Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

Nakumbuka tukio la wanafunzi wa Ifunda Tech walipolala barabarani kuzuia msafara wa Nyerere. Nyerere aliwasikiliza na baadae akaendelea na safari yake. Viongozi wa wanafunzi wakawekwa ndani pale Iringa mjini na wakawa wanaletwa kula Lugalo Sec nilipokuwa nasoma. Wanaokumbuka mkasa ule jamani wekeni vizuri ili tutunze vizuri kumbukumbu ile maana vijana wa leo hawawezi kudai hata haki yao ya msingi ya kufundishwa na walimu! Tena Chuo Kikuu! Kweli Magu anawatia vijana wetu ujinga wa hali ya juu sana. Taifa liendako siko na kumbukumbu hizi tukiwa hatupo, pengine zitawasaidia kuona walipokosea.
Lugalo ulikuwa mwaka gani mkuu?
 
Pamoja. Mwaka 1998 tulienda kuiba ulanzi wa jamaa mmoja aliitwa mbegasi nikakamatwa mimi nakupelekwa kwa walimu na walimu walilipa 200 kwa mbegasi ikawa pona yangu na baada ya hapo nilikuwa kwenye uangalizi mkubwa sana ila wenzangu walihama wote
Maeneo gani hayo sio BANDABICHI kweli.
 
Unataja shule za Iringa unaacha Ifunda tech,Njombe,Malangali,Tosamaganga et el.You can't be serious!!!


Chama langu Malangali balaa sn
 
Mkwawa Ice age 2003-2005 Na Mkwawa University 2011-2014. Mwaka 2004 tulienda kucheza mpira Lugalo na ngumi zilipigwa.Nkiwa chuo nlikua mtu wa kujirusha 255,Na club zingine.Pako poa sana Iringa.Najipanga mwakani kupiga M.A hapo Ruaha.
 
Teh !! Teh !!! Kiongozi umenifanya nikumbuke mbali sana, okay sijasoma hizo shule ulizozitaja hapo juu, kwani kipindi hich still nilikuwa dogo sana, ila shule kama mkwawa, mwembetogwa na highland ni shule ambazo nazifahamu vizuri sana coz I had been living there, back on days.

Kwa wale walisoma mkwawa kipindi hicho ikiwa bado five na six, nadhani utakuwa mnakumbuka vizuri sana shule moja ya msingi ipo upande wa juu mkono wa kulia ukiwa unaelekea mlima, inaitwa ilala primary school. Basi mtabe ndiyo nilikuwa pale kipindi hicho, basi mi pamoja na washikaji tulikuwa tunatabia ya kwenda pande za mkwawa kuokota peni pamoja na kuchungulia wadada walikuwa wakioga njee ( it was so funny ) wakati wa asubuhi au jioni, kwa asubuhi tulikuwa tunapita makusudi njia hii iliyokuwa inaunganisha kilumba west na kilumba east huku ilikuwa lazima uwakute tuuu, na kwasababu tulikuwa wadogo wadogo basi wadada hawa wala hawakuona tabu kuzificha papuchi zao pamoja na( ny)nyo zao, zaidi ya kutuambia " tokeni huku nyie watoto " basi wazee tukitoka hapo full kuadisiana darasani " nimeona ziiiiiiivuu, mwingine nimeona ( n-y) nyo mwingine nimeona kotaa "

Lakini kubwa kabisa jingine nalolikumba ni bonanza lililokuwa linaanzishwa kule Don bosco youth training centre, ambako shule kama vile Tosa, Ifunda, mkwawa Iringa girls na nyingine nezo zilikuwa zinakaribishwa kushiriki bila kusahau raia. Ila kubwa zaidi hapa zilikuwa ni fujo zilizokuwa zinatokea, nyingi zilikuwa zinaanzishwa na vijana watosa wakigombania mademu toka mkwawa au Iringa girls kwa kweli ilikuwa ni balaa tupu maana nakumbuka kuna fujo fulani ziliwahi kutokea zikapelekea Dada mmoja ( mwanafunzi ) kumwagiwa tindikali aisee polisi walivyofika watu walipigisana siku ile na toka pale ukuwa ndiyo mwisho wa bonanza kama lile kuanzishwa kutuoni pale. but honest those days were amazing, I wish I could turn my past and spend the rest of my life in Iringa. All in all Iringa is still my home.
 
Ifunda The Glorious Technical School Live Long Forever. With our Motto, skills and Efficiency......
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mkwawa Ice age 2003-2005 Na Mkwawa University 2011-2014. Mwaka 2004 tulienda kucheza mpira Lugalo na ngumi zilipigwa.Nkiwa chuo nlikua mtu wa kujirusha 255,Na club zingine.Pako poa sana Iringa.Najipanga mwakani kupiga M.A hapo Ruaha.
Nilikuwepo complex cassino 2003/5
 
Unataja shule za Iringa unaacha Ifunda tech,Njombe,Malangali,Tosamaganga et el.You can't be serious!!!


Chama langu Malangali balaa sn
Njoss na Mpechi huo ni mkoa wa Njombe...kwahiyo town yenu ilikuwa Mbalamaziwa!
 
Back
Top Bottom