 36,ubunge CCM kura 151,CHADEMA kura 67 na vituo vya majirani zangu pia CCM imeongoza kwa gape kubwa tu nadhani kuna kitu upinzani wajipange vzr kukifanyia kazi hasa vijijini, wenzao ccm wanamtaji mkubwa sana huko, ukijumlisha na mbwembwe zingine kama TASAF na ugawaji wa nguo za chama yaani huwaambii kitu vijijini.
Sent using Jamii kwa LA kijijin hpna nilkuwa hko vijijini ilula maeneo ya isele na masukanzi nilichoshuhudia kwa macho yangu ni wizi wa wazi mawakala walikuwa wa CCM na chadema vingine havikuwa na mawakala ilipofika mda wa kula wa chadema alipotoka kwenda chooni kura zliletwa na mapoti tukijua chakula uchaguzi ulivyomalizika wakaanza kujisifia
Kwenye kipengele cha kuhusu demokrasia, niko sahihi bwashee. Mwalimu hakuwahi kuwa mtu wa kupenda demokrasia. Hata yeye mwenyewe huko aliko anatambua vizuri, kuna baadhi ya mambo alivurunda wakati wa Uongozi wake na mengine mengi tu aliyapatia.Mkuu 'Tate', Pole sana!
Lakini hasira zisikuondoe akili mkuu wangu: Huwezi kamwe kusema kwa moyo safi kwamba "---tumerudishwa enzi za Mwalimu!"; huenda una maana yako nyingine tofauti kabisa!
Katiba iliyopo watu wameshindwa kuitumia.
Magufuli kapiga marufuku mikutano kinyume na katiba.
Hiyo mpya mkipewa halafu akaivunja hivyo hivyo, mtafanya kipi cha tofauti?
Mimi naona katiba mpya ni muhimu, ila mara nyingi inafanywa kuwa kisingizio tu.
Katiba haileti mabadiliko. Watu ndiyo huleta mabadiliko.
Sasa kama watu hawana muamko, katiba mpya itasaidiaje?
Lakini Petro na mitume walipoamuriwa kwa nguvu na baraza (Sanhedrin) wasihubiri tena kwa jina la Yesu walisema, "...Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu" (Matendo 5:29).Hata hivyo Biblia inahimiza kutii mamlaka pia.
NaaaaamMbele kwa mbele
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.
Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.
Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.
Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?
Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Ulipataje hiyo kazi ya kusimamia uchaguzi? Kwa hiyo hata kama kituo kimoja kapata kura 2 ndio iwe Tanzania nzima?Acha mbwembwe, nimesimamia kituo kinaitwa Wankorongo, Lissu kapata kura mbili! Kubalini mmepigwa kichapo cha mbwa mwizi, laana ya Dr Slaa hii, mkome kukumbatia wapenda kufumuana mitaro!