Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Shule ya msingi niliyosoma ilikuwa 3km kutoka home,hapo Kuna watu wanakaaa mbali zaidi ya hapo lakini daily school wanaenda na kurudi.Wewe umewahi kutembea umbali gani kwa wakati mmoja?
Karibia wote humu tumewahi kuwa watoto wa kijijini!
Wakati nipo primary nilikuwa natembea 6 Km daily.3Kwenda tatu kurudi.Wewe umewahi kutembea umbali gani kwa wakati mmoja?
Karibia wote humu tumewahi kuwa watoto wa kijijini!
Mjini connection.Niliwahi tembea nmemaliza chuo nkatoa bahasha za application zangukibao kama 20 hv nkaanzia tabata relini kuanza kutembea na kusambaza hzo applctn kwny kila kiwanda nilichokuwa nakiona nilitembea mpka airport viwanda vyote hvyo hakuna ambacho sikuingia... cha ajabu sikuwahi kuitwa hata interview tuu mpka leo hii
Warekebishaji wanadai mshahara wa Sekretari siku hizi.Hivi jamani hili neno ni root much au ni route xxxx... yaani hakuna hata wa kunirekebisha! Kiranga uko wapi? Halafu kuna siku niliwahi kuandika packed badala ya parked na sijamsikia mtu akinirekebisha
Kigarama mpaka Bukoba mjiniBinafsi nimewahi kutembea umbali takribani kilometer 100.
Ilikuwa ni safari ya kwenda na kurudi na ilinigharimu siku moja ya kwenda na siku ya pili ya kurudi.
ilikuwa nimeelekea msibani na nilikuwa na nauli ya kwenda tu, kwa sababu nikapata company ya mtu ambaye hakuwa hata na hiyo ya kwenda tukaungana na kuanza kupasua pori mdogo mdogo.
Safari ilihusisha kupanda na kushuka milima, mvua ilinyesha na kukatika karibu mara nne ila hatukukata tamaa.
Ninajua watu wametembea kwa miguu umbali mrefu kwa sababu nyingi zikiwemo:
kukoswa nauli
kutafuta kazi
Kuepuka hatari
hakuna namna ya kusafiri
na sababu nyingine nyingi ...
karibu utujuze
Mkuu acha masikhara asee...Zaidi ya 120km, nilitoka wilaya ya Rungwe (saivi Busokelo) eneo linaitwa Rwangwa mpaka Mbeya mjini..bahati mbaya sijui cha shortcut wala nini kwahyo nanyoka tu na barabara. Nilitoka kule saa kumi na moja alfajiri mpaka saa mbili usiku ndo naingia Mbeya mjini, form three kipindi hicho. Nilitoroka home nikaenda kule wakawa hawanitaki kwahyo kunisema kila Siku, nikashundwa kuvumilia
Mkuu mie naona 90% ni wakweli.Ila wanaosema 100km kwa siku moja hawa hapana aiseeee nawaona waongo.
mhh, chalinze mlandizi tu ni shughuli tosha ukiwa kwenye BusChalinze hadi Dar
Ni kweli. Mimi pia huwa ninadai na si mshahara tu, bali hata rushwa pia!Warekebishaji wanadai mshahara wa Sekretari siku hizi.
Wamechoka kutoa huduma ya bure.
Unanuka!Ni kweli. Mimi pia huwa ninadai na si mshahara tu, bali hata rushwa pia!
"Nuka" ipi unayomaanisha kati ya "scent", "smell" na "odour". Kiswahili wakati mwingine kina msamiati haba!Unanuka!
Hapana, usilaumu msamiati wa Kiswahili wakati wewe hujui Kiswahili."Nuka" ipi unayomaanisha kati ya "scent", "smell" na "odour". Kiswahili wakati mwingine kina msamiati haba!