Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Kwa hiyo wakiwekwa wasio wateule wa rais tumemaliza tatizo?

Hao wabunge wa upinzani waliotoka upinzani na kwenda CCM walikuwa wateule wa rais?

Joshua Nassari alikuwa mteule wa rais?

Unahitaji kuwa mteule wa rais ili kurubuniwa na CCM?
Unauliza maswali mepesi ambayo hayapaswi kutoka kwako

Hao watu ukiwaondoa kwenye mkono wa rais, utaweka utaratibu wa kuwapata na kuwapatia protection hasa security ya kazi zao baada ya uchaguzi , na hawatofanya kazi chini ya shinikizo la chombo chochote kilicho juu yao

manake wote wakati wanaapishwa waliambiwa "nakulipa mshahara, nakupa gari , nimekupa nyumba , nimekupa kazi alafu ukanitangazie mpinzani ameshinda" kwenye mazingira haya huyo mkurugenzi anatangaza vipi mpinzani wakati kibarua chake kiko hatarini

hao wanaohama ni issue nyingine ikiwa ni pamoja na ubovu wa katiba hii, hayo mazingira ya wao kutotangazwa hata wakishinda walisha yaona, mtu haoni namna ya kupenya akiwa huku ilihali kila kitu kina favor upande ule, wengine ni njaa ziliwapeleka kule etc etc
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Mbona tuli tuli...tuliosimamia, tutabaki, tulitii...zungumzia nafsi yako. Kama ulikua mwepesi ni ww. Wapo walio simamia misingi ndio maana kuna hao wapinzani wawili walio pata viti.
 
Unauliza maswali mepesi ambayo hayapaswi kutoka kwako

Hao watu ukiwaondoa kwenye mkono wa rais, utaweka utaratibu wa kuwapata na kuwapatia protection hasa security ya kazi zao baada ya uchaguzi , na hawatofanya kazi chini ya shinikizo la chombo chochote kilicho juu yao

manake wote wakati wanaapishwa waliambiwa "nakulipa mshahara, nakupa gari , nimekupa nyumba , nimekupa kazi alafu ukanitangazie mpinzani ameshinda" kwenye mazingira haya huyo mkurugenzi anatangaza vipi mpinzani wakati kibarua chake kiko hatarini

hao wanaohama ni issue nyingine ikiwa ni pamoja na ubovu wa katiba hii, hayo mazingira ya wao kutotangazwa hata wakishinda walisha yaona, mtu haoni namna ya kupenya akiwa huku ilihali kila kitu kina favor upande ule, wengine ni njaa ziliwapeleka kule etc etc

Usinipangie maswali ya kuuliza. Unaweza kuona swali jepesi kwa sababu hujaelewa kina cha swali.

Unatoa majibu mepesi kwa maswali magumu.

Tuna tatizo la utamaduni, utamaduni wa woga.

Tatizo hili halimalizwi na mabadiliko ya katiba. Kwa sababu hata provisions za katiba ya sasa hatuzitumii.

Nchi nzima imeambiwa na Magufuli hakuna kukutana katika mikutano ya siasa. Hiyo amri ni kinyume na katiba.

Hakuna aliyeipinga.

Hatukuhitaji katiba mpya kupinga hilo.

Na hatukupinga.

Sasa kama rais anavunja katiba iliyopo, na hakuna anayempinga, akiwapa hiyo mpya mnayoitaka na akaivunja tena mtakuwa na kipi kipya cha kuweza kuushinda woga wenu wa sasa?

Utasema asimteue huyu na yule, lakini bado atakuwa rais tu. Na kwa njia moja au nyingine bado atakuwa na nguvu.

Sasa kama mnabadili katiba tu, na Watanzania wanabaki kama walivyo wafuasi wa falsafa za hewala hewala, kamanda wq Polisi akiwaambia hakuna kuandamana (hakinyqo ya kikatiba), mkiqndamana mtapigwa kama mbwa koko. Wanafyata mkia. Katiba mpya itakusaidiaje kubadili mambo wakati watu hawajabadilika?

Serikali ya CCM ya sasa haina haya, haishindwi kupiga watu, kufunga, kuua, na mkapeleka kesi mahakamani, wakawafanyia visa huko huko mahakamani. Whether mahakimu na majaji wanateuliwa na rais ama sivyo.

