Tuliotembea umbali mrefu kwa miguu kwa sababu yoyote ile tukutane hapa

Kwa Dar ni kutoka Fire hadi kwenye kivuko cha kigs'
Kwa chugastan ni kutoka Kinana Sec hadi Moyo Safi Catholic Church..almost 15 km
 
Kuna siku nlikuwa natoka kariakoo, mida ya saa 11 naenda mbagala home, kulikuwa na foleni yaan toka kk hadi round about ya badari imechukua masaa 2 ikabidi nishuke nikajua foleni ipo bandari road na kilwa road nikapandie mivinjeni, kufika mivinjeni 55 zote zimezimwa nikasema labda ipo mandela nisogee nipandie uhasibu kufika gari zimezimwa foleni haisogei, nikaona nisogee hadi mtongani nako hali ile ile, nikasogea hadi ktm ndo angalau gari zinatembea na zingine za kwenda kijichi, home ni mbagala kizuiani, nikaona tu ni uchuro bora nienda kwa mguu
 
Nilitembea kwa miguu siku England waliposhinda Rugby World Cup. Barabara zilifungwa nilikuwa ninarudi nyumbani nilitembea mbali sana. Kutoka Holborn mpaka Elephant and Castle.
kumbe upo Brexit ndio maana hulali hovyo kabisa.
 
Mi huwa nshapiga kimara kkoo mwaka jana pekee karibu Mara kumi maana sometimez nauli sina inabidi niende town nikazuge tu ila yakurudi ntapata basi hyo kimara kkoo kwangu ni kawaida Massa yangu 2 nipo fire kitamboo.
 
Duuh pole Mkuu
 
pole sana jaji.
leta story mkuu. Vipi mlirudi kwa miguu? mlikuwa mnaenda makojo nyie sio bure
 
Ni kama kutoka makongo juu mpaka vikindu..
Nilifika hoi na kulala style za ajabu
mkuu mimi siku nimerudi home, nikalala na mdau mmoja nilisumbuka usiku hadi jamaa akadhani namajini. Maana nilikuwa nakoroma hovyo, narusha mateke, sijitambui ila jamaa sikumuambia nini chanzo
 
mkuu ubaya ubaya hapo unapitia boda ya st mary's chuo cha ualimu unakata dampo kigogo hapo nakubali utafika mapema.

hizo chocho utakuwa umepunguza zaidi ya km 10 na ushee kama ungeenda road kwa road.

nimefurahi kupajua ubayaubaya. Hiyo mitaa alikuwa anaishi mdau wangu mmoja nyuma ya shule ya st marys primary
 
Tuliokulia vijijini kutembea umbali mrefu wala siyo story.

Moja kufuata huduma za kijamii kama hospital, maduka etc

Mbili,kwenda kusaga mahindi vijiji jirani vyenye machine ya diesel.

Kwenda minadani kuuza mazao kilometa kadhaa ili kupata kipata cha familia
 
Hivi unazijua vizuri KM 100? Hafu uzitembee siku 1 hii chai
mkuu soma vizuri.
nimeenda 50, nikalala asubuhi nikageuza 50+ maana wakati wa kwenda nilipitia shortcut ambayo hata wanakijiji ukiwaambia wanashika midomo kwa mshangao maana wao wanapaogopa.
kurudi nilienda road kwa road. Nilikuwa nimevaa viatu vizito kama vya jeshi flani nilipofika vikawa useless maana viliharibika, ilikuwa milimani na kwenya mawe japo kurudi ilikuwa road.
 
Nishakaa pande hizo nilikuwa nafanya social experiment kukaa Uswahilini nyumba za kupanga. Nilikaa mwaka mmoja lakini vituko nilivyoona sitasahau maisha yangu yote.

Sasa hapo ilikuwa siku nyegw za kutembea zikinipanda nakatiza kutoka hapo mpaka Segerea. Enzi hizo mapori mapori hakujajengeka sana huko.

Siku hizi Segera kote majumba.
 
mkuu kijijini umbali kwa kutoka Gomzi hadi Tegeta kupitia mwenge, unakuwa umefuta vijiji vya kutosha.

nimekuja kugundua dsm unaweza kutembea umbali ambao ukiupeleka kijijini utaonekana shujaa
 
mkuu kijijini umbali kwa kutoka Gomzi hadi Tegeta kupitia mwenge, unakuwa umefuta vijiji vya kutosha.

nimekuja kugundua dsm unaweza kutembea umbali ambao ukiupeleka kijijini utaonekana shujaa
Yeah DSM ni kutokana eneo kubwa kuwa tambalale....ila vijiji vya kwetu ni milima ya hatari na mitelemko mikali......na Gomzi-Tegeta nikaribu sana,sidhani kama km 30 zinafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…