Tuliotembea umbali mrefu kwa miguu kwa sababu yoyote ile tukutane hapa

Tuliotembea umbali mrefu kwa miguu kwa sababu yoyote ile tukutane hapa

Sinto sahau mwaka 2014 niliwahi kutembea kwa miguu mwendo ambao ulinichukua Masaa 6 mpaka kufika safari yangu...mbaya zaidi kesho yake pia nilipokuwa narudi nikatembea tena kwa miguu kwa masaa hayo hayo ....sababu kubwa hasa ilikuwa ni challenge ya usafiri ...mahali nilipokwenda bu that time gari na piki piki vilikuwa havifiki kutokana na ubovu wa miundo mbinu huwa inakuwa hivyo wakati wa masika...(nilikoma)
 
Mkuu matunduizi yaani safari yenyewe ni usiku na mchana, tena unaambiwa hakuna safari inayonoga kama ya usiku.
nilipata story zao mkuu, hao sio wakujaribu kuwaiga utafia njiani. nawana tofauti na wale waha waliotembezwa na waarabu kigoma bgmoyo peku na kwa miguu kuja kuuzwa
 
pole mkuu.
kauli hii inathibitisha wata wanaolia sasa wenda nao kuna siku watakumbuka machozi yao kama wewe baada ya kutoboa mkuu sakayo
Hakika mkuu, huwezi kulia siku zote!! Na kiza kinapokuwa kinene jua mapambazuko yapo karibu! Hatupaswi kukata tamaa!
 
Wakati wa Elnino 1998 nilitembea 50 kilometre na mkungu wa ndizi kichwani kutoka Ikanga Mdabulo hadi Mtwango Mufindi kwa jinsi kulivyokuwa na njaa wakati ule ilikuwa ni kama nimebeba kilo moja ya numbu na naenda mita chache tu!!! Usiombee njaa
Duh Mkuu Mdabulo!!! Aaaaah Aaaaaah Nilisoma Hapa

Kuna Siku Ulitokea Msala Nikakanyaga Zangu Mpaka Donbosco Ndio Nikapata Lift Almost Kama 40km
 
Mimi nikiwa nina miaka 8 (darasa la 2) tu nilipiga mguu kutoka Kisutu hadi Ubungo kamwendo ka takriban 11km. Tangu hapo sikurudia kula mihogo hela ya nauli
 
Ulitembea parefu sana hadi Don Bosco ni Mafinga kabisa hiyo...hapo bila shaka ulipita Ifwagi ya mkato ukatokea Isupilo otherwise kama ulipita Mtili via Ifupila ulitembea more than 40 kms
Duh Mkuu Mdabulo!!! Aaaaah Aaaaaah Nilisoma Hapa

Kuna Siku Ulitokea Msala Nikakanyaga Zangu Mpaka Donbosco Ndio Nikapata Lift Almost Kama 40km
 
Ulitembea parefu sana hadi Don Bosco ni Mafinga kabisa hiyo...hapo bila shaka ulipita Ifwagi ya mkato ukatokea Isupilo otherwise kama ulipita Mtili via Ifupila ulitembea more than 40 kms
Nilipitia Ifwagilo Mkuu, Dah Asante Sana Umenikumbusha Good Memories

Ipo Siku Nitarud Mdabulo
 
Write your reply...nilitoka kwa miguu kagera wilayani ngara mpaka ndanda mtwara kukimbia msala wa polisi nilitembea masiku yasiyo na idadi
 
Write your reply...nilitoka kwa miguu kagera wilayani ngara mpaka ndanda mtwara kukimbia msala wa polisi nilitembea masiku yasiyo na idadi
Mkuu ebu fanya kutunusisha huo unyunyu kidogo asee, maana inaonesha kuna mazito hapo ndani ndani.
 
Back
Top Bottom