hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
AiseeeMwaka 2000 nikiwa kidato cha 3 nilishuka kituo tofauti na malengo hivyo nilitembea zaidi ya 80km( nilikuwa natoka kigoma shuleni)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeMwaka 2000 nikiwa kidato cha 3 nilishuka kituo tofauti na malengo hivyo nilitembea zaidi ya 80km( nilikuwa natoka kigoma shuleni)
mkuu ulipita road kwa road au chochoPia niliwahi kutoka UDSM mpaka tabata st.merry
nilipata story zao mkuu, hao sio wakujaribu kuwaiga utafia njiani. nawana tofauti na wale waha waliotembezwa na waarabu kigoma bgmoyo peku na kwa miguu kuja kuuzwaMkuu matunduizi yaani safari yenyewe ni usiku na mchana, tena unaambiwa hakuna safari inayonoga kama ya usiku.
mkuu ulipita road kwa road au chocho
Hakika mkuu, huwezi kulia siku zote!! Na kiza kinapokuwa kinene jua mapambazuko yapo karibu! Hatupaswi kukata tamaa!pole mkuu.
kauli hii inathibitisha wata wanaolia sasa wenda nao kuna siku watakumbuka machozi yao kama wewe baada ya kutoboa mkuu sakayo
Duh Mkuu Mdabulo!!! Aaaaah Aaaaaah Nilisoma HapaWakati wa Elnino 1998 nilitembea 50 kilometre na mkungu wa ndizi kichwani kutoka Ikanga Mdabulo hadi Mtwango Mufindi kwa jinsi kulivyokuwa na njaa wakati ule ilikuwa ni kama nimebeba kilo moja ya numbu na naenda mita chache tu!!! Usiombee njaa
Tuanzie 5Umbali mrefu ni kilometers ngapi labda?
Mtu anatoka Bariadi hadi Dar.boss wachungang'ombe wangekuwemo humu tungewaachia uzi. wale hata dodoma cairo kwa mguu wanazama
Duh Mkuu Mdabulo!!! Aaaaah Aaaaaah Nilisoma Hapa
Kuna Siku Ulitokea Msala Nikakanyaga Zangu Mpaka Donbosco Ndio Nikapata Lift Almost Kama 40km
Nilipitia Ifwagilo Mkuu, Dah Asante Sana Umenikumbusha Good MemoriesUlitembea parefu sana hadi Don Bosco ni Mafinga kabisa hiyo...hapo bila shaka ulipita Ifwagi ya mkato ukatokea Isupilo otherwise kama ulipita Mtili via Ifupila ulitembea more than 40 kms
Nilipitia Ifwagilo Mkuu, Dah Asante Sana Umenikumbusha Good Memories
Ipo Siku Nitarud Mdabulo
Mkuu ebu fanya kutunusisha huo unyunyu kidogo asee, maana inaonesha kuna mazito hapo ndani ndani.Write your reply...nilitoka kwa miguu kagera wilayani ngara mpaka ndanda mtwara kukimbia msala wa polisi nilitembea masiku yasiyo na idadi