Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

Tuliomaliza Mkwawa 1986 nawapa Hi hasa kundi la "Maksai " PM - Physics plus Maths
 
Je unamkumbuka Seth singasinga wa IPTL alikuwa anakaa jirani na Chana garage pale NMC. Ulipotaja Lulus umenikumbusha Tina Roussoss ( rip) na bwana ake Ally Bob Said!

Hapana simkumbuki kabisa,ila Chana si ilikuwa Garage ya kina Mh.Balozi Pindi Chana? Huyu Pindi Chana alikuwa anakaa wapi,Soma wapi age mate wangu huyu.
 
Unataja shule za Iringa unaacha Ifunda tech,Njombe,Malangali,Tosamaganga et el.You can't be serious!!!


Chama langu Malangali balaa sn


Malangali nilipiga O-level na Mkwawa A-level, pamoja mkuu
 
Hapana simkumbuki kabisa,ila Chana si ilikuwa Garage ya kina Mh.Balozi Pindi Chana? Huyu Pindi Chana alikuwa anakaa wapi,Soma wapi age mate wangu huyu.
Yap, balozi Pindi alikuwa anakaa pale garage baba yake alikuwa singa singa akiitwa Singh Chana. Unawakumbuka watemi wa miyomboni kina Taurati na Cool nine?...Unamkumbuka mchungaji Msigwa na meza yake miyomboni?
 
Yap, balozi Pindi alikuwa anakaa pale garage baba yake alikuwa singa singa akiitwa Singh Chana. Unawakumbuka watemi wa miyomboni kina Taurati na Cool nine?...Unamkumbuka mchungaji Msigwa na meza yake miyomboni?
Hao siwakumbuki ila wakati huo hawa kina Motto (Majembe) walikuwa ndio wanachipuka,Kulikuwa na Dereva Taxi aliyeitwa Chuwa alikuwa na Taxi inaitwa Teitei Taxi na alikuwa tajiri sana enzi hizo alikuwa akikaa Quarter zilizopo Karibu na Tanesco ile ya zamani palipokuwa na Turbines
 
Hao siwakumbuki ila wakati huo hawa kina Motto (Majembe) walikuwa ndio wanachipuka,Kulikuwa na Dereva Taxi aliyeitwa Chuwa alikuwa na Taxi inaitwa Teitei Taxi na alikuwa tajiri sana enzi hizo alikuwa akikaa Quarter zilizopo Karibu na Tanesco ile ya zamani palipokuwa na Turbines
Sawa kabisa Tei tei alikuwa na Taxi peugeot 404, Majembe alikuwa driver wa mission pale kihesa na baba yao alikuwa na bucha kihesa sokoni na alikuwa pia anauza mitumba!
 
Malangali nilipiga O-level na Mkwawa A-level, pamoja mkuu
Sana Sana mkuu.Malangali nilipiga A-Level.Niliishi Shaban Robert then Bangu A.Wewe uliishi bweni lipi mkuu?
 
Back
Top Bottom