Sasa ukibadili katiba bila kubadili uthubutu wa watu utawezaje kubadili mfumo?

Watu ndio wanaweka katiba ili kuleta mabadiliko.

Katiba haileti mabadiliko.
 
Mkuu
Punguza Munkari Tumeanza Maisha Mapya Bila Uchaguzi. Kosea Kuoa Lakini Siyo Kuchagua Ukikosea Kuchagua Ni Mpaka Baada Ya Miaka Mitano
Mkuu watu wanakoment tu na wengine wanatoa matusi.Hali ilivyokawa ilitakiwa utekelezaji wa maagizo.Ningechagua lipi Sasa.
 
Mie nijaribu kukueleza jinsi mamlaka yake ilivyo kubwa kwa sasa kama hizi organ za mihimili mitatu zitakuwa parallel ni raisi kumshitaki kwenye mahakama au bunge likes uadabisha,sio kama ulivyo sasa ukienda mahakani majudge ni wateule wake ukienda bungeni majority ya wabunge yeye ni mwenyekiti wao kwenye chama Kwenye katiba mpya imeweka hizi organ parallel majudge wana mfumo wao wa kupatikana ikiwemo kiongozi wao judge mkuuu nawabunge wachaguliwa na wananchi chini ya udhamini wa chama hivyo rais hawezi kuwa mwenyekiti wa chama yaani ni mkuu wa organ inayo wadhamini wabunge wabunge hapo lazima wawe vibogoyo
Nimeijibu hii hoja hapo juu.

Kama Magufuli kaweza kuwarubuni wabunge wa upinzani, ambao si wateule wake na walikuwa wapinzani wake, watoke upinzani na kujiunga CCM bila aibu, unafikiri ukifanya hao wateule wake wasiwe wateule wake ndiyo utakuwa umemkomesha ubaradhuli wake?

Kama kawarubuni wabunge wa upinzani moaka wamejiunga CCM qtashindwa vipi kuwarubuni hao wengine?

Sijapata jibu.

Don't get me wrong, mabadiliko ya katiba ni kitu muhimu sana.

Lakini naona kuna mambo mengi tunaisingizia katiba tu.

Kuna mambo mengi tunaweza kufanya hata kwa katiba ya sasa, na hatufanyi.

Tuna tatizo la elimu. Tuna tatizo la muamko wa kisiasa. Tuna tatizo la kuwa na utamaduni wa woga. Tuna tatizo la ubinafsi.

Haya matatizo yote hayamalizwi na katiba mpya.

Mtu mjinga, asiye na muamko wa kisiasa, mwoga na mbinafsi akioewa hela aharibu uchaguzi, ataharibu tu. Hata kama katiba inakataza.

Tutafute hiyo katiba mpya, itatusaidia.

Lakini tuelewe kwamba tuna matatizo makubwa zaidi ya katiba mpya.
 
Huu ujinga umefanyika maeneo mengi sana. Na policcm safari hii wamedhihirisha wazi namna wanavyotumiwa na bosi wao. Alichokisema yule OCD wa Hai, hakikuwa ni kitu cha kubahatisha.

Majibu yameonekana sehemu nyingi. Poleni wote mlio umizwa kwa kunyang'anywa ushindi wenu kibabe! Kisa kuna mtu mmoja tu alipiga marufuku wapinzani kutangazwa washindi.
ILE ƘAULI ILITOA SIRI ƳOTE ƳA ƘILE ƘILICHOPANGWA NA CCM ƘUPITIA POLICE ƳAO ILA ILICHUƘULIWA ƘAMA MASIHARA VILE ƘUMƁE NDIO UƘWELI WENƳEWE ƊU😠
 
Madui wa nchi yetu n walewale

1 MARADHI

2 UMASKINI

3 UJINGA

UJINGA KAKOMAA HASWA
 
Nimeijibu hii hoja hapo juu.

Kama Magufuli kaweza kuwarubuni wabunge wa upinzani, ambao si wateule wake na walikuwa wapinzani wake, watoke upinzani na kujiunga CCM bila aibu, unafikiri ukifanya hao wateule wake wasiwe wateule wake ndiyo utakuwa umemkomesha ubaradhuli wake?

Kama kawarubuni wabunge wa upinzani moaka wamejiunga CCM qtashindwa vipi kuwarubuni hao wengine?

Sijapata jibu.

Don't get me wrong, mabadiliko ya katiba ni kitu muhimu sana.

Lakini naona kuna mambo mengi tunaisingizia katiba tu.

Kuna mambo mengi tunaweza kufanya hata kwa katiba ya sasa, na hatufanyi.

Tuna tatizo la elimu. Tuna tatizo la muamko wa kisiasa. Tuna tatizo la kuwa na utamaduni wa woga. Tuna tatizo la ubinafsi.

Haya matatizo yote hayamalizwi na katiba mpya.

Mtu mjinga, asiye na muamko wa kisiasa, mwoga na mbinafsi akioewa hela aharibu uchaguzi, ataharibu tu. Hata kama katiba inakataza.

Tutafute hiyo katiba mpya, itatusaidia.

Lakini tuelewe kwamba tuna matatizo makubwa zaidi ya katiba mpya.
Umeeleweka sasa 1.ubinafsi hii nimeiona watu walio juu kwa kipato wanao haribiwa mambo yao jinsi watu wanavyo furahi
 
Usinipangie maswali ya kuuliza. Unaweza kuona swali jepesi kwa sababu hujaelewa kina cha swali.

Unatoa majibu mepesi kwa maswali magumu.

Tuna tatizo la utamaduni, utamaduni wa woga.

Tatizo hili halimalizwi na mabadiliko ya katiba. Kwa sababu hata provisions za katiba ya sasa hatuzitumii.

Nchi nzima imeambiwa na Magufuli hakuna kukutana katika mikutano ya siasa. Hiyo amri ni kinyume na katiba.

Hakuna aliyeipinga.

Hatukuhitaji katiba mpya kupinga hilo.

Na hatukupinga.

Sasa kama rais anavunja katiba iliyopo, na hakuna anayempinga, akiwapa hiyo mpya mnayoitaka na akaivunja tena mtakuwa na kipi kipya cha kuweza kuushinda woga wenu wa sasa?

Utasema asimteue huyu na yule, lakini bado atakuwa rais tu. Na kwa njia moja au nyingine bado atakuwa na nguvu.

Sasa kama mnabadili katiba tu, na Watanzania wanabaki kama walivyo wafuasi wa falsafa za hewala hewala, kamanda wq Polisi akiwaambia hakuna kuandamana (hakinyqo ya kikatiba), mkiqndamana mtapigwa kama mbwa koko. Wanafyata mkia. Katiba mpya itakusaidiaje kubadili mambo wakati watu hawajabadilika?

Serikali ya CCM ya sasa haina haya, haishindwi kupiga watu, kufunga, kuua, na mkapeleka kesi mahakamani, wakawafanyia visa huko huko mahakamani. Whether mahakimu na majaji wanateuliwa na rais ama sivyo.

Sasa ukibadili katiba bila kubadili uthubutu wa watu utawezaje kubadili mfumo?

Watu ndio wanaweka katiba ili kuleta mabadiliko.

Katiba haileti mabadiliko.
Ni ifunyi wako tu wa uelewa

Katiba uliyo nayo haikuruhusu ww kumwajibisha rais kwa namna yeyote ile.. na kama hiyo haitoshi kina Zitto walienda kuomba mahakama itoe ufafanuzi wa baadhi ya vifungu ikasema kwa makosa ya jinai hata kama rais yuko madarakan atawajibishwa, what happened?

haikupita Mwezi wakaja na sheria mpya, Rais, makamu, Prime Minister, Speaker na Naibu speaker wote wakaweka Kinga na kama ikitokea unaenda washtaki hawa basi ni lazima jambo hilo liwe limekuathiri moja kwa moja na ikatokea limekuathiri moja kwa moja utaenda kumshtaki sio hawa, ni mwanasheria mkuu wa serikal

bado tunarud pale pale, Katiba mpya ni muhimu sana, inampa rais madaraka makubwa mno, Jaji mkuu anateuliwa nae , majaji wa mahakama kuu, mahakama za rufaa ni wateule wake , na katika hawa wote ni mmoja tu hawez mtengua, hakuna namna utapata haki huko ukimpeleka yeye

Unashindwa ona namna haya mambo yanavyokwenda unatupa lawama kwingine, katiba iliyopo haikupi mamlaka yeyote ya kumwajibisha

Hata sasa hv haya matokeo huwez kwenda mahakamani kupinga matokeo yake
 
Ni ifunyi wako tu wa uelewa

Katiba uliyo nayo haikuruhusu ww kumwajibisha rais kwa namna yeyote ile.. na kama hiyo haitoshi kina Zitto walienda kuomba mahakama itoe ufafanuzi wa baadhi ya vifungu ikasema kwa makosa ya jinai hata kama rais yuko madarakan atawajibishwa, what happened?

haikupita Mwezi wakaja na sheria mpya, Rais, makamu, Prime Minister, Speaker na Naibu speaker wote wakaweka Kinga na kama ikitokea unaenda washtaki hawa basi ni lazima jambo hilo liwe limekuathiri moja kwa moja na ikatokea limekuathiri moja kwa moja utaenda kumshtaki sio hawa, ni mwanasheria mkuu wa serikal

bado tunarud pale pale, Katiba mpya ni muhimu sana, inampa rais madaraka makubwa mno, Jaji mkuu anateuliwa nae , majaji wa mahakama kuu, mahakama za rufaa ni wateule wake , na katika hawa wote ni mmoja tu hawez mtengua, hakuna namna utapata haki huko ukimpeleka yeye

Unashindwa ona namna haya mambo yanavyokwenda unatupa lawama kwingine, katiba iliyopo haikupi mamlaka yeyote ya kumwajibisha

Hata sasa hv haya matokeo huwez kwenda mahakamani kupinga matokeo yake
Tukiachana na katiba mpya ,hata iliyopo tu haifuatwi , Sheria za tume ya uchaguzi hazifuatwi , watumishi na wateule hawafuati miongozo ya nchi bali tamko la mtu mmoja

Kiufupi , jambo la kufanya ni kuonesha kuwa wanaongoza watu sio maiti , hii itasaidia kuset standard za watawala kutambua wenye nchi ni wananchi na wanatakiwa kuheshimika
 
Ni ifunyi wako tu wa uelewa

Katiba uliyo nayo haikuruhusu ww kumwajibisha rais kwa namna yeyote ile.. na kama hiyo haitoshi kina Zitto walienda kuomba mahakama itoe ufafanuzi wa baadhi ya vifungu ikasema kwa makosa ya jinai hata kama rais yuko madarakan atawajibishwa, what happened?

haikupita Mwezi wakaja na sheria mpya, Rais, makamu, Prime Minister, Speaker na Naibu speaker wote wakaweka Kinga na kama ikitokea unaenda washtaki hawa basi ni lazima jambo hilo liwe limekuathiri moja kwa moja na ikatokea limekuathiri moja kwa moja utaenda kumshtaki sio hawa, ni mwanasheria mkuu wa serikal

bado tunarud pale pale, Katiba mpya ni muhimu sana, inampa rais madaraka makubwa mno, Jaji mkuu anateuliwa nae , majaji wa mahakama kuu, mahakama za rufaa ni wateule wake , na katika hawa wote ni mmoja tu hawez mtengua, hakuna namna utapata haki huko ukimpeleka yeye

Unashindwa ona namna haya mambo yanavyokwenda unatupa lawama kwingine, katiba iliyopo haikupi mamlaka yeyote ya kumwajibisha

Hata sasa hv haya matokeo huwez kwenda mahakamani kupinga matokeo yake
Katiba iliyopo inamruhusu rais kukataza mikutano ya kisiasa?
 
BASI NA TUSEME MUNGU MAPENZI YAKE YATIMIZWE SI KAMA TUTAKAVYO SISI BALI ALIYE KINYUME CHA DHAMBI NA UCHAFU WOTE NA WIZI UKIWEMO.KWA SABABU SS TUNAOMBA KWA MUNGU LKN MUNGU ANA STRATEGY ZAKE ZA KUJIBU.YAWEZEKANA TUKASHUHUDIA MAKUBWA TUSUBIRI TUOMBE UZIMA.
 
Katiba iliyopo inamruhusu rais kukataza mikutano ya kisiasa?
Katiba Haimruhusu kuzuia,lakini huwezi mpinga atakapo ivunja, Katiba+sheria zinamlinda

Yeye yuko free kufanya anacho jisikia , lakini wewe sasa hurusiwi kwenda kudai pale unapohisi amekosea

Ado Shaibu kampeleka mahakaman pia
Kina Jebra wame challenge mamlaka yake, Zito, dogo mmoja baba yake alikufaga kwa ajali alikua mbunge wa chadema kanda ya ziwa .. na wengine wengi tu , wote wanafeli , huwezi mshtaki rais na yeye anajua hilo

Kipindi Ado anapeleka shauri mahakamani, rais akiwa kwenye shughuli zake alichomekea kauli "Kuna watu hawajui kama huwezi mshtaki rais" akataja na kifungu cha katiba


Katiba yetu hii hii inatambua mahakama kama chombo pekee cha kupata haki kwa mtu yeyote kwa shauri lolote

Lakini katiba hiyo hiyo tena anazuia matokeo ya urais kua challenged..

Mawazo yako haya watu walishajaribu wakafeli, ndio maana unaona vilio ni katiba katiba katiba
 
Katiba Haimruhusu kuzuia,lakini huwezi mpinga atakapo ivunja, Katiba+sheria zinamlinda

Yeye yuko free kufanya anacho jisikia , lakini wewe sasa hurusiwi kwenda kudai pale unapohisi amekosea

Ado Shaibu kampeleka mahakaman pia
Kina Jebra wame challenge mamlaka yake, Zito, dogo mmoja baba yake alikufaga kwa ajali alikua mbunge wa chadema kanda ya ziwa .. na wengine wengi tu , wote wanafeli , huwezi mshtaki rais na yeye anajua hilo

Kipindi Ado anapeleka shauri mahakamani, rais akiwa kwenye shughuli zake alichomekea kauli "Kuna watu hawajui kama huwezi mshtaki rais" akataja na kifungu cha katiba


Katiba yetu hii hii inatambua mahakama kama chombo pekee cha kupata haki kwa mtu yeyote kwa shauri lolote

Lakini katiba hiyo hiyo tena anazuia matokeo ya urais kua challenged..

Mawazo yako haya watu walishajaribu wakafeli, ndio maana unaona vilio ni katiba katiba katiba
Don't get me wrong, mabadiliko ya katiba ni muhimu. Naelewa hilo, sipingi.

Ila naona kama mkazo mkubwa unawekwa kwenye katiba mpya, katika mambo ambayo hata katiba ya sasa inaruhusu.

Sielewi kwa nini mtu ahitaji katiba mpya kupinga marufuku ya kufanya mikutano ya kisiasa.

Zaidi, upinzani umeshindwa kujiongeza kimataifa pale unapoona haupewi haki ndani.

Na hilo linaonesha mapungufu katika watu, mapungufu haya hayabadilishwi na katiba.

Wakati upinzani unatilia mkazo mabadiliko ya katiba, kitu ambacho sina shaka kwamba ni cha muhimu, usisahau kuimarisha elimu, muamko wa kisiasa, utamaduni wa kutokuwa na woga na kupiga vita ubinafsi.

Mabadiliko ya katiba bila mabadiliko ya watu hayatasaidia sana.

Mabadiliko ya watu bila mabadiliko ya katiba yatakutana na roadblock.

Ni rahisi zaidi kuwa na mabadiliko ya katiba kama tumeanza kuwa na mabadiliki ya watu.

Tukiweka mabadiliko ya katiba tu, tunaweza kushindwa kutumia haki za kikatiba kama sasa hivi tunavyoshindwa kutumia haki za kikatiba tulizonazo (kuandamana, mikutano ya kisiasa) kwa sababu tu Magufuli katumia ubabe.
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Tena basi afadhali kutii mamlaka ya mtu mwenye akili timamu , lakini nyinyi mmetii mamlaka ya mgonjwa wa akili mwendawazimu Mungu anawaona awalipe kwa vitendo vyenu .
 
Danpol

I will let Obama speak for me.

Ukiwa na muda naomba usikilize hotuba nzima, kaongea mengi sana ninayoyasema.

"Our Constitution is a remarkable, beautiful gift. But it's really just a piece of parchment. It has no power on its own. We, the people, give it power. (Applause.) We, the people, give it meaning. With our participation, and with the choices that we make, and the alliances that we forge. (Applause.) Whether or not we stand up for our freedoms. Whether or not we respect and enforce the rule of law. That's up to us. America is no fragile thing. But the gains of our long journey to freedom are not assured."

U.S President Barack Obama's Farewell Address, Chicago, January 10, 2017


 
Mawakala wa vyama walikuwa wapi? Je nao walishiriki katika kubadilisha?
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
 
Back
Top Bottom