Mucho Mucho
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 245
- 256
Yani dada yako tumbo moja??Mume wa sister alinitokea nikamwambia aache kabisa tena nitamwambia mke wake. Tangu siku ile aliniona nimekaa ninaongea na sister anakosa amani kabisa.
Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye huwa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.Yani dada yako tumbo moja??
Wanaume jamani hatuna aibu. Daah!
Hapo ndio uone wanaume mnavyotofautiana.Yani dada yako tumbo moja??
Wanaume jamani hatuna aibu. Daah!
Yani wewe siku utakuja kutembea na shemeji yakoKabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.
Yani.Hapo ndio uone wanaume mnavyotofautiana.
Wakati mwingine nawaza kwa maandishi, hivi hizi chips mayai wanazokula hawa wadogo zetu athari yake ni kubwa hivi, nilifikiri zinaathiri uwezo wao wa ku jamiiana tu kumbe mpaka wa kufikiri.
Hapo kulikuwa na mawili kama sio mdogo mtu kumdharau dada basi mume angemdharau mkewe.Yani.
Imagine huyu angemkubalia.
sory kwa huyo dada.
Mkuu I will never do that to her, she is my best friend and I can't even tell her this story, I don't want to hurt her feelingsYani wewe siku utakuja kutembea na shemeji yako
Feel sorry for your lovely sister.
I imagine dada yako ni mZuri sana na ni mtu poa sana.
Ni wale wanawake ambao sio watata, hawaumizi kichwa.
Ndio maana shemeji yako macho kodo. Na atakuwa ni kiwembe huyo
Hatari yake kama kuna ugonjwa wa zinaa kama HIV anawauwa wote dada na mdogo wake.Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.
Halali yake..Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.