establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
TUDAKO nao hawaachi abiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaahJamba
Ni Global Percentage Area
Nenda open..huwa hawaachi mtu.
Ko unaona udsm ndo mwisho wa matatizo, wewe kumbe ni kenge.Hyo new GPA hyo according to prospectus na hyo ilikuwa kwa waliosoma undergraduate the rest vyuo vingine GPA walichukuliwa kubwa zaidi vile hawajasoma hapo. Udsm Wana guideline yao hyo ya tcu ndo naona hata GPA ili uwe lecturer chuo Kikuu ni 3.5 Ila pale hawakuchui hata Kama una first class vyuo vya kata pale hawakuchukui so there is difference
Kenge ni hicho kibamia chako mfyuuuKo unaona udsm ndo mwisho wa matatizo, wewe kumbe ni kenge.
Ulijuaje kama ana kibamia?Kenge ni hicho kibamia chako mfyuuu
Ulikua unafanyaje chuo mpk ukatoka na hizo gradesNimemaliza chuo na GPA ya 2.5 nataka kwenda kusoma Masters je naweza, kama haiwezekani inatakiwa nifanyeje wakuu?
Vibamia Wana jaziba sanaUlijuaje kama ana kibamia?
Punguza jazba binti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulijuaje kama ana kibamia?
Punguza jazba binti.
Mbna kawaida Sana hyo mkuu...as long as haja disco.Unapataje GPA ya 2.5 sasa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huo ni ukilaza
Honors huwa ni GPA kupanda kila semester sio kushuka... Kama ulianza na 2.0 ukapanda mpaka 4.5 ila isishuke... Sasa kama ulipata honour basi jaribu kuangalia hilo ktk transcript...Hata wenye second nao ni Honour's hata lower na sijawahi fatilia vigezo
Watakuwa wamekuibia hao wakakupa ya maana hii...Sidhani kama ni hivyo.
Mimi nilianza na 3.5, ikaja 3.4, mwisho ikawa 3.3. Ila nina HONOURS
Vyeti vingi vya UDSM wana wawekea hiyo Honors... Hata ukipata GPA ya kawaida...Honours inapatikana kwa ambao wanapiga GPA kwa ascending order.
Graph yako isome kwa style hii: 3.5 , 3.7, 3.8, 4.0, 4.2,4.3! hapa unakula jiwe kwa heshima.
Sio: 4.5, 4.1, 4.2, 3.4, 3.1, 3.6, 3.5!
Hapa unaonekana mzinguaji! Hupewi honors.
Kuna mwaka ilishuka Ila nimepata hyo honorsHonors huwa ni GPA kupanda kila semester sio kushuka... Kama ulianza na 2.0 ukapanda mpaka 4.5 ila isishuke... Sasa kama ulipata honour basi jaribu kuangalia hilo ktk transcript...
Utafiti INAONYESHA kinaongoza kwa rushwa ya ngono.wanaweka mazingira magumu kufanikisha axma zao.Nadhani nature ya udsm tu mwenye gpa ya tatu vyuo vingine ana first class, shule ya pale si lelemama na wanafata vigezo na zamani waliopata pata pale wengi ni waliofaulu vizuri Sasa mtu umesoma chuo huko ulipata three karibu na four eti first class, hawakuchukui kirahisi