...😂😂😂 ...naunga mkono hii hoja.Wadogo zangu,nendeni mtafute hela kitaa,sio mwendelee kujificha huko vyuoni,na manadharia yenu,degree,post graduate,masters,PhD,mpaka lini?
Piga pesa kwanza,then masters inakuwa tamu kuitafuta,unaenda kusoma masters,hata ka vitz huna,unapuyanga tu,mwishowe ukipata uteuzi,kama mwalimu wenu,kabudi,unahisi umefika peponi?umetolewa "shimoni"
We huna degreeLabda prospectus zimebadili wakati na join was 2.6 wa udsm like year's ago, currently sijafatilia
Nina elimu ya la Saba ya elimu watu wazimaWe huna degree
Ni Global Percentage AreaHivi hii GPA ndio inaitwa gentleman?
Thanks mkuu.Nilipitia prospectus mpya ni 2.7
Sure ni wao kuchangamkia fursa maana Ada imeshuka kwa sasaThanks mkuu.
Hizi ni taarifa muhimu kwa wadau wanaojiandaa kusoma Masters Degree hapo UDSM.
Ada ni sh.ngapi kwa sasa kiongozi?Sure ni wao kuchangamkia fursa maana Ada imeshuka kwa sasa
Milion nne hivi na Kama nusuAda ni sh.ngapi kwa sasa kiongozi?
jk masters aitolee wapi?kwanza hizo akili za kusoma masters hana..Alisomaje master's?
Kagombee jimboniNimemaliza chuo na GPA ya 2.5 nataka kwenda kusoma Masters je naweza, kama haiwezekani inatakiwa nifanyeje wakuu?
Vyuo vya kata Ni vipi?Hyo new GPA hyo according to prospectus na hyo ilikuwa kwa waliosoma undergraduate the rest vyuo vingine GPA walichukuliwa kubwa zaidi vile hawajasoma hapo. Udsm Wana guideline yao hyo ya tcu ndo naona hata GPA ili uwe lecturer chuo Kikuu ni 3.5 Ila pale hawakuchui hata Kama una first class vyuo vya kata pale hawakuchukui so there is difference
Yani kwa wasio jua tu!Hyo new GPA hyo according to prospectus na hyo ilikuwa kwa waliosoma undergraduate the rest vyuo vingine GPA walichukuliwa kubwa zaidi vile hawajasoma hapo. Udsm Wana guideline yao hyo ya tcu ndo naona hata GPA ili uwe lecturer chuo Kikuu ni 3.5 Ila pale hawakuchui hata Kama una first class vyuo vya kata pale hawakuchukui so there is difference
Mkuu kila chuo kiko kwenye Kata!Vyuo vya kata Ni vipi?
udom yuko kileleni wapi?Yani kwa wasio jua tu!
Mkuu, moja ya technical fault ambayo UDSM wamekuwa wakifanya ni pamoja na kujiona wao wanaweza na wako tofauti!
Halii hii imepelekea product za hapo kuwa na mawazo ya aina moja, lakini pia ndio hawa tunawaona sasa ivi wakishindwa ku perform katika nyanja mbalimbali! toka wizara, mpaka mashirika!
Hii ni kwakuwa, hawana mawazo mbadala zaidi ya kurithishana ignorance!
Huwezi ukamuacha graduate mwenye 1st class ya St John, eti ukamchukua graduate mwenye 3.6 wa UDSM, WHY??
Ndio mana sishangai kwa sasa UDOM akawa kileleni! ni swala la muda tu! na siku Serikali ikiamua kukiacha hata kidogo hicho chuo, mtashangaa wenyewe!
Naongea hii nikiwa mdau mkubwa sana, tena sana wa udsm!
Ada zipo chini tu miaka nenda rudi.. shida watu kutojua priority zao ndio maana wanaona ada ni kubwaMilion nne hivi na Kama nusu
Kabisa unapata, kwa SUA prospectus inasema GPA 2.5 ndio minimum entry point! so apply tu!Unamaanisha Kwaiyo GPA iyo nikifanya application napata nafasi?
Nenda Kampala International University Gongolomboto wanaweza kukuelewaNimemaliza chuo na GPA ya 2.5 nataka kwenda kusoma Masters je naweza, kama haiwezekani inatakiwa nifanyeje wakuu?
Sidhan Kama washawahai kukataa mtuNenda Kampala International University Gongolomboto wanaweza kukuelewa
Jambana mimi mwenye 2.3 nifanyeje?