Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

Teh !! Teh !!! Kiongozi umenifanya nikumbuke mbali sana, okay sijasoma hizo shule ulizozitaja hapo juu, kwani kipindi hich still nilikuwa dogo sana, ila shule kama mkwawa, mwembetogwa na highland ni shule ambazo nazifahamu vizuri sana coz I had been living there, back on days.

Kwa wale walisoma mkwawa kipindi hicho ikiwa bado five na six, nadhani utakuwa mnakumbuka vizuri sana shule moja ya msingi ipo upande wa juu mkono wa kulia ukiwa unaelekea mlima, inaitwa ilala primary school. Basi mtabe ndiyo nilikuwa pale kipindi hicho, basi mi pamoja na washikaji tulikuwa tunatabia ya kwenda pande za mkwawa kuokota peni pamoja na kuchungulia wadada walikuwa wakioga njee ( it was so funny ) wakati wa asubuhi au jioni, kwa asubuhi tulikuwa tunapita makusudi njia hii iliyokuwa inaunganisha kilumba west na kilumba east huku ilikuwa lazima uwakute tuuu, na kwasababu tulikuwa wadogo wadogo basi wadada hawa wala hawakuona tabu kuzificha papuchi zao pamoja na( ny)nyo zao, zaidi ya kutuambia " tokeni huku nyie watoto " basi wazee tukitoka hapo full kuadisiana darasani " nimeona ziiiiiiivuu, mwingine nimeona ( n-y) nyo mwingine nimeona kotaa "

Lakini kubwa kabisa jingine nalolikumba ni bonanza lililokuwa linaanzishwa kule Don bosco youth training centre, ambako shule kama vile Tosa, Ifunda, mkwawa Iringa girls na nyingine nezo zilikuwa zinakaribishwa kushiriki bila kusahau raia. Ila kubwa zaidi hapa zilikuwa ni fujo zilizokuwa zinatokea, nyingi zilikuwa zinaanzishwa na vijana watosa wakigombania mademu toka mkwawa au Iringa girls kwa kweli ilikuwa ni balaa tupu maana nakumbuka kuna fujo fulani ziliwahi kutokea zikapelekea Dada mmoja ( mwanafunzi ) kumwagiwa tindikali aisee polisi walivyofika watu walipigisana siku ile na toka pale ukuwa ndiyo mwisho wa bonanza kama lile kuanzishwa kutuoni pale. but honest those days were amazing, I wish I could turn my past and spend the rest of my life in Iringa. All in all Iringa is still my home.
Nilisoma Mkwawa high school 1999-2001. Enzi za headmaster Mbao
Uliyoyaongea dogo yote ni kweli. Nikisikitika sana ile shule kubadilishwa chuo. Ile shule ilikuwa zaidi ya shule. .Imagine ilikuwa ni boarding with capacity ya ku accommodate wanafunzi zaidi ya 1500. Na ilikuwa na zaidi ya combination 7. Wanafunzi both boys and girls. Ilikuwa inachukua wanafunzi sehemu mbali mbali Tz. Hakuna mkoa au wilaya ambayo ilikosa mtu pale mkwawa. Makabila karibia yote unayofahamu. Lakini majority walikuwa kaskazini(chaga and the like) na mbeya family(ilicover kanda ya nyanda za juu kusini)

Kulikuwa na kila aina ya maisha ambayo ungeyahitaji pale. Kulikuwa na walokole haswa wanasali hadi wanalia. ..wakati huohuo darasa linalofuatia ukiona giza kama ni usiku usilogwe kuwasha taa ghafla. .ungekuta pair of couples wanakulana denda hata kuinamishana...

Kulikuwa na wasongo wa buku hatari. Wazee wa kutoboa usiku kucha. ..pia kulikuwa na minunda hatari. ..kuonekana class hata mazingira ya shule was very rare.

Pamoja na hayo yote...Hakuna ambaye angekufuatafuata. Yote ilikuwa ni wewe. Fanya yote ila mwisho ujue umefuata nini pale.
Na ndo mana ikajulikana complex Cassino.

Ningekuwepo ktk eneo la maamuzi ningeweza batilisha uamuzi wa kuibadilisha kuwa chuo. .kwani kwa kipindi kile mwanafunzi ukipitia pale ungepata multskills jinsi ya kuishi kila aina ya maisha katika jamii.
Niliishi bweni la Lumumba East liliokuwa chini ya mwl mmoja maarufu kipindi kile kwa jina la utani kutoka kwa wanafunzi kama M. ..dwarf. alikuwa mfupi mfupi na alipenda wanawake waliopanda hewani. Na iwapo angegundua kuwa mna date na demu ambaye alikuwa ndani ya target zake basi lazima angekuletea visa vingi hatari. Mimi nilikuwa mmoja wa victim. Lakini mbaya zaidi mademu wengi walikuwa wanakatosa.
Nina mengi sana. ..Lakini siwezi orodhesha yote hapa. ....hapo sijaongelea maandazi ya makanyagio na kadhalika
 
Nilisoma Mkwawa high school 1999-2001. Enzi za headmaster Mbao
Uliyoyaongea dogo yote ni kweli. Nikisikitika sana ile shule kubadilishwa chuo. Ile shule ilikuwa zaidi ya shule. .Imagine ilikuwa ni boarding with capacity ya ku accommodate wanafunzi zaidi ya 1500. Na ilikuwa na zaidi ya combination 7. Wanafunzi both boys and girls. Ilikuwa inachukua wanafunzi sehemu mbali mbali Tz. Hakuna mkoa au wilaya ambayo ilikosa mtu pale mkwawa. Makabila karibia yote unayofahamu. Lakini majority walikuwa kaskazini(chaga and the like) na mbeya family(ilicover kanda ya nyanda za juu kusini)

Kulikuwa na kila aina ya maisha ambayo ungeyahitaji pale. Kulikuwa na walokole haswa wanasali hadi wanalia. ..wakati huohuo darasa linalofuatia ukiona giza kama ni usiku usilogwe kuwasha taa ghafla. .ungekuta pair of couples wanakulana denda hata kuinamishana...

Kulikuwa na wasongo wa buku hatari. Wazee wa kutoboa usiku kucha. ..pia kulikuwa na minunda hatari. ..kuonekana class hata mazingira ya shule was very rare.

Pamoja na hayo yote...Hakuna ambaye angekufuatafuata. Yote ilikuwa ni wewe. Fanya yote ila mwisho ujue umefuata nini pale.
Na ndo mana ikajulikana complex Cassino.

Ningekuwepo ktk eneo la maamuzi ningeweza batilisha uamuzi wa kuibadilisha kuwa chuo. .kwani kwa kipindi kile mwanafunzi ukipitia pale ungepata multskills jinsi ya kuishi kila aina ya maisha katika jamii.
Niliishi bweni la Lumumba East liliokuwa chini ya mwl mmoja maarufu kipindi kile kwa jina la utani kutoka kwa wanafunzi kama M. ..dwarf. alikuwa mfupi mfupi na alipenda wanawake waliopanda hewani. Na iwapo angegundua kuwa mna date na demu ambaye alikuwa ndani ya target zake basi lazima angekuletea visa vingi hatari. Mimi nilikuwa mmoja wa victim. Lakini mbaya zaidi mademu wengi walikuwa wanakatosa.
Nina mengi sana. ..Lakini siwezi orodhesha yote hapa. ....hapo sijaongelea maandazi ya makanyagio na kadhalika
Mkuu pale Mkwawa mlikuwa mnavaa suruali nyeusi?
 
Nilisoma Mkwawa high school 1999-2001. Enzi za headmaster Mbao
Uliyoyaongea dogo yote ni kweli. Nikisikitika sana ile shule kubadilishwa chuo. Ile shule ilikuwa zaidi ya shule. .Imagine ilikuwa ni boarding with capacity ya ku accommodate wanafunzi zaidi ya 1500. Na ilikuwa na zaidi ya combination 7. Wanafunzi both boys and girls. Ilikuwa inachukua wanafunzi sehemu mbali mbali Tz. Hakuna mkoa au wilaya ambayo ilikosa mtu pale mkwawa. Makabila karibia yote unayofahamu. Lakini majority walikuwa kaskazini(chaga and the like) na mbeya family(ilicover kanda ya nyanda za juu kusini)

Kulikuwa na kila aina ya maisha ambayo ungeyahitaji pale. Kulikuwa na walokole haswa wanasali hadi wanalia. ..wakati huohuo darasa linalofuatia ukiona giza kama ni usiku usilogwe kuwasha taa ghafla. .ungekuta pair of couples wanakulana denda hata kuinamishana...

Kulikuwa na wasongo wa buku hatari. Wazee wa kutoboa usiku kucha. ..pia kulikuwa na minunda hatari. ..kuonekana class hata mazingira ya shule was very rare.

Pamoja na hayo yote...Hakuna ambaye angekufuatafuata. Yote ilikuwa ni wewe. Fanya yote ila mwisho ujue umefuata nini pale.
Na ndo mana ikajulikana complex Cassino.

Ningekuwepo ktk eneo la maamuzi ningeweza batilisha uamuzi wa kuibadilisha kuwa chuo. .kwani kwa kipindi kile mwanafunzi ukipitia pale ungepata multskills jinsi ya kuishi kila aina ya maisha katika jamii.
Niliishi bweni la Lumumba East liliokuwa chini ya mwl mmoja maarufu kipindi kile kwa jina la utani kutoka kwa wanafunzi kama M. ..dwarf. alikuwa mfupi mfupi na alipenda wanawake waliopanda hewani. Na iwapo angegundua kuwa mna date na demu ambaye alikuwa ndani ya target zake basi lazima angekuletea visa vingi hatari. Mimi nilikuwa mmoja wa victim. Lakini mbaya zaidi mademu wengi walikuwa wanakatosa.
Nina mengi sana. ..Lakini siwezi orodhesha yote hapa. ....hapo sijaongelea maandazi ya makanyagio na kadhalika[/QUO
Kwa upande wangu naweza sema Mkwawa high school ilikuwa ni moja ya shule ya ndoto zangu, nilikuwa natamani sana kuvaa zile t- sheti zenu za langi ya njono pamoja na trouser nyeusi, zilikuwa zina wapendeza sana hasa pale mlipokuwa mnatembea kwa makundi mkeenda zenu town kununua baadhi ya mahitaji.
 
Kwanza naipenda sana Iringa, nyela kamwene! Muse tulonge ludodo. Safari yangu ilianzia Ruaha Sec 1989 hadi 1992 tulianza na headmaster aliitwa Hushang Gamroud. Ile shule tumeijenga kwa kufanya self reliance baada ya masomo na adhabu. Niliyafurahia maisha sana pale. Wabahai walitupiga shule sawasawa. Nikiwa form 3 nilipata fursa ya kuchezea timu ya shule. Umiseta uwanja vya Kleruu nikiwa napiga namba 10. Bahati mbaya hatukuwa na mazoezi ya kutosha na wala shule haikuwa na uwanja wa kueleweka. Tuliomba jezi za timu ya shule jamaa so wakatuletea jezi za basketball hahaha wamarekani bana. Naikumbuka sana mechi na Tosamaganga, kuna jamaa aliitwa Maradona, mshenzi walitupiga bao km 3 hivi halafu anakuja kuomba msamaha. Niliishi kibwabwa so ilikuwa karibu na shule. High school Nikaingia highlands shule ilinipotezea dira maana hakukuwa na walimu kabisa. Wiki nzima hujasoma general studies tu na BAM. Accounts hakuna walimu , commerce akaja Mzee Mwasanyagi tukiwa form six . Hapo nimetoka kusoma agriculture o level. High level nachukua ECA dah mambo yalikuwa magumu sana kwangu. Ball sikupiga sana maana jamaa walininyanyapaa kisa nakaa Ipogoro halafu wakati ule akina Lisa Mwalupindi, na wengine nimewasahau walikuwa wamehodhi timu wengi wakiwa wachezaji wa Kihesa Stars daraja la tatu mie Ruaha shooting Ipogoro also daraja la tatu. Wakati ule wa Headmaster Kimangare. Highland nilikwepo 1993 to1995.
 
Kumbe wazee wetu mmo humu ndani na umri wenu wa kutosha? Kuna mmoja nimeona amemaliza Form 6 1984!! Heshima kwenu wazee, mtuombee vijana wenu tupate kuchomoka kwenye hali hii ya sasa.
 
Kumbe wazee wetu mmo humu ndani na umri wenu wa kutosha? Kuna mmoja nimeona amemaliza Form 6 1984!! Heshima kwenu wazee, mtuombee vijana wenu tupate kuchomoka kwenye hali hii ya sasa.
Marahaba!
 
Kwanza naipenda sana Iringa, nyela kamwene! Muse tulonge ludodo. Safari yangu ilianzia Ruaha Sec 1989 hadi 1992 tulianza na headmaster aliitwa Hushang Gamroud. Ile shule tumeijenga kwa kufanya self reliance baada ya masomo na adhabu. Niliyafurahia maisha sana pale. Wabahai walitupiga shule sawasawa. Nikiwa form 3 nilipata fursa ya kuchezea timu ya shule. Umiseta uwanja vya Kleruu nikiwa napiga namba 10. Bahati mbaya hatukuwa na mazoezi ya kutosha na wala shule haikuwa na uwanja wa kueleweka. Tuliomba jezi za timu ya shule jamaa so wakatuletea jezi za basketball hahaha wamarekani bana. Naikumbuka sana mechi na Tosamaganga, kuna jamaa aliitwa Maradona, mshenzi walitupiga bao km 3 hivi halafu anakuja kuomba msamaha. Niliishi kibwabwa so ilikuwa karibu na shule. High school Nikaingia highlands shule ilinipotezea dira maana hakukuwa na walimu kabisa. Wiki nzima hujasoma general studies tu na BAM. Accounts hakuna walimu , commerce akaja Mzee Mwasanyagi tukiwa form six . Hapo nimetoka kusoma agriculture o level. High level nachukua ECA dah mambo yalikuwa magumu sana kwangu. Ball sikupiga sana maana jamaa walininyanyapaa kisa nakaa Ipogoro halafu wakati ule akina Lisa Mwalupindi, na wengine nimewasahau walikuwa wamehodhi timu wengi wakiwa wachezaji wa Kihesa Stars daraja la tatu mie Ruaha shooting Ipogoro also daraja la tatu. Wakati ule wa Headmaster Kimangare. Highland nilikwepo 1993 to1995.
Head master wenu Hushan alianzia pale shuleni kwetu Highlands na baadae ndio akashuka huko Ruaha na wabahai wenzake, alikuwa na rafiki yake anaitwa mwl Farid. Highlands ilipungukiwa walimu pale alipoondoka Head master TX Sheikh na nafasi yake kuchukuliwa na Chaudry. Lakini nasikia hali ilikuwa mbaya uhead master alipoutwaa mwalimu wangu wa Physics Mbata. Mwisho wanafunzi waliotokea Ipogolo wote walinyanyapaliwa!
 
Mmmh kweli huku madogo wengi sana, Wakati nakaa Iringa,Mkwawa ilikuwa Chuo cha Ualimu,RUCO ilikuwa inajengwa ikiitwa Chuo cha Benki, mkandarasi aliitwa Wade Adams, Kulikuwa na Kumbi za Cinema 2 moja Paradise na Highlands. Disco Lilikuwa Ruaha International Lodge, sehemu za kula chips ilikuwa Lulu's Cafes and Snacks Bar, Iringa Hotel ilikuwa bado ipo juu.
Papu Store ndilo Lilikuwa duka kuuubwa sana. Marwaha,Piri Mohammed na Abri ndio walikuwa Matajiri wa Iringa
 
Kumbe wazee wetu mmo humu ndani na umri wenu wa kutosha? Kuna mmoja nimeona amemaliza Form 6 1984!! Heshima kwenu wazee, mtuombee vijana wenu tupate kuchomoka kwenye hali hii ya sasa.
Kama 1984 ni wahenga basi sisi wengine ni Vihenga-Vihenga vya Mkwawa vilikula MAJOR enzi hizo, ikifika Jumamosi siku ya MAJOR huoni kijana wa Mkwawa mjini saa 7 mchana labda awe na tatizo kubwa sana. Vihenga hivi hata kufua vilisahau, shule inakufulia wewe kazi ni moja tu kusoma (darasani prep, baada ya hapo kuna bweni lilitengwa la kusomea usiku hadi asubuhi ukipenda). Hiyo nayo ilikuwa Mkwawa kabla waziri Mgo.nja hajaanza kuifumua. Ilikuwa boys watupu.
 
Mimi nimesoma Highland, nimemaliza 2003,kidato sitaji kwa sababu humu hatufahamiani,namkumbuka headmaster anaitwa Mr Ramadhan,sijajua kama bado yupo au amestaafu,ila nimemkuta mwaka 2013 wakati naenda kuchukua leaving certificate
 
Nimesoma na jamaa mmoja yeye alikuwa MBAHAI, alikuwa ana phylisophy za ajabu sana, kama yupo humu anajitambua
 
Mmmh kweli huku madogo wengi sana, Wakati nakaa Iringa,Mkwawa ilikuwa Chuo cha Ualimu,RUCO ilikuwa inajengwa ikiitwa Chuo cha Benki, mkandarasi aliitwa Wade Adams, Kulikuwa na Kumbi za Cinema 2 moja Paradise na Highlands. Disco Lilikuwa Ruaha International Lodge, sehemu za kula chips ilikuwa Lulu's Cafes and Snacks Bar, Iringa Hotel ilikuwa bado ipo juu.
Papu Store ndilo Lilikuwa duka kuuubwa sana. Marwaha,Piri Mohammed na Abri ndio walikuwa Matajiri wa Iringa
Je unamkumbuka Seth singasinga wa IPTL alikuwa anakaa jirani na Chana garage pale NMC. Ulipotaja Lulus umenikumbusha Tina Roussoss ( rip) na bwana ake Ally Bob Said!
 
Back
Top Bottom