National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mwamba baada ya miaka minne na mie nitakuwa nina Phd ila sitokuwa mkuda kama hao wengine 😅😅😅Mmoja wao ni Mwigulu elimu yangu ya uchumi ni Kali kumzidi, hawa wengine tunaokutana nao kwenye maeneo yetu, vina mshahara Milioni 4 hadi 5 vinavimba sasa huo mshahara au pesa ya kulimia tu na vibarua wangu.
Kuna mmoja nilishamuuliza na maringo yako ya hiko PhD unaweza kunywa Hennessy kila siku na mchepuko kila siku akabaki lofa tu, PhD ni ofisini kwako sio kitaa
Wasalaam JF,
Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udoctor yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina lako sasa sijui shida ni nini.
Huu upuuzi vipi huwa mnakutana nao?
Wadiz
Eleze kwa ufupi tu Dr Lizzy wangu wa ukweliNaogopa kumkasirisha zaidi mtoa mada.
Wapo kibao hata exclusive places hawawezi kuonekana on daily basis, we make money and we live normal na tuko smart na tupo kitaa tumejiajiri na tumeajiri watu lukuki, na tuna impact kwenye jamiiHalafu PHd zenyewe za kiswahili ama historia hana analoliweza zaidi ya kuwa mealimu chuokikuu [emoji16][emoji16]
Hata kiinglish chako ni njaa tu. Kajiunge angalau open university nawe upate PhD ili kiranga kikutoke.Wapo kibao hata exclusive places hawawezi kuonekana on daily basis, we make money and we live normal na tuko smart na tupo kitaa tumejiajiri na tumeajiri watu lukuki, na tuna impact kwenye jamii
Wanatusua kimaisha acha wivu.Wasalaam JF,
Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udaktari wa Falsafa yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina lako sasa sijui shida ni nini.
Huu upuuzi vipi huwa mnakutana nao?
Wadiz
We unzungumzia PhD? Masters tu tunajaa pipaNdiomana nimesema mwanzo sio kwa ubaya na sio wote ila wengi akishapata PhD anaona yuko mawinguni karibu na mbinguni, human relations or interaction haina uhusiano na elimu ya mtu. Wanavyojikuta hawa wadudu wenye PhD
Poa ERoni Phd.Kusoma ninewaachia nyie mkuu, hapa nalea uzee wangu kwa raha zangu.
anakubebisha eehNdio, ya mahaba.