Chambo81
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 441
- 200
Mussa Mohamed, alikuwa PCM , nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa kwenye safu ya kumchukulia rollcall na pass ya kwenda mjini, bahati mbaya ticha wa zamu alikuwa ananifahamu nikashindwa kwenda akajitosa jamaa anaitwa Juma Bundala, inshort jamaa hakwenda kutafuta feki coz NECTA ilikuwa bado karibia miezi 2, jamaa alienda dar kuwanunukia washkaji wawili simu ambao ni Siriri na Mashaka, mussa alitaka kupata cha juu ndo ikawa bahati mbaya akakutwa na mauti, it was 2003 April tunajiandaa na NECTA
Aliemchukulia pass ni ayubu mgube sio juma bundala mkuu umenikumbusha huyu siriri mtoto wa kimburu...na huyu mashaka alikua ana hela sana lakini mshamba tu